DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Moja moja hii game nipo live naiangaliaNgoja tuone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja moja hii game nipo live naiangaliaNgoja tuone
😅Moja moja hii game nipo live naiangalia
Kulikoni 😳Kuna alompa galatasaray humu??😀😀
Nimekwama jama hawana USHIRIKIANO kabisaNi Bora ungetumia Kwa wakala wa 1xbet kuliko kuweka mwenye hiyo ni changamoto pole sana mkuu
Nilimpa apate goli 2+Kuna alompa galatasaray humu??😀😀
Hawezi pata hata sareGonoa ana odds 7 ku win nataka nimfate mazima
Pole sanaNimekwama jama hawana USHIRIKIANO kabisa
Game ya moto hiii 😂Hawezi pata hata sare
Tafuta wakala akuwekee walau buku kumi, then tafuta odds ya kuanzia 1.1 weka mzigo wote uliopo kwenye akaunt yako, ukishinda nenda kwa wakala toa hela yako itatoka freshHABARI... MSAADA WENU TAFADHALI.
Tarehe 13/02/2025 nilitoa fedha Kwa njia ya Tigo Pesa kutoka kwenye account yangu ya 1x bet na mpaka sasa pesa hiyo sijaipata.
Mpaka sasa kilichopo ni ujumbe huu "Approved (please wait to receive the final status from the payment system)"
Na ukiufungua wananambia "Transaction is being processed. Awaiting operator confirmation"
Nimecheki nao Kwa email hawajibu, ukirequest wakupigie wanakupigia ila MWISHO hawana msaada wanakuelekeza KUFANYA mawasiliano Kwa njia ya email.
Nimestuck na matumaini ya kuzipata fedha zangu yanapungua note. Ni zaidi ya 1 million.
Na asiwekw afkumi kwa maramoja. Aweke hata buku mbili mbuli awamu tano tofauti(kila baada ya dkk10/15 hv). Ili njia ya kutoa ihame toka Tigopesa iende kwa WakalaTafuta wakala akuwekee walau buku kumi, then tafuta odds ya kuanzia 1.1 weka mzigo wote uliopo kwenye akaunt yako, ukishinda nenda kwa wakala toa hela yako itatoka fresh
Yani over 1.5 auHivi game ya Man U inaweza toa goal 2?
Hela nshaitoa haipo kwenye account wanaishikilia wao.Tafuta wakala akuwekee walau buku kumi, then tafuta odds ya kuanzia 1.1 weka mzigo wote uliopo kwenye akaunt yako, ukishinda nenda kwa wakala toa hela yako itatoka fresh