Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Sijawai kubet ila nna shida ya kodi ya kupanga nadaiwa na mwenye nyumba hataki hadith yoyote nipeleke kodi au apige kufuli lake.

Nimewaza kupata helq ya chap chap labda nijaribu betting. Naisaka laki 9 .

Wenye kuguswa mnishauri mimi sijui kabisa betting nimeamasika baada kuona dogo mtaani kapata million mbili aliweka elfu 20 timu kumi zifungane magoli nafikiri kila timu iweke goli haijalishi matokeo nikaona kumbe inawezekana.

Nataka niichome elfu 30 yangu ebu mnisaidie nifanyeje niweke vipi mikeka yangu walau mitatu au minne nipate million, nikiliwa basi nitaachana kabisa na hizi ishu coz sikuwai kuvutiwa nazo.

Unaweza pia kunichek PM unisaidie, nabetia shida sina namna.
Usijaribu mkuu......tafuta namna nyingine ya kupata hiyo Kodi....

Hii 30k ikiliwa utaumia mno.
 
Sijawai kubet ila nna shida ya kodi ya kupanga nadaiwa na mwenye nyumba hataki hadith yoyote nipeleke kodi au apige kufuli lake.

Nimewaza kupata helq ya chap chap labda nijaribu betting. Naisaka laki 9 .

Wenye kuguswa mnishauri mimi sijui kabisa betting nimeamasika baada kuona dogo mtaani kapata million mbili aliweka elfu 20 timu kumi zifungane magoli nafikiri kila timu iweke goli haijalishi matokeo nikaona kumbe inawezekana.

Nataka niichome elfu 30 yangu ebu mnisaidie nifanyeje niweke vipi mikeka yangu walau mitatu au minne nipate million, nikiliwa basi nitaachana kabisa na hizi ishu coz sikuwai kuvutiwa nazo.

Unaweza pia kunichek PM unisaidie, nabetia shida sina namna.
Hiyo pesa unataka kubetia unaweza nunua vitumbua na soda huku unatafakari namna yakushawishi mwenye nyumba
 
Sijawai kubet ila nna shida ya kodi ya kupanga nadaiwa na mwenye nyumba hataki hadith yoyote nipeleke kodi au apige kufuli lake.

Nimewaza kupata helq ya chap chap labda nijaribu betting. Naisaka laki 9 .

Wenye kuguswa mnishauri mimi sijui kabisa betting nimeamasika baada kuona dogo mtaani kapata million mbili aliweka elfu 20 timu kumi zifungane magoli nafikiri kila timu iweke goli haijalishi matokeo nikaona kumbe inawezekana.

Nataka niichome elfu 30 yangu ebu mnisaidie nifanyeje niweke vipi mikeka yangu walau mitatu au minne nipate million, nikiliwa basi nitaachana kabisa na hizi ishu coz sikuwai kuvutiwa nazo.

Unaweza pia kunichek PM unisaidie, nabetia shida sina namna.
Hiyo ni pata potea usijaribu, tuliza fuvu utapata ufumbuzi wa tatizo lako, "there is no easy money"
 
Elfu 50 sina mkuu ningejilipua potelea mbali niwe nimejaribu kufanya kitu kujipambania
Humu wengi wanabet kutafuta kipato cha ziada lakini bado wanekupa ushauri usijaribu hivyo hata mie najazia USIJARIBU kufanya hivyo wewe bet kutokana na uwezo wako huku ukitafuta hiyo kodi
 
Zinafanana ila utofauti wake mimi nilivyoona hii flash save ni system yenyewe automatic inaamua kulingana na aina ya mechi yenyewe ila huku kwenye 2Up ww mwenyewe unaset na kumbuka kwenye kuset 2up kuna odds zinapungua
Kwenye flashsave mhindi anakupa win kama kukiwa hakuna mategemeo kabisa ya matokeo kuja tofauti mfano leo simba anaoongoza 2-0 hakuna ambae angeweza kufikiria kama Coastal anaweza kuchomoa.
 
Back
Top Bottom