Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Ok ni haki yako ya kikatiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni mwenzenu katika kundi , Si mpinzani kichama, kama by mpinzani ulimaanisha CDM, CUF or CHAUMA.Kuna muda ukiwa upinzani unapoteza akili
Lucas MwashambwaMimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Kwa hiyo wewe akili yako yote ime ishia kwenye "ugali mezani"!Tupambane wazee hakuna atakaye kuletea ugali mbuzi mezani zaidi ya wewe!
sasa gentleman,
Nakuunga mkono, huyo bibi Hana uwezo kabisa, na anajijua, kwa ustawi wa taifa kaa pembeni bibi, kuliko kiendelea kuharibu hili taifa.Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Alifikishwa hapo na JK.In another situation, sio hii.
Ni miujiza tu Samia kafikaje hapo. Kuna watu wakwenda kuwashindanisha kwenye ballot box. Ila sio huyo mama.
Kaka, kwetu kumekucha; halafu nina mpango wa kutambika kwenye makaburi ya wazazi na Samia ana wapambe wake nuksi bila ya kuwatuma it’s food for though.
Alamsiki
Nilipopata nafasi ya kupitia Mandate for Leadership alopewa Donald Trump kuifuata ndo nilipothibitisha kwamba kweli hawa Deep State wapo.Pamoja na kuwa sikubaliani na wewe juu ya hayo uliyo yataja ndicho kiwe kipimo cha uongozi, nakubaliana na wewe kwamba mleta mada hajaeleza popote kwa ufasaha wa kueleweka ubovu wa uongozi wa Samia ni upi hasa.
Natamani mjadala ungejikita huko zaidi kuliko ulalamishi wa kiujumla jumla tu kama unao fanyika hapa.
Ukweli kwamba Samia hana uwezo wa kuwa kiongozi wa nchi unaonekana katika mambo mengi tu; lakini hasa kimsingi zaidi ni kuwa Samia hana uwezo wa kujuwa nchi inako elekea (Dira); lakini hata kama angekuwa anajuwa hana uwezo wa kuielezea na kuisimamia hiyo dira.
Chukulia ule mfano wa uigizaji wa zile "4R", alizo tengenezewa na wanao mzunguka ili aonekane ana maono fulani. Hata waliozitengeneza hawaku jishughulisha na kumfundisha maana yake ni nini ili aweze kuwasilisha maono hayo kwa wananchi; ambao ndio walengwa wa maono yenyewe!
Tatizo langu kubwa dhidi ya uongozi wa Samia, ni kuua moyo wa nchi hii; wananchi kujuwa nafasi yao katika kulijenga taifa lao. Ni wajibu wa waTanzania kuleta maendeleo yao, si wajibu wa mtu mwingine yeyote toka nje. WaTanzania sasa wanabaki kuandaliwa tu watumike kama watwana wa hao anao watengenezea mazingira toka huko nje. Kamwe hatuwezi kuwa na taifa la namna hiyo na kujisifu kwamba sisi ni taifa linalo endelea.
Kwenye hili, ni dhahiri kabisa kuwa Samia anajipambanua kuwa adui mkubwa wa nchi hii, na siyo kiongozi wake.
Sasa kama umewagomea wakubwa wa usalama na wenyewe wamo humu, hudhani watakuchomea kwa mama kusema ana uwezo mdogo sana na akili zake ni ndogo sana?😀I am not motivated on gaining materials which I don’t think I have worked hard to gain them.
Nor being comfortable to gain positions which I don’t think, I earned them on merit.
Probably there was something na malezi yetu ya ‘Arusha School’ kwa miaka yetu, alichosema Mange ndio uhalisia wa wengi wetu, hatuko comfortable na kupewa vitu ambavyo atujavipagia.
Personal imefikia hatua, vigogo wakubwa wa usalama wanataka nirudi naona kama vile sistahili.
Siamini kwenye mafanikio ya kupewa, isipokuwa ya kuyapigania. Na tafsiri yangu ya mafanikio na mtu kama Lugumi ni tofauti sana.
Nchi yetu ina matobo matobo mengi, katiba mbovu, system zote weak hivyo tunahitaji kiongozi ambaye tayari ana uwezo mkubwa wa kiakili kichwani na ambaye ni visionary yeye kama yeye kabla ya “taasisi ya urais”Yeye na Kamala ni mapacha
😃😃😃😃Sasa kama umewagomea wakubwa wa usalama na wenyewe wamo humu, hudhani watakuchomea kwa mama kusema ana uwezo mdogo sana na akili zake ni ndogo sana?😀
Kwa vipi?Yeye na Kamala ni mapacha
Hutu kazidi,we huoniHakuna Raisi amewahi pita akaongelewa vizuri,anaongelewaga vizuri akisha kuwa nje ya system,Kwa hiyo hata huyu tutaona wema wake akisha sepà! Siku Mjomba Magu ana Rest in peace,wapo walio chinja Hadi mbuzi kusherehekea kifo wapo ambao nawajua hata huku mtaani ila Leo wanasema Dah kuna vitu mwamba angekuwepo mara hivi mara vile,Kikwete Hadi aliitwa Mzee WA kuchekacheka,ana kichwa kibovu hata Nazi ina thamani! Hakuna Raisi hajatukanwa Ila alionekana ukubwa wake baada ya madaraka sasa Kwa nini nisiseme hata Mama ni Moja ya maraisi wazuri hawajawahi tokea nchi yetu!
Tupambane wazee hakuna atakaye kuletea ugali mbuzi mezani zaidi ya wewe!
Hata mimi sijawahi kumsikiliza. Hata sijui huwa anaongea niniMimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Si sema hiki hiki hakiko Sawa,zaidi ni kufuata mkumboKwa hiyo wewe akili yako yote ime ishia kwenye "ugali mezani"!
Hakuna jingine lolote unalo lifikiria nje ya hilo unapo itazama Tanzania kama nchi kati ya mataifa mengine duniani!
Huo "ugali na mbuzi mezani", hakika Samia anauweza sana huku akihakikisha watu kama wewe "utwana" ndiyo hadhi na sifa kuu mnayo ipigania maishani mwenu.
Ku freeze pesa za wafanyabiasha, ni economic theory?? Kubambika Kodi mpaka wafanyabiashara kukumbia nchi no mtindo upinwa uchumi???Hebu niambie mwendazake aliharibu uchumi wapi? Yule jama alikuwa Hana human rights, lakini uchumi kuharibu hapana labda nipashe
Mkuu, huwa anaongea, lakini mara nyingi hotuba zake ni MIPASHO,na maneno SHOMBOSHOMBO ya kwenye vicoba!!!Hata mimi sijawahi kumsikiliza. Hata sijui huwa anaongea nini
Kwa hiyo wewe unafuata "mkumbo", hujui maishani mwako mambo ya muhimu kwako ni yapi mradi umeweka "ugali mezani" umemaliza kila kitu!Si sema hiki hiki hakiko Sawa,zaidi ni kufuata mkumbo