ngoja nibane pumb.u
oya wazee wa kubet naomba mnijuze odds za meridian kama zina tofaut na za huyu muhind wa premium beting
ni nzuri tena kuna options za kubet nyingi sana. Ingia webste ya meridian.
nipe link yao kaka. Halafu wanaruhusu kuchanganya handcap na normal?
natumia simu. Just google meridian betting.
uliipa under 2.5 au 3 plus? Mimi liver nimempa win ya kawaida. Namsubiri madrid nimempa under 2.5.
nilibet 1+1
hivi 1+1 na under 2.5 tofauti yake nini? Vipi na ile 3+? Nimeanza jana,kuna kamkeka ka buku3 kametiki ila ule mrefu ac milan wameharibu pia madrid kashnda goli moja tu.
1+1 maanake kila kipindi kiwe na goli,under ya 2.5 maanake mpaka dakika 90 magoli yasizidi 2 na 3+ magoli yawe 3 na kuendelea.
chonde chonde mkuu,hela ya ada,mkopo au ya kutumwa usiilete mikekani. Utalia! Tafuta hata buku2 ndo uanzie na ukipata ,ibetie tenanina kahela kangu nilikakopa saccos, ngoja nijaribu kukazalishia kwenye mikeka
kie kie kie tumieni online kuna kitu kinaitwa "cash out betting" hio ukiweka mkeka mrefuu na ukiwa karibia shinda betting shop.wanakupa offer ya mzaga
Kie kie kie tumieni online kuna kitu kinaitwa "cash out betting" hio ukiweka mkeka mrefuu na ukiwa karibia shinda betting shop.wanakupa offer ya mzaga
hivi 1+1 na under 2.5 tofauti yake nini? Vipi na ile 3+? Nimeanza jana,kuna kamkeka ka buku3 kametiki ila ule mrefu ac milan wameharibu pia madrid kashnda goli moja tu.