Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wakamalia sportybet Nina hili Salio nataka mpaka mwakani mwezi wa 6 niwe na million 10 Kwa ajili ya ujenzi naombeni mawazo yenu nitembee vipi
Second option
Jiandae kisaikolojia kama vile Shabiki wa Man United

Hakuna options nyepesi in betting na hakuna eliejenga kupitia hiyo strategic betting set up.

Set plan ya kujenga through other resources ila sio betting,then acha betting iwe Subsidiary

Pia,jaribu kustake at mid ranges of stake,kana 20,000 iwe mwisho ktk each slip. Make sure you are not addicted to it

Set mkeka ambao not more that 5 matches regardless numbers of Odds, sometimes less odds inafanya mtu uendelee kuongeza Team,you yake it from reality to the heart base.

Narejea,hakuna option nyepesi, otherwise in week huna hata Mia.
Maana kila pesa ukuongezeka Umaskini huwa unapungua,pesa ikikatika unaona options za kula pesa njenje🤣🤣🤣. Wakati ukipata pesa inapotea

Nashauri tafuta matches Chache mnoo, otherwise Mechi nyingi utakuwa una wasste time with high tensions
 
Pamoja nimekusoma Sasa hivi itakua game zangu mwisho 10 tu nimefanya hivi sababu Kuna siku zingine unastake pesa ndogo ndio unatia hata games 10 double chance unasikilizia milio
 
Wakamalia sportybet Nina hili Salio nataka mpaka mwakani mwezi wa 6 niwe na million 10 Kwa ajili ya ujenzi naombeni mawazo yenu nitembee vipi
Sio Kwa ubaya ila nikushauri tu betting Haina formula ni ubahatishaji tu , VP je kama ukipoteza pesa yote🤔 .Bora utafute biashara ufanye mana ata biashara ikizingua Huwa haiendi na mtaji , mtaji utabaiki nao ila sio betting, inaliwa kama ilivo N.B beti kistaarabu, mipira haitabiriki statistics odds ukubwa na udogo wa timu ni nje ya uwanja, ukiingia uwanjani shughuli Haina mwenyewe.
 
8hmx9n.jpg

MKEKA WA SIKU KWENYE PARIPESA

Booking Code: 3ZB2J

Jisajili PARIPESA Hapa👇.

PariPesa

PariPesa

Promo Code: TIPS2424

📌 Pata Bonus Ya 250000 Kwenye PARIPESA Ukijiunga Leo Na Kuweka Promo Code TIPS2424
 
Laana yote ya dunia iwe juu ya zambia.
Na tuseme amen
We si ulijipangia matokeo 😂 acha kuwatukana wenzio 😂 we ulifosi matokeo yaje unavotaka wewe🙌🤣, pole ndo betting hyo tuko nje ya uwanja tunawapangia wadau matokeo watokeje
 
huyu ndo mwanaume kanji....unarud home saa 2 umeshachana jambo lako,hasira unammalizia mkeo
 
Mambo ni magumu wachanitume treni za HALF LOW STRESS ODDS 379 HIVI MSILIACHE

82C4CD

Odds 163 very low stress

8A9B4A
 
Back
Top Bottom