Tulia uangalie kwanzaNI cash out au nisubiri
View attachment 3117145
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia uangalie kwanzaNI cash out au nisubiri
View attachment 3117145
Kiukweli timu zilikua zimekaa vibaya leo mikeka inatoboa kiroho ngumu tu lakini kuna namna tujifunze kuangalia timu kwa jicho la tatu mfano mechi ya bayern Chelsea juve au jana Dortmund wapinzani hawakua wanyonge sanaleo moyo ulikua mzito mno kuweka mikeka,
nikajitia jeuri,......
Toa mzigo ,utakuja nishukuru,Hali ya Sasa ni teteNI cash out au nisubiri
View attachment 3117145
Nilikaza...kanji kakaliaI hope hukucash out
Hali ya hewa mbayaa....ukungu umezidiBenfica Nini tena tena suspended ,mambo yanataka kuharibika
Lakini si umeambulia refund mkuu?
zAman nilikuwa sipend na naogopa sana maisha ya kubahatisha lakin leo nimejikuta naishi maisha hayo na mpaka nimezoeaMaisha sio mepesi hivyo, alafu kwanini mwanaume uishi kwa kubahatisha? Utalisha familia kweli!
Lini alikuja kukuomba hela ya dagaa mkuu?Maisha sio mepesi hivyo, alafu kwanini mwanaume uishi kwa kubahatisha? Utalisha familia kweli!