Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Nikki alimuanika sana ndio shida
 
Afu amembwaga pazuri, jamaa⁸ akiwa DC ili ionekane kaamua tyuuh, maana vingnevyo wangesema kamtema jamaa kisa hana mkwanjaa.

Kamuachaa patamuuuu.
Kwani ma DC wana nini sasa ? Ambao tunakolomeana nao na kuishia kututisha kutuweka ndani.. nje hapo ni 🥲🥲🥲🥲.. ndio maana watu makini huwezi waingiza mkenge kwa UDC labda wilaya za madili kama ....... nje hapo DC mweupe sana
 
Nasemaje nasemaje piga bomu la mwishooo! paaaaaaaaaaaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…