Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupata laki 9 wiki mbili hizi uongo, nitatupiwa vitu nje. Labda nipige matukioutaliwa pesa ingia mtaana ufanye kazi bro
Usijaribu mkuu......tafuta namna nyingine ya kupata hiyo Kodi....Sijawai kubet ila nna shida ya kodi ya kupanga nadaiwa na mwenye nyumba hataki hadith yoyote nipeleke kodi au apige kufuli lake.
Nimewaza kupata helq ya chap chap labda nijaribu betting. Naisaka laki 9 .
Wenye kuguswa mnishauri mimi sijui kabisa betting nimeamasika baada kuona dogo mtaani kapata million mbili aliweka elfu 20 timu kumi zifungane magoli nafikiri kila timu iweke goli haijalishi matokeo nikaona kumbe inawezekana.
Nataka niichome elfu 30 yangu ebu mnisaidie nifanyeje niweke vipi mikeka yangu walau mitatu au minne nipate million, nikiliwa basi nitaachana kabisa na hizi ishu coz sikuwai kuvutiwa nazo.
Unaweza pia kunichek PM unisaidie, nabetia shida sina namna.
Hiyo pesa unataka kubetia unaweza nunua vitumbua na soda huku unatafakari namna yakushawishi mwenye nyumbaSijawai kubet ila nna shida ya kodi ya kupanga nadaiwa na mwenye nyumba hataki hadith yoyote nipeleke kodi au apige kufuli lake.
Nimewaza kupata helq ya chap chap labda nijaribu betting. Naisaka laki 9 .
Wenye kuguswa mnishauri mimi sijui kabisa betting nimeamasika baada kuona dogo mtaani kapata million mbili aliweka elfu 20 timu kumi zifungane magoli nafikiri kila timu iweke goli haijalishi matokeo nikaona kumbe inawezekana.
Nataka niichome elfu 30 yangu ebu mnisaidie nifanyeje niweke vipi mikeka yangu walau mitatu au minne nipate million, nikiliwa basi nitaachana kabisa na hizi ishu coz sikuwai kuvutiwa nazo.
Unaweza pia kunichek PM unisaidie, nabetia shida sina namna.
sas mfano kesho weka 50k kuna mech kali sanaKupata laki 9 wiki mbili hizi uongo, nitatupiwa vitu nje. Labda nipige matukio
Elfu 50 sina mkuu ningejilipua potelea mbali niwe nimejaribu kufanya kitu kujipambaniasas mfano kesho weka 50k kuna mech kali sana
Dah mpe na wa juzi Madrid na Bayern walivyochana
Hiyo ni pata potea usijaribu, tuliza fuvu utapata ufumbuzi wa tatizo lako, "there is no easy money"Sijawai kubet ila nna shida ya kodi ya kupanga nadaiwa na mwenye nyumba hataki hadith yoyote nipeleke kodi au apige kufuli lake.
Nimewaza kupata helq ya chap chap labda nijaribu betting. Naisaka laki 9 .
Wenye kuguswa mnishauri mimi sijui kabisa betting nimeamasika baada kuona dogo mtaani kapata million mbili aliweka elfu 20 timu kumi zifungane magoli nafikiri kila timu iweke goli haijalishi matokeo nikaona kumbe inawezekana.
Nataka niichome elfu 30 yangu ebu mnisaidie nifanyeje niweke vipi mikeka yangu walau mitatu au minne nipate million, nikiliwa basi nitaachana kabisa na hizi ishu coz sikuwai kuvutiwa nazo.
Unaweza pia kunichek PM unisaidie, nabetia shida sina namna.
Binafsi huwa staki kbs kumshauri mtu eti abet ,,,, mmhHiyo ni pata potea usijaribu, tuliza fuvu utapata ufumbuzi wa tatizo lako, "there is no easy money"
Muongeze na man u Ili kikosi Cha kanji kitimieKuna odds saba za kufumba macho:
Madrid win
Baselona win
Chelsea win
Arsenal win
Man city win
Liverpool win
Mengine tumwachie mungu
Kosi kamili 🤣🤣Muongeze na man u Ili kikosi Cha kanji kitimie
Humu wengi wanabet kutafuta kipato cha ziada lakini bado wanekupa ushauri usijaribu hivyo hata mie najazia USIJARIBU kufanya hivyo wewe bet kutokana na uwezo wako huku ukitafuta hiyo kodiElfu 50 sina mkuu ningejilipua potelea mbali niwe nimejaribu kufanya kitu kujipambania
Shida mnatumia kampuni za hovyo, sisi wa sportybet tulimpa Simba win na bado mikeka inapumuaYaani Simba bhana siku nikimwamini anazingua nisipomuamini anatoa
Sportybet mnatunanga sana utafikiri kila game itakayo lost mkeka utapona 😂Shida mnatumia kampuni za hovyo, sisi wa sportybet tulimpa Simba win na bado mikeka inapumua
Liverpool yupo away, chelsea anakutana na watoto wakamiaji wa vigogo.. stay awake my brother.Kuna odds saba za kufumba macho:
Madrid win
Baselona win
Chelsea win
Arsenal win
Man city win
Liverpool win
Mengine tumwachie mungu
😀😀😀😀😀😀Hiyo pesa unataka kubetia unaweza nunua vitumbua na soda huku unatafakari namna yakushawishi mwenye nyumba
Kwenye flashsave mhindi anakupa win kama kukiwa hakuna mategemeo kabisa ya matokeo kuja tofauti mfano leo simba anaoongoza 2-0 hakuna ambae angeweza kufikiria kama Coastal anaweza kuchomoa.Zinafanana ila utofauti wake mimi nilivyoona hii flash save ni system yenyewe automatic inaamua kulingana na aina ya mechi yenyewe ila huku kwenye 2Up ww mwenyewe unaset na kumbuka kwenye kuset 2up kuna odds zinapungua
Nataka kukupa mkeka wa mechi za jumamosi na jumapili, wewe una mtaji wa shilingi ngapi kwa ajiri ya kubet?Kupata laki 9 wiki mbili hizi uongo, nitatupiwa vitu nje. Labda nipige matukio