Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Leo pesa ipo maafisa wala msiwe na wasi tulieni maana mechi ni saa nne huko! Ila Man city ni mbovu sana tena anacheza na timu yenye nyota ya makombe ya uefa real Madrid! Yan usiogope Mpe Madrid win halaf kaa subiri kibunda! Na pia Juve baada ya kumsajili kolo muani naona anakiwasha sana na mechi ya leo ukiona kikosi kolo muani yupo basi mpe Juve mazima! Mashujaa akiwa pale Tanganyika kigoma ni ngumu kufungwa hivyo mpe win or draw! Mechi ya Kagera na tabora wote huwa wanafunguka na kushambulia hivyo ipe magoli mawili over 1.5 halaf tulia! Mechi ya simba na wajela jela iache huwa ni ngumu na ina odd ndogo
sahihi
 
wgpoji.jpg

Booking Code >>> EA329

Tumia Promo Code TIPS2424 Kujisajili Upate 200000 Bure Baada Ya Kudeposit .

Jisajili Melbet Hapa 👇

https://mlbt.cc/40coprj

https://mlbt.cc/40coprj

Promo Code👉 TIPS2424

Deposit Upate Bonus Ya 200000.
 
Wale wa KUJILIPUA
Karibu tulipuke...... die trying

Tia kilo moja kisha agiza kinywaji cha bariiiiiiiiiiidi
 

Attachments

  • CEDBF4C7-DF93-418C-AAA9-871F159B3D32.png
    CEDBF4C7-DF93-418C-AAA9-871F159B3D32.png
    174.7 KB · Views: 3
Wale wa KUJILIPUA
Karibu tulipuke...... die trying

Tia kilo moja kisha agiza kinywaji cha bariiiiiiiiiiidi
Hii ni zaidi ya kujitoa muhanda, siyo rahisi kabisa matokeo yote ya mechi 3 yaishe hivi, it is very unlikely.
Bora hata uzipe hizi mechi over 1.5 goals au over 2.5 goals.
 
Kiufupi mechi za uefa ni ngumu sana kutabiri kwa sababu hakuna uwiano wa wao kukutana mechi za nyuma tofauti ya ligi kuu ya nchi husika.
Binafsi nimeacha kabisa cheza mechi nje ya ligi kuu.
 
Psg hachek na wowote mpe win mazima anacheza na timu wanayotoka nayo ligi moja hivyo ushindi kwakwe sio kazi ngumu! Al ahly mpe win mazima yupo nyumbani akikuchania hyo ni bahati mbaya tu ila ushindi kwake ni muhimu! TNS mbabe wa pale ligi ya Wales kutoa magoli matatu sio ajabu kwake ila kwa kujilinda ipe mechi nzima itoe magoli mawili! Din Zagreb mpe mazima anacheza kuna cup leo huko kwao baada ya kutoa uefa sasa hana cha ziada zaidi ya kutaka kufanikiwa kuchukua cup hao na kukomalia kushinda kombe la ligi yao! Zamalek anacheza leo na pharco! Huyo pharco akiwa home pale ni ngumu kufungwa Yan zamalek kushinda leo ni ngumu labda abajatishe! Mpe pharco win or draw odd nying anazo na naona ni za bure kabisa kuliko kuchukua zamalek win or draw na wakat uwezekano wa kupigwa kwake ni mkubwa
Umetisha sana, uchambuzi wa kibabe kabisa.
 
Mwendelezo ni kila Jumatano na Jumamosi kila wiki. Naitwa Jay Alchemist mwandishi toka Afrika Mashariki. Uongozi wa taifa za Afrika ndio hutufanya waafrika tuwe nyuma. Tunaitwa The Dark Continent. Kisa? Viongozi wetu ni walafi na kama mwandishi wangu kipenzi BEN R MTOBWA alivyoandika: Hawa wanafakamia mali ya umma kwa njaa ile ya umaskini. Baada ya shibe, wanaendelea kufakamia mali ya jamii ili wailinde shibe hiyo. Jiunge nami katika hii safari ya wazalendo wa Afrika. Tusome hii simulizi iitwayo: Serikali ya Wezi, Taifa La Waliodanganywa. Simulizi hii ni sehemu Kijasusi kama ile series ya Joram Kiango ya Ben Mtobwa sehemu ya Kimaisha na sehemu kubwa riwaya kama zile za Ken Walibora

Kesho ni Jumatano: endelezo la simulizi yetu yenye utani na uandishi wenye kipaji kama waandishi wetu watukufu wa Afrika Mashariki. Katikati ya saa 6pm-8pm EAT.
Tutamwona binti mwenye mini anavyomtesa fisi mtaani!

 

Attachments

  • Jamii.jpg
    Jamii.jpg
    783.9 KB · Views: 4
  • Serikali ya Wezi Article.png
    Serikali ya Wezi Article.png
    782 KB · Views: 3
Leo pesa ipo maafisa wala msiwe na wasi tulieni maana mechi ni saa nne huko! Ila Man city ni mbovu sana tena anacheza na timu yenye nyota ya makombe ya uefa real Madrid! Yan usiogope Mpe Madrid win halaf kaa subiri kibunda! Na pia Juve baada ya kumsajili kolo muani naona anakiwasha sana na mechi ya leo ukiona kikosi kolo muani yupo basi mpe Juve mazima! Mashujaa akiwa pale Tanganyika kigoma ni ngumu kufungwa hivyo mpe win or draw! Mechi ya Kagera na tabora wote huwa wanafunguka na kushambulia hivyo ipe magoli mawili over 1.5 halaf tulia! Mechi ya simba na wajela jela iache huwa ni ngumu na ina odd ndogo
Mtoe Man City hapo, Gardiola ana stress za talaka. Hakuna kitu anafundisha pale kwa sasa.
 
Mwendelezo ni kila Jumatano na Jumamosi kila wiki. Naitwa Jay Alchemist mwandishi toka Afrika Mashariki. Uongozi wa taifa za Afrika ndio hutufanya waafrika tuwe nyuma. Tunaitwa The Dark Continent. Kisa? Viongozi wetu ni walafi na kama mwandishi wangu kipenzi BEN R MTOBWA alivyoandika: Hawa wanafakamia mali ya umma kwa njaa ile ya umaskini. Baada ya shibe, wanaendelea kufakamia mali ya jamii ili wailinde shibe hiyo. Jiunge nami katika hii safari ya wazalendo wa Afrika. Tusome hii simulizi iitwayo: Serikali ya Wezi, Taifa La Waliodanganywa. Simulizi hii ni sehemu Kijasusi kama ile series ya Joram Kiango ya Ben Mtobwa sehemu ya Kimaisha na sehemu kubwa riwaya kama zile za Ken Walibora

Kesho ni Jumatano: endelezo la simulizi yetu yenye utani na uandishi wenye kipaji kama waandishi wetu watukufu wa Afrika Mashariki. Katikati ya saa 6pm-8pm EAT.
Tutamwona binti mwenye mini anavyomtesa fisi mtaani!

Huku tunapambana wenyewe, peleka yale majukwaa ya wanaotaka serikali iwapambanie.
 
 
Back
Top Bottom