Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Poleni sana kwa familia na waTanzania wote

KUTOKA MAKTABA : MZEE MOLLEL AKIHOJIWA NA KITUO CHA TELEVISHENI CHA MAREKANI

Mzee Loitu Mollel video clip hapo chini akihojiwa na kituo cha televisheni cha PBS News Hour cha Marekani kuhusu mwanae Joshua Mollel ambaye hadi sasa hajulikani alipo hapo tarehe 05 December 2023. Mzee Loitu Mollel amzungumzia kuhusu bidii ya mtoto wake Joshua Mollel kwa kirefu na clip ikionesha Joshua kwa vitendo alivyo jikita katika kujiendeleza kwa bidii akiwa na matumaini ya kesho bora zaidi kwa familia yake na taifa la Tanzania katika ujumla wake.


View: https://m.youtube.com/watch?v=K-sfcAuY3lcBut of the 240 hostages, dozens were migrant workers from Thailand, the Philippines, Tanzania and Nepal. Nick Schifrin has some of their stories.
 
Ndiyo maana Mayahudi hawataki cha ceasefire ni kutembeza kichapo tu
 
Siropoki Chief
Ila chunguza vzr maneno yako,ndio utaona uroporopo wako.
 
Gone too soon..

Rip.
 
Serikali ya awamu ya sita imeshindwa hata kutoa kauli ya kulaani kutekwa kwa kwa raia wake, kazi ni kusifu na kutukuza ujinga, huku tukipokea maiti za watanzania waliouawa na magaidi wa hamas. Inaumiza sana
Siku moja jielimishe, Kipindi cha Baba wa Taifa alikata ubalozi na Israel. Baba wa Taifa mwenye Kheri
 
Huku tunaandamana kiwendawazimu na bendera fuata upepo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukristo wao ndiyo umefanya wauwawe hawa vijana. Waarabu wanaudini sana. Siyo waarabu wa Tanzania lakini.
 
Ila Tanzania tunatukuza udini kuliko utanzania wetu. Mtanzania katekwa na Hamas kauawa mikononi mwa Hamas. Mtu anawatetea Hamas na kumuona mtanzania mwenzake hafai. Aiseeh!
 
Ulaaniwe kabisa ww gaidi la kiislamu mna roho mbaya sn ham hamfai kuishi duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…