Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Timu 13 ambazo ni nyingi sana na kwa kawaida ni ngumu kushinda labda uwe na mzizi sababu muhindi ni mgumu kuliwa

Idadi ya kawaida ambapo kuna uwezekano wa kushinda ni ngap....?i
 
Habari wakuu samahani kwa usubufu nilikiwa naomba litolewe darasa kidogo juu ya huu mchezo wa Kubet
Nimekuwa nipo intrested na online betting naomba tungepata mwongozo kidogo kala hatujaanza kuliwa/kulaa pesa za watuje
Je nini maaana ya ODDs

nimesikia watu wanasema wanabet mara live ndo nini na mwingine anacheza cjui red card
Je nikitaka kujua timu yenyne chance kubwa ya kuwin nafanyaje
nikitaka kusuka mkeka nafanyaje
NAOBA MSAADA JAMANI
(kwa online)
cc
Rockcity native mathematics Andybird 314
 
Timu 13 ambazo ni nyingi sana na kwa kawaida ni ngumu kushinda labda uwe na mzizi
sababu muhindi ni mgumu kuliwa

Nimeingia Meridian.co.tz ikaniletea cjui SKY BET,PADDY POWER,natakiwa niclick wapi ili nipate mahali pa kujisajili
 
Nimeingia meridianbet.co.tz kupitia Google for the case of kujisajili kwanz imeniiletea search meridianbet.Com instead of search meridianbet.co.tz,halfu inaleta heading meridianbet nikaiclick,ikafungua kitu kinaznguka halfu chini ya hicho ki2 kinachozunguka kunaandikwa javascript.
Embu ufafanuzi kidogo katika hili
 
xyz123 mimi nimekuelewa vizuri sana, tatizo kubwa upande wangu ni network mbovu ila hilo litaisha kuanzia week hii.
Umeelezea vizuri sana natumai wengi tutafata mfano wako.
 
Last edited by a moderator:
Loverness
Ingia meridian.co.tz
Afu fata hii thread toka mwanzo utaelewa vizuri na itakusaidia maana wengi tulianza kwa kuisoma toka mwanzo ndio tukaingia. Maelezo yapo.
Japo Rockcity native unatakiwa uweke maelezo pale kwenye mwanzo wa thread ili watu wakisoma wakutane na haya maelezo.
 
Last edited by a moderator:

Unachosema ukwel mkuu....tuzidi kushirikiana tu
 
Hii option ya red card na penalty ipo katika kila mechi au baadhi ya mechi?

Hii option ipo katika major league tuu, spain, england, italy, germany, na france. Huwa ipo siku za weekend. Na hizi option kwa meridian zinakuwa activated alhamisi jioni kwa ajili ya mechi za weekend.
 
Wakuu ganji ya leo. Sandakalawe, atakayepata apate.

Express your self.!
*104*37974 94384 503 11#
*104* 30500 72655 49232#

Baba lao
* 149* 9953 9684 9437 82#
* 149* 4963 3934 1291 40 #

Kazi ni kwako.
* 104 * 65443 365008 0941 #
*104 * 42976 347070 5019 #

Sharing is caring wadau. Mikeka myema..!

One Love.
 

thanx mkuu mi nimeiwai moja ya kazi ni kwako
 

Mkuu nimeingia Meridian.co.tz ila inafunguka na kuniandikia Javascript tu,kwani kuna kitu unatakiwa kudownload....?
 
Da nashukuru mkuu nimeipata hiyo inayoishia na 82
Ubarikiwe mkuu uzidishiwe mara millioni

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mkuu nimeingia Meridian.co.tz ila inafunguka na kuniandikia Javascript tu,kwani kuna kitu unatakiwa kudownload....?

inawezekana simu unayotumia haina uwezo wa kufungua vizuri. Jaribu kwnye laptop may be
 
jamani leo nimeingia premier sports betting tanzania.... inaniletea fixtures ambazo zishapita yaani za tar 18 na 19... nifanyaje??
 
Hajapost premier set mpya toka ijumaa.....

Ila chek premierbetting.gh hyo ni ya ghana fixture znafanana ila itabid ukienda kubet uangalie tu set ya bongo pale juu.pia mda ni tofaut saa nne kwao huku saa nane
 
Snipercorp na rockcity naomb mnielewexhe meridian ukideposit inachukua muda gan mpaka waniweke kwny akaunt yang nme2mia M Pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…