Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Nimewahi kupitia anayopitia Nikson sasa hivi !

Ni kipindi kigumu mno.

Mtu unaweza kufurahi anachopitia Ila Cheka Sana, furahi Sana, imba Sana Ila usiombe ukapitishwa kwenye huu mtihani WA mtoto wako WA Kwanza kuambiwa sio WA kwako. Na mahusiano yako on spot yanakuwa yanaharibika Kwa kipindi hicho hicho. Acha kabisa unaweza kuwa chizi


Namuombea Nikson Hold On naamini utakuwa umefanya maamuzi ya busara na ninakuombea mungu akupe nguvu na busara. Ukiweza kuvuka hiki kipindi unaenda kuwa Nickson Bora zaidi ya ulivyokuwa.
Kwahio mzee ulibambikiwa bao.
 
Kinachouma kwenye kuchapiwa, ni vile manzi anavyokuwa anatoa ushiriakiano. Ndio maana kwenye kufumania, mwenye mke nguvu zinamuishiaga.

Sasa mfano hii video, kama mh DC kaiona, unadhani maumivu yake yapoje? Maana sidhani kama mkewe huwa anajiachiaga vile, au kufurahia kwa kiwango kile. Apige chini tu
Fanya kunitumia mkuu
 
Sifurahii kilichompata namuonea huruma kinoma. Lakini mchizi naye alikua na ushamba sana. Mambo ya kumuanikaanika mwanamke wako ovyo unawapa mshawasha timu majaribio waone hasa kinachosifiwa. Na wanawake hawalazi damu ukienda round 2 akichomoa una mkosi ukaoge.
Atachomoa ila sio kwa chalii halafu fogo kinyama, unamuendea with full confidence, unasukuma 2023 Rangerover. Unanukia manukato ya gharama with classic apparel atachomokaje yani. You are the man of her dreams yani hawezi kubali kuipoteza hio nafasi hata kwa sekunde. Lazma upite nae tu.
 
Back
Top Bottom