Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
mkeka wangu bado unapumua kie kie kie
Dah! Angalau nimelamba kidogo, acha nitafte team 1 nidouble mzaga wote
Naombeni mkeka wa leo ndugu zangu normal na handcappy
cc:deo
Naombeni mkeka wa leo ndugu zangu normal na handcappy
cc:deo
Mi leo maumiv hata sina ham ya kubet mikeka ya usiku
mkeka wangu ushakufa,!
ha ha liver tayar moja nasubiri 2nd half iwe 1+1
mkuu unabet via wapi? Mimi leo nimehamia meridian betting.
meridian kaka hadi sasa nichakula pesa
tokeo ni 2-3
Naona liver wameimaliza game. Baloteli na ronaldo fanyeni yenu basi
umelamba dume! Madrid na milan hawanaga mchezo