Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Mahindi zamani yalishuka bei huko Ruvuma, Sumbawanga, Katavi mpaka Gunia la debe 7 lilikuwa 18000-30000 na hapo hakuna mnunuzi.Ni magufulo huyo huyo enzi ya utawala wake watu walipolia bei ya nafaka ipo juu alijibu na kuwaaambia watu basi kama mnaona nafaka ipo juu limeni ya kwenu muuze kwa bei ya chini. Kilimo kinatesa asikwambie mtu. Tunapambana kulima sisi wakulima nina stock ya gunia kama mia moja mahindi afu 50 za mpunga acha tuwale vichwa nyinyi wavivu wa kulima maana kuna kipindi bei inashuka tunauza mahindi hadi elfu 36 gunia.
Kuna nini huko!!Acha stori za tenda
Nenda Taveta ujionee mwenyewe
Njoo nkukodishie shamba ulime mwenyeweJana nimenunua sembe kilo 5 shilingi 8,500/= na kuna watu wanashabikia mahindi yaendelee kupelekwa nje.
We lafa sana. Sababu ya njaaWacha bei za nafaka zipande zifike hata 10,000 kwa kilo moja,watanzania wengi ni mazwazwa.
Wacha tunyoroshwe hadi madushe yashindwe kusimama kutokana na njaa.
Mkuu kesho nikiamka salama napandisha bei ya karanga mpk zifike buku 5 per kiloKula Izo karanga mwenyewe ..
Kilimo ni uti wa mgongo wa kila Mtanzania bwasheee,Ulishaona nchi ambayo kila mtu ni mkulima, au na wewe ni mlanguzi wa mazao mnaoibia wakulima kwa kubana mizani, lumbesa na kangomba.
Kama utampata mteja hongera ila kama ni ndoto endelea kuota mpaka karanga zako zitakapooza.Mkuu kesho nikiamka salama napandisha bei ya karanga mpk zifike buku 5 per kilo
Imeshabatilishwa hiyoNa bado watu wanaambiwa wauze nje ya nchi wanavyojisikia.
Hapa tunakaribisha njaa.
Miaka mitano ya magufuli watu walikuwa hawana amani kama hivi sasaImeshabatilishwa hiyo
Amani gani?Miaka mitano ya magufuli watu walikuwa hawana amani kama hivi sasa
Wewe ni mkulima au dalali?
Jana nimenunua sembe kilo 5 shilingi 8,500/= na kuna watu wanashabikia mahindi yaendelee kupelekwa nje.