Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Shabiki wa Man U lakini Arsenal wameniudhi sana leo,,.. wamemwachia chelsea ajikite kileleni zaidi..,, nawahurumia sana mashabiki wa Gunners 🙁 ..,,
 
Shabiki wa Man U lakini Arsenal wameniudhi sana leo,,.. wamemwachia chelsea ajikite kileleni zaidi..,, nawahurumia sana mashabiki wa Gunners 🙁 ..,,

Mzee mwenzangu vipi mkeka wa red card bado unahema? Nimeona red mbili Italy.
 
Shabiki wa Man U lakini Arsenal wameniudhi sana leo,,.. wamemwachia chelsea ajikite kileleni zaidi..,, nawahurumia sana mashabiki wa Gunners 🙁 ..,,

aisee tumeumia sana washika bunduki lakini upande wa pili wa shilingi nimeingiza mpunga
 
leo epl ilikuwa uchi, ilihitaji ujasiri tu kidogo!

nani angejua asernal angepigwa 2 bila majibu?

nani alijua manyuu leo hatakuwa mdebwedo?

nani angejua southampton leo lazima wafungwe na spurs? kumbuka southampton hawajwahi poteza mchezo toka epl ianze.

iliyokuwa wazi tu kidogo ni gemu ya west ham na qpr!

odds jumla zilikuwa arround 9
 
Dk ya 80 juventus 2 Roma 2, mkeka soon unachanika
 
Mkuu pole sana, haya makampuni utadhani yanamanage matokeo, maana hali ni ngumu kwa investors

mm nadhani wakiona timu watu wameipa sana, wanatafuta njia ya kui-manage,

na gemu itakayoniuma muda mrefu sana ni inter 1 - 4 cagliari , nilikosa laki 8 hii siku sababu ya gemu moja tu na niliiamini inter kushinda sana.

acha tu mkuu, kama jana derby county kushindwa kuifunga millwall ni kitu ambacho siamini hadi leo, jana nimekosa laki 6 sababu ya gemu niliyoiamini sana.
 

aisee hiki ulichoongea kinawezekana kwa asilimia nying sana, mana kuna gemu zingne matokeo yake yanakujaga zaidi ya kinyume yan
 
Dk ya 80 juventus 2 Roma 2, mkeka soon unachanika

watu majasiri, gemu kama hzi huwa naziangalia tu

dk 90+3

juve 3-2 roma , juve kapewa penati 2 moja ndio goli la kawaida,

inaonekana hii match wakubwa wameweka mzgo kwa juve na hawataki apoteze!
 

Mechi ya Inter iliniharibia sana, nililoose 2m kwa sababu ya game hiyo 1 tu! Tena niliweka mpunga kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…