Leo pesa ipo maafisa wala msiwe na wasi tulieni maana mechi ni saa nne huko! Ila Man city ni mbovu sana tena anacheza na timu yenye nyota ya makombe ya uefa real Madrid! Yan usiogope Mpe Madrid win halaf kaa subiri kibunda! Na pia Juve baada ya kumsajili kolo muani naona anakiwasha sana na mechi ya leo ukiona kikosi kolo muani yupo basi mpe Juve mazima! Mashujaa akiwa pale Tanganyika kigoma ni ngumu kufungwa hivyo mpe win or draw! Mechi ya Kagera na tabora wote huwa wanafunguka na kushambulia hivyo ipe magoli mawili over 1.5 halaf tulia! Mechi ya simba na wajela jela iache huwa ni ngumu na ina odd ndogo
Hii ni zaidi ya kujitoa muhanda, siyo rahisi kabisa matokeo yote ya mechi 3 yaishe hivi, it is very unlikely.
Bora hata uzipe hizi mechi over 1.5 goals au over 2.5 goals.
Kiufupi mechi za uefa ni ngumu sana kutabiri kwa sababu hakuna uwiano wa wao kukutana mechi za nyuma tofauti ya ligi kuu ya nchi husika.
Binafsi nimeacha kabisa cheza mechi nje ya ligi kuu.
Psg hachek na wowote mpe win mazima anacheza na timu wanayotoka nayo ligi moja hivyo ushindi kwakwe sio kazi ngumu! Al ahly mpe win mazima yupo nyumbani akikuchania hyo ni bahati mbaya tu ila ushindi kwake ni muhimu! TNS mbabe wa pale ligi ya Wales kutoa magoli matatu sio ajabu kwake ila kwa kujilinda ipe mechi nzima itoe magoli mawili! Din Zagreb mpe mazima anacheza kuna cup leo huko kwao baada ya kutoa uefa sasa hana cha ziada zaidi ya kutaka kufanikiwa kuchukua cup hao na kukomalia kushinda kombe la ligi yao! Zamalek anacheza leo na pharco! Huyo pharco akiwa home pale ni ngumu kufungwa Yan zamalek kushinda leo ni ngumu labda abajatishe! Mpe pharco win or draw odd nying anazo na naona ni za bure kabisa kuliko kuchukua zamalek win or draw na wakat uwezekano wa kupigwa kwake ni mkubwa
Mwendelezo ni kila Jumatano na Jumamosi kila wiki. Naitwa Jay Alchemist mwandishi toka Afrika Mashariki. Uongozi wa taifa za Afrika ndio hutufanya waafrika tuwe nyuma. Tunaitwa The Dark Continent. Kisa? Viongozi wetu ni walafi na kama mwandishi wangu kipenzi BEN R MTOBWA alivyoandika: Hawa wanafakamia mali ya umma kwa njaa ile ya umaskini. Baada ya shibe, wanaendelea kufakamia mali ya jamii ili wailinde shibe hiyo. Jiunge nami katika hii safari ya wazalendo wa Afrika. Tusome hii simulizi iitwayo: Serikali ya Wezi, Taifa La Waliodanganywa. Simulizi hii ni sehemu Kijasusi kama ile series ya Joram Kiango ya Ben Mtobwa sehemu ya Kimaisha na sehemu kubwa riwaya kama zile za Ken Walibora
Kesho ni Jumatano: endelezo la simulizi yetu yenye utani na uandishi wenye kipaji kama waandishi wetu watukufu wa Afrika Mashariki. Katikati ya saa 6pm-8pm EAT.
Tutamwona binti mwenye mini anavyomtesa fisi mtaani!
Serikali ya Wezi, Taifa la Waliodanganywa S01 Episodi 01 ********* Ni Alfajiri hapa Mwiki,Kasarani jijini Nairobi. Alfajiri hii ni kama zile alfajiri nyingine nyingi za mwaka. Alfajiri hii haifanani na zile alfajiri za mwezi Julai. Julai, mwezi ule kila mtu analalamika kuwa baridi kawa baridi...
Leo pesa ipo maafisa wala msiwe na wasi tulieni maana mechi ni saa nne huko! Ila Man city ni mbovu sana tena anacheza na timu yenye nyota ya makombe ya uefa real Madrid! Yan usiogope Mpe Madrid win halaf kaa subiri kibunda! Na pia Juve baada ya kumsajili kolo muani naona anakiwasha sana na mechi ya leo ukiona kikosi kolo muani yupo basi mpe Juve mazima! Mashujaa akiwa pale Tanganyika kigoma ni ngumu kufungwa hivyo mpe win or draw! Mechi ya Kagera na tabora wote huwa wanafunguka na kushambulia hivyo ipe magoli mawili over 1.5 halaf tulia! Mechi ya simba na wajela jela iache huwa ni ngumu na ina odd ndogo
Mwendelezo ni kila Jumatano na Jumamosi kila wiki. Naitwa Jay Alchemist mwandishi toka Afrika Mashariki. Uongozi wa taifa za Afrika ndio hutufanya waafrika tuwe nyuma. Tunaitwa The Dark Continent. Kisa? Viongozi wetu ni walafi na kama mwandishi wangu kipenzi BEN R MTOBWA alivyoandika: Hawa wanafakamia mali ya umma kwa njaa ile ya umaskini. Baada ya shibe, wanaendelea kufakamia mali ya jamii ili wailinde shibe hiyo. Jiunge nami katika hii safari ya wazalendo wa Afrika. Tusome hii simulizi iitwayo: Serikali ya Wezi, Taifa La Waliodanganywa. Simulizi hii ni sehemu Kijasusi kama ile series ya Joram Kiango ya Ben Mtobwa sehemu ya Kimaisha na sehemu kubwa riwaya kama zile za Ken Walibora
Kesho ni Jumatano: endelezo la simulizi yetu yenye utani na uandishi wenye kipaji kama waandishi wetu watukufu wa Afrika Mashariki. Katikati ya saa 6pm-8pm EAT.
Tutamwona binti mwenye mini anavyomtesa fisi mtaani!
Serikali ya Wezi, Taifa la Waliodanganywa S01 Episodi 01 ********* Ni Alfajiri hapa Mwiki,Kasarani jijini Nairobi. Alfajiri hii ni kama zile alfajiri nyingine nyingi za mwaka. Alfajiri hii haifanani na zile alfajiri za mwezi Julai. Julai, mwezi ule kila mtu analalamika kuwa baridi kawa baridi...
Kijana Baraka Isaya Kapange (23), dereva bajaji mkazi wa mtaa wa Nkuyu Jijini Mbeya amejinyonga jana Februari 9, 2025, ndani kwake baada ya kuliwa pesa kiasi cha shilingi elfu 60 katika mchezo wa kamari na kuacha ujumbe mzito wa kuomba radhi kwa familia, mama yake, mke na mtoto wake. Chanzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.