Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Unataka mawakala wakuoneshe ushirikiano wakati na wewe hukuonesha ushirikiano kwa kudeposit kupitia wao?? Hakuna wakala atakayekusaidia hapo. Na epuka sana kutumia njia za Tigopesa sijui Mpesa. Zinaondolewaga mara kwa mara. Tumia mawakala
 
HABARI... MSAADA WENU TAFADHALI.

Tarehe 13/02/2025 nilitoa fedha Kwa njia ya Tigo Pesa kutoka kwenye account yangu ya 1x bet na mpaka sasa pesa hiyo sijaipata.

Mpaka sasa kilichopo ni ujumbe huu "Approved (please wait to receive the final status from the payment system)"

Na ukiufungua wananambia "Transaction is being processed. Awaiting operator confirmation"

Nimecheki nao Kwa email hawajibu, ukirequest wakupigie wanakupigia ila MWISHO hawana msaada wanakuelekeza KUFANYA mawasiliano Kwa njia ya email.


Nimestuck na matumaini ya kuzipata fedha zangu yanapungua note. Ni zaidi ya 1 million.
Tafuta wakala akuwekee walau buku kumi, then tafuta odds ya kuanzia 1.1 weka mzigo wote uliopo kwenye akaunt yako, ukishinda nenda kwa wakala toa hela yako itatoka fresh
 
Tafuta wakala akuwekee walau buku kumi, then tafuta odds ya kuanzia 1.1 weka mzigo wote uliopo kwenye akaunt yako, ukishinda nenda kwa wakala toa hela yako itatoka fresh
Na asiwekw afkumi kwa maramoja. Aweke hata buku mbili mbuli awamu tano tofauti(kila baada ya dkk10/15 hv). Ili njia ya kutoa ihame toka Tigopesa iende kwa Wakala
 
Baada ya kupita miaka mingi jana nikasema ngoja nikumbushie akaunti yangu ya parimatch aisee nilijuta hawa jamaa naona hawabadiliki system yao nzito balaa interface yake still very poor yaani kuweka game moja tu unaweza kutumia hata dkk5 aisee ambao bado wanatumia nawapa pole
 
Back
Top Bottom