akatiwanya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 674
- 868
Karibu mkuuHapo kuna madini ya almas haswa ...kuna siku nilisikia kuwa mechi 5 au ni kampuni tofauti au wameongeza mechi kutoka 5 hadi 8 ? Ngoja baadae nitakuja na madini ya aina hiyo ya return ππ
NAIPA JINA .....π₯π₯π₯7 DECOY 1 ATTACK π₯π₯π₯
Kwa wale wafuatiliaji wa mambo ya vita kama russia na ukrain najua mmeni soma.
Jama habari ya leoπ€π»
Ni kwangu tuu Paripesa inanitesa ama ni kwa woteπ
Tangu juzi ya tarehe 5.10.2024 saa nne ya asubuhi niliweka pesa kupitia Vodacom line na mpaka leo hii naandika hii post account iko empty.
Nisaidieni wadau wenzangu.
Na nimewapigia vodacom wakaniambia pesa imeshaenda pande ile niwasiliane nao.
Sasa mawasiliano kwao Paripesa imekuwa tabu.
Msaada wadau wenzangu tafadhali.
Wewe jamaa mikeka yako Jana niliifuata ,japo imepoteza ila una kitu kichwani,utakuja mpiga kanji vibaya mno siku mojaDa ...odds 4153 zimechana mechi 2 tu jana matreni yangu niliyo post yote ni timu 2 zimezingua kanji kapona kifo ila katoka maututi
Hiyo ya one lost out of 5 or 8 ni nzuri sana kucheza ngumu kumeza mimi bado sija amini kama makampuni ya kamari yanaweza kufanya hilo kosa la kurudisha pesa kwa kukosa mechi moja kati ya 5 au 8 maana hapo lazima mkamaria makini ana tajirika ?Mostly natumia sportybet ama betwinner....
mimi mwenyewe nina hisia kama zako aisee, make dah!Alafu kacheza na kibonde kabisa yani hizi timu kuna namna sielewi nini kinatokea
Tupia code za mida hii mkuuDa kanji bai leo ..hadi huu
Hongera sana mkuu.π₯π₯π₯π
mkuu lini unashusha zle odds mlimaπ₯π₯π₯π
we jamaa, nini siri ya mfanikio yako?Da kanji bai leo ..hadi huu
Wanakurudishia ileile hela uliyocheza kiongozi....Hiyo ya one lost out of 5 or 8 ni nzuri sana kucheza ngumu kumeza mimi bado sija amini kama makampuni ya kamari yanaweza kufanya hilo kosa la kurudisha pesa kwa kukosa mechi moja kati ya 5 au 8 maana hapo lazima mkamaria makini ana tajirika ?
Binafsi nimelifutilia mbali li-app lao na nimewaachia elfu 19 wakae nayo,,,, ***** zao tangu juzi no salio,,, alafu cyo mara moja,,,,Jama habari ya leoπ€π»
Ni kwangu tuu Paripesa inanitesa ama ni kwa woteπ
Tangu juzi ya tarehe 5.10.2024 saa nne ya asubuhi niliweka pesa kupitia Vodacom line na mpaka leo hii naandika hii post account iko empty.
Nisaidieni wadau wenzangu.
Na nimewapigia vodacom wakaniambia pesa imeshaenda pande ile niwasiliane nao.
Sasa mawasiliano kwao Paripesa imekuwa tabu.
Msaada wadau wenzangu tafadhali.
Hiyo promo code inasaidia Nini?View attachment 3117969
MKEKA WA SIKU KWENYE PARIPESAβ½
π Betia PARIPESA, Kama Huna Akaunti Tengeneza Akaunti Ya PARIPESA π.
PariPesa
PariPesa
Promo Code: TIPS2424
Booking Code: FL1F3
π Pata Bonus Ya 250000 Kwenye PARIPESA Ukijiunga Leo Na Kuweka Promo Code TIPS2424