Ni kiasi cha US$ 150,000 sawa na milioni 350.
- Zijenge ofisi makao makuu?
- Zisaidie kulipa faini na mawakili wa kesi zilizobaki?
- Zisaidie mchakato wa katiba mpya?
- Zinunue kiwanja cha ofisi makao makuu Dodoma au Dar es salaam.
- Zisaidie ujenzi wa ofisi za kanda?
- Zinunue vitendea kazi vya chama.
- Zigawanywe kwa viongozi waliohukumiwa.
Maoni yenu tafadhali.
... imagine wangeshindwa kulipa faini wakaenda jela; ndio hivyo tena haki yao ingekuwa imepotea. Kweli nimeamini mhimili wa utoaji haki hautakiwi kutiliwa shaka au kuwa na watendaji wenye mazongezonge hata chembe. Mahakama ijitafakari.Kweli haki ya mtu hucheleweshwa tu ila ipo siku hupatikana.
Ni mchango wa wananchi.ww ndio mbowe? embu waacheni. pesa yao watakaopanga matumizi ni wao. sio nyie
Walishaadhibiwa tayari. Mfano Halima Mdee sasa anaitwa " mzee Mdee"Mungu atawaadhibu
Offisi ya makao makuu ijengwe dar es salaam
Zitarejeshwa kwa wadhamini waliolipa faini kwa niaba ya waliohukumiwa.Kwani hizi pesa zinarudishwa chamani au anarudishiwa mtu mmoja mmoja kutokana na faini aliyolipia?
... Mkuu, zinarudishwa kwenye Chama au kwa wahusika akina Halima, Bulaya, na Mashinji waliolipa faini?
Kwani ulichanga?
Unajua zilitoka wapi?
Nakuona wewe ni mwanaume lkn una vinasaba vya kike.
Kwaiyo zile za Mwendazake Zitapokelewa na PolepoleZitarejeshwa kwa wadhamini waliolipa faini kwa niaba ya waliohukumiwa.
Hakumtolea Msigwa!Kwaiyo zile za Mwendazake Zitapokelewa na Polepole
Yes kama zililipwa kutoka acvount ya chama basi zitarusishwa kwenyw acviunt ya chama, na ni maki ya chama maana tukichanga kwa dhumuni la kukisaidia chama chetu pendwaHizo hela hazikutolewta na chama, bali tulitoa sisi wafuasi kwa imani ya chama, ndio maana hatumkutolea Mashinji maana alienda kuunga juhudi za ibilisi.
Hapo sasa!Kwaiyo zile za Mwendazake Zitapokelewa na Polepole
Hiyo haizuii kueleza hisia na mawazo yake, kwani Chadema ipo Mars au Jupiter?Kwani ulichanga?
Unajua zilitoka wapi?
Nakuona wewe ni mwanaume lkn una vinasaba vya kike.
Kwahiyo Jamhuri itazirudisha kwa nani?Hizo hela hazikutolewta na chama, bali tulitoa sisi wafuasi kwa imani ya chama, ndio maana hatumkutolea Mashinji maana alienda kuunga juhudi za ibilisi.