Washa VPNJama mbona tellegram kwangu haifunguki?
Nimerefresh ila ya mafanikio kuna nini jamani?
Msaada tafadhalini.
Washa VPN
Download VPN kisha washa, kama haitakubali angalia networkNaona bado haikubali Kiongozi😥
Sijui nakwamba wapi mpk muda huu.
Download VPN kisha washa, kama haitakubali angalia network
Jaribu ku updateMbona haikubali Kiongozi?
Nilishawahi kukuambia ukaniona kama Sina akiliMpaka leo account ni empty jamaa wangu.......sitawaamini tena na waliponifikisha itoshe niseme imetosha😥
TunasubiriaAndaa 200 kutest milioni 90 kesho
SGR Mwisho wa Reli nazuka nalo
Tunasubiria
Kama nilijua ku cash out 😁😁😁😁nilipoona litimu la home linashambulia ila alifungi 😁😁Kazi kazi
Wakuu natafuta odds 2 kuna gemu znaanaza saa 9 dk 45Kama nilijua ku cash out [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nilipoona litimu la home linashambulia ila alifungi [emoji16][emoji16]