Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,837
- 14,198
Pepo la tamaa lisimwingie kabisa akaongeza timuSubiria league ianze
Then mpe Young Africans direct Win matches zoote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pepo la tamaa lisimwingie kabisa akaongeza timuSubiria league ianze
Then mpe Young Africans direct Win matches zoote
Sema lazima kuwe na mechi ya draw na kufungwa kuitambua ndio msalaSubiria league ianze
Then mpe Young Africans direct Win matches zoote
Tatizo lazima awe na mechi ya kufungwa na draw kuitambua ndio msalaPepo la tamaa lisimwingie kabisa akaongeza timu
Second optionWakamalia sportybet Nina hili Salio nataka mpaka mwakani mwezi wa 6 niwe na million 10 Kwa ajili ya ujenzi naombeni mawazo yenu nitembee vipi
Sio Kwa ubaya ila nikushauri tu betting Haina formula ni ubahatishaji tu , VP je kama ukipoteza pesa yote🤔 .Bora utafute biashara ufanye mana ata biashara ikizingua Huwa haiendi na mtaji , mtaji utabaiki nao ila sio betting, inaliwa kama ilivo N.B beti kistaarabu, mipira haitabiriki statistics odds ukubwa na udogo wa timu ni nje ya uwanja, ukiingia uwanjani shughuli Haina mwenyewe.Wakamalia sportybet Nina hili Salio nataka mpaka mwakani mwezi wa 6 niwe na million 10 Kwa ajili ya ujenzi naombeni mawazo yenu nitembee vipi
We si ulijipangia matokeo 😂 acha kuwatukana wenzio 😂 we ulifosi matokeo yaje unavotaka wewe🙌🤣, pole ndo betting hyo tuko nje ya uwanja tunawapangia wadau matokeo watokejeLaana yote ya dunia iwe juu ya zambia.
Na tuseme amen
Mbona kuna member humu alionya kuhusu Zambia mapema sanaLaana yote ya dunia iwe juu ya zambia.
Na tuseme amen
Daah we acha tu wamesepa na 80k yangu niliyodunduliza kwa mhindiWe si ulijipangia matokeo 😂 acha kuwatukana wenzio 😂 we ulifosi matokeo yaje unavotaka wewe🙌🤣, pole ndo betting hyo tuko nje ya uwanja tunawapangia wadau matokeo watokeje
hilo salio linaweza kukupa milion 100 au sh 100,.....Wakamalia sportybet Nina hili Salio nataka mpaka mwakani mwezi wa 6 niwe na million 10 Kwa ajili ya ujenzi naombeni mawazo yenu nitembee vipi
Wazee wa odds kichuguu, dau mlima.!!Daah we acha tu wamesepa na 80k yangu niliyodunduliza kwa mhindi