Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Hivi kwanini wabongo mnapenda sana habari mbaya mbaya za watu!!!
Hili ni tatizo la kukulia kwenye umasikini, ukiwa hata na hela baadae unakuwa na ki element cha roho mbaya ya kupenda kuona watu wakiteseka na kupata shida ,nimeona kwa watu wengi sana especially waliokulia vijijini , hawana upendo kabisa , wamejawa na chuki na visasi kama wachawi tu
 
Wazee mtajiongeza wenyewe kuna hot cake moja nimerushiwa hapa ya mke wa mheshimiwa kijana yule wa Arusha anayependa kumpost sana mke wake amepigiwa mke wake aisee kwa ninavyomjua yule mheshimiwa atazimia muda si mrefu.

Hawa mademu ukiwapenda ni shida usipowapenda ni shida yaani cha msingi demu usimuoneshe upendo kama demu ni msukuma sawa na yule mheshimiwa crew yao si ilikuwa na bifu na washikaji wa kiwalani si unamkumbuka akina Zaid? Kwahiyo mheshimwa hali tete huko aliko kazi kwenu.
Mheshimiwa DC kachapiwa kumbe Cc ephen_
 
Ay,One the incredible, Mabeste na Nikki wa pili wameendelea kutu prove kuwa wanawake ni zaidi ya tuwajuavyo

Wote wamepigwa chini kwa style ya kushangaza sana
Ay,One the incredible, Mabeste na Nikki wa pili wameendelea kutu prove kuwa wanawake ni zaidi ya tuwajuavyo

Wote wamepigwa chini kwa style ya kushangaza sana
AY wameachana na yule Mtutsi?
😳😳
 
Back
Top Bottom