Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Kuanza kuishi bila ndoa hiyo ni moja ya sababu watu kuachana. Nikki haendani kabisa na ile Tandam.... cha muhimu kashaitafuna kwa miaka kadhaa awaachie wengine sasa.. muda wake ushapita.

Demu mkali halafu kipanga wa hatari kwenye uhasibu... kwa vyovyote vile ilikuwa lazima Nikki aachwe.
Nikki alimuanika sana ndio shida
 
Afu amembwaga pazuri, jamaa⁸ akiwa DC ili ionekane kaamua tyuuh, maana vingnevyo wangesema kamtema jamaa kisa hana mkwanjaa.

Kamuachaa patamuuuu.
Kwani ma DC wana nini sasa ? Ambao tunakolomeana nao na kuishia kututisha kutuweka ndani.. nje hapo ni 🥲🥲🥲🥲.. ndio maana watu makini huwezi waingiza mkenge kwa UDC labda wilaya za madili kama ....... nje hapo DC mweupe sana
 
Nasemajeeee Nasemajeee Nasemajeeee

Fanya uwezavyo Mke/Mpenzi wako wana wasimjue

Hata akigongwa fresh hawajui ni chombo ya Controla

Sasa nyie jifanyeni waanzilishi wa insta postini sana Watu wenu wake.watoto.waume

warusheni sana huko,ila ndio mkae kwa gia no 1 anytime hali ya hewa ikichafuka unchafuka kweli kweli

Kumjua Mke/Mpenzi wangu labda umtafute Mshenga wangu otherwise hata house girl wangu hamjui mke wangu!
Nasemaje nasemaje piga bomu la mwishooo! paaaaaaaaaaaaaa!
 
Back
Top Bottom