sure,
bado kuna yapo mengi yafaa kurekebishwa na kuboreshwa zaid hususan elimu ya kilimo cha kisasa.
Na wizara husika inafanya kazi kubwa sana kwenye hili.
Rais, mkuu wa nchi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan anashauriwa vizuri sana kwenye sekta ya kilimo na hata kufikia hatua ya kuanzishwa na kuipa mtaji benki ya kilimo.
Graduate wanayo fursa za ajira bwerere na ya wazi sana kwenye sekta ya kilimo iliyoboershwa sana. Zaidi sana wana fursa kwenye ufugaji, biashara, usafirishaji n.k.
lakini pia wanayo fursa ya wazi kabisa ya kiuchumi, kwani katika kila halmashauri nchini, kuna kuna fedha za mikopo kwajili ya vijana. waungane na kwenda kuchukua mikopo hiyo na kujiendeleza kwenye shughuli mbalimbali za kiuchumi.
Tanzania tunaheshimu haki za binadamu mno ukilinganisha na nchi yoyote Africa Mashariki na Africa kwa ujumla. Nchi yetu haiko katika viwango vya uvunjifu wa haki za binadamu na ndiyo maana ulimwengu mzima unajua kwamba Tanzania ni kisiwa cha amani na upendo.
Hata hivyo,
Ifahamike duniani kote, yeyote atakae jaribu kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania atashughikiwa kwa nguvu zote, kwani Amani ya waTanzania italindwa kwa nguvu gharama zote bila mbambamba ya nchi yoyote ya kigeni au kibaraka wao yeyote humu nchini.
Mimi ni kiongozi wa wananchi na ni raia mwema mzalendo wa Taifa hili, mchapakazi nisiestahili kupewa chochote bali furaha na amani yangu ni kuona wananchi wanapata mahitaji yao muhimu kwa kujitosheleza 🐒
Mungu Ibariki Tanzania