Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.

Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.

Hana uwezo hata chembe.

That says a lot ueledi wa civil services,

It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Maandiko yanesema Tiini mamlaka iliyo juu yenu. But...

Saa100 hawezi hata kukemea vitendo viovu, Anabembeleza sana viongozi walio chini yake na i think kama anawanyenyekea ivi..

Utezi wake unanipa wakati mgumu na sijui sababu za kuteua viongozi kwa kubadilisha sekta.
Yaani Mtu kaharibu kwenye sekta ya kilimo anampeleka kwenye sekta ya afya.

Natamani sanaa Mh Makonda (Bashite) ashikilie dola. Nadhani utumbo kama huo utaisha.
 
Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.

Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.

Hana uwezo hata chembe.

That says a lot ueledi wa civil services,

It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Uongozi/ Vitu vya urithi haviumi unavituma unavyojiskia. Subiri sahvi tumuone kweny kampeni atakavyo pambana juani tumpe kura. .
Tatizo bongo hamna FREEDOM OF SPEECH iyo kauli ulioiandika humu JF ungeisema hadharani basi tungekukuta porini katavi.

MEDIA nazo wamekuwa machawa taarifa wanazitia kui favor serikl ili mambo yao yaende

POlisi nao elimu ndogo hawajui kua Rais ana haki zifuatazo (freedom of speech, Freedom of association ( kukusanyika) Right to demonstrate ( kuandamana). Polidi wa bongo wakikukuta bila kukupigia kelele utajikuta porini katavi.
Tanzania tunafeli kwa kukosa elimu. Wenzetu kenya hizo Right na Freedom wanafunfishwa kama somo shuleni tangu Primary. Ndo maana huwaoni polisi wakiwaingila wakati wa maandamano
 
Maisha ni Fumbo

Viongozi wazuri hawadumu , na viongozi wa ovyo ,wala bata na kutumia pesa ya watanzania wanyonge ndio wanaishii miaka mingi..

Pamoja na yote hayo, inawezekana saa100 ata ongoza nchi miaka 15

Again, Maisha ni fumbo.
 
Maisha ni Fumbo

Viongozi wazuri hawadumu , na viongozi wa ovyo ,wala bata na kutumia pesa ya watanzania wanyonge ndio wanaishii miaka mingi..

Pamoja na yote hayo, inawezekana saa100 ata ongoza nchi miaka 15

Again, Maisha ni fumbo.
Bongo tumekosa tu elimu na maarifa.
Kiinacho turudisha nyuma n kukosekana kwa Freedom of speech na ruksa ya kufanya mikutano pamoja na media

Mfno. Tunaweza kuamua kuingia Road kikaeleweka ila srkl ikamua kutangaza mechi ya simba na yanga muda huo wa maandaman. Baasi sahau tena kuhusian na katiba mpya. Maana stori baada ya hio mechi huchukua mwezi mzima hadi hali ilejee kawaida
 
Uongozi/ Vitu vya urithi haviumi unavituma unavyojiskia. Subiri sahvi tumuone kweny kampeni atakavyo pambana juani tumpe kura. .
Tatizo bongo hamna FREEDOM OF SPEECH iyo kauli ulioiandika humu JF ungeisema hadharani basi tungekukuta porini katavi.

MEDIA nazo wamekuwa machawa taarifa wanazitia kui favor serikl ili mambo yao yaende
Itakuwa interesting kama akigombea 2025 kampeni yake anatesema nini cha maana alichofanya. Hana rekodi yoyote ya maana ya kujivunia. Sijui kama ataweza kudebate na mtu yoyote akiongelea sera, maono, mipango yake.
 
Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.

Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.

Hana uwezo hata chembe.

That says a lot ueledi wa civil services,

It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Ukiona unajiliza hivi ni dhahiri maslahi yako binafsi yameguswa. Sisemi kuwa Samia ni rais mzuri, ila kwa tabia zako za kusifia watawala, ni wazi ulichotarajia kwako binafsi umekikosa
 
Kuna mtu nilikua nameambia hayahaya kwamba this time tuna bahati mbaya kwamba tumepata Rais mwenye uwezo mdogo sana. Yani sana...

Ni Rais ambaye kwanza ni rahisi kudanganywa na wasaidizi wake lkn pia uwezo wa kupambanua na kufanya maamuzi ni mdogo sana, sana pengine kuliko marais wote waliotangulia
 
Ku freeze pesa za wafanyabiasha, ni economic theory?? Kubambika Kodi mpaka wafanyabiashara kukumbia nchi no mtindo upinwa Uchumi???
Ku-freeze pesa za Wafanyabiashara - Nani - PAAP?, Rugemalira na Independent Power? - Mbona husemi Escrow iliishiwa wapi? - Law of cause and effect- jibu kwanza zile pesa za Escrow zilikuwa za nani; za Umma au za akina Ruge?

Nani alikimbia Nchi - Manji-? Two sides of Manji, kweli alikuwa mfanyabiashara mkubwa; mbona huwa hamjiulizi zile pesa alizitoa wapi? Mwananch Garage etc etc Unungo Plaza? Richmond artchitects mbona husemi?

Kubambikia kodi: Yes, hadi leo kuna kubambikiana kodi, kulikuwepo tangu zama hizo, hata za JK; those henchmen, wanatumia fursa ya kiongozi kujinufaisha. Unaangalia side moja unaanza kufanya generalization.

Bureau De Changes: Yes alifanya sweeping lakini baada ya utafiti mkubwa sana. Hili kama wewe hujui Uchumi huwezi kuelewa - it is like this:
  • Bureau De change nyingi zilijihusisha kwenye capital flight - kutorosha hard currencies - ingawa kila Bureau De Change walitakiwa kuripoti kila siku lakini wali-collude na mamlaka.
  • Sasa hivi- Mchina kaleta kamashine kanunua dollar 500 China; huku hako kamashine nyie na kina Mwigulu mnawachukua commission kwa wachina, mnachezesha watu kwa maelfu. Hako kamashine kako secretly calibrated kushinda zaidi; wachina wanavuna hayo madafu yenu wanaenda mtaani wananunua dollar wantuma kwao. Facilitatoors ndiyo hizo Bureau de Change. Nyie mnafurahi ukipata dollar elfu 5 na kunyw ahizo bia mbili na kimada unaridhika ati Uchumi umekua.

Hii ndiyo Tanzania yetu

Nakubali JPM alikuwa katili -hasa lile tukio la Lisu
 
gentleman,
unless mtu hafahamu kuhusu haki za binadamu. Na by the way haki ina ambatana na wajibu.

haki za binadamu sio makelele au kulalamikia kudhulumiwa tu. Na by the way umedhulumiwa nini na wewe umewajibikaje kwenye dhuluma hiyo?

we cheki,
kuna vibaraka vimbelembele mara kadhaa wameenda kubweka bweka hadi kwa mabwenyenye wanaowafadhili huko ng'ambo, ati Tanzania kuna uvunjifu na dhuluma kwa haki za binadamu. Kitu ambacho ni uongo wa mchana kweupe kabisa.

matokeo yake hao vibaraka mabwenyenye wenyewe hususani wa magharibi walipokuja kushuhudia hizo dhuluma, hawakuona kitu. Infact wakabaini kwamba huko kwao ndiko hasa kuna matatizo makubwa, watu wa huko wangelalamika na kuandamana kudhulumiwa haki zao kuliko Tanzania ambapo Tanzania ni kisiwa cha amani hakuna mambo kama hayo.

Rais na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan, ameendelea kua lulu ya amani Tanzania na ndie champion wa kulinda na kutetea haki za binadamu Tanzania, Africa Mashariki, Africa na duniani kote, na ndio maana Majeshi yetu yametapakaa maeneo mbalimbali duniani kulinda haki za binadamu na Amani 🐒
Uliyoongea yote ni porojo tu zenye lengo la kusifu na kuabudu.

Hao watu unaoita mabwanyeye kitu wanathamini zaidi ni uhai. Kisha uhuru wa kutoa maoni ni mkubwa. Watu wanaruhusiwa kupumua maana ni nzuri kwa afya ya akili. Sasa kwetu watu wamegeuzwa makondoo ili watawala wafanye wanachotaka. Hilo ni janga kubwa sana ambalo linaenda kinyume na misingi ya haki. Huwezi kuwafanya raia wako kama misukule kwa kuwakata ulimi kwa kuogopa kuambiwa ukweli hadi kufikia kuwaangamiza kabisa.
 
Kwa hiyo wewe akili yako yote ime ishia kwenye "ugali mezani"!
Hakuna jingine lolote unalo lifikiria nje ya hilo unapo itazama Tanzania kama nchi kati ya mataifa mengine duniani!

Huo "ugali na mbuzi mezani", hakika Samia anauweza sana huku akihakikisha watu kama wewe "utwana" ndiyo hadhi na sifa kuu mnayo ipigania maishani mwenu.
Huyo jamaa akilin zake zimeishia tumboni tu sio kutazama mustakabali wa taifa zima. Watanzania hatuoneani huruma tumetanguliza ubinafsi mbele.
 
Ku freeze pesa za wafanyabiasha, ni economic theory?? Kubambika Kodi mpaka wafanyabiashara kukumbia nchi no mtindo upinwa uchumi???
Kukopa sana na kuachilia watu wajichotee fedha za umma kupitia miradi na manunuzi kutokana na kushindwa kusimamia mapato na matumizi ndio mtindo upi wa uchumi?
 
Nchi yetu ina matobo matobo mengi, katiba mbovu, system zote weak hivyo tunahitaji kiongozi ambaye tayari ana uwezo mkubwa wa kiakili kichwani na ambaye ni visionary yeye kama yeye kabla ya “taasisi ya urais”

Kamala ataongoza vizuri sababu mifumo ya nchi yake itamruhusu aongoze vizuri isipokuwa kwa madhaifu machache.

Japo Mi sijasema chochote juu ya uwezo wa Rais wangu Samia 😀
Binti Kiziwi,
Unaweza kuwa sawa kuhusu katiba na sheria; kuna kitu umbacho hujakifikiria; wala huwezi kukubali. Katiba inaendana na discipline, yaani utashi wa kufuata sheria. Unafikiri hata ukiunda katiba nzuri kuliko hii itafuatwa? Sometimes tatizo ni watu wenyewe, culture, mindset, na elimu. Kwa mfano katiba ya sasa kuhusu tume, nani anayeikikuka? Ni wale ambao ilibidi waitunze, Rais na wapambe wake, polisi na jeshi lipo kuvunya sheria. Hawapo barracks, wapo kwenye siasa. Police na majeshi inabidi wawe kambini wanafanya kazi za kulinda katiba lakini wao ndiyo wanavunja.

Culture, kuhusu family, hujawahi kumsikia Warioba? Walitaka kupendekeza kwenye katiba ndoa iwe ya watu wawili; wakaja watu juu, kimila na kidini; haiwezekani. Sasa utasema Waafrka uncultured, au mindset yao haifuati maadili au? Maana hata ukienda Ulaya na North America Waafrika wengi wanashindwa kufuata sheria ingawa siyo wote. Culture na mindset coupled with education. Labda evolution aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
Maisha ni Fumbo

Viongozi wazuri hawadumu , na viongozi wa ovyo ,wala bata na kutumia pesa ya watanzania wanyonge ndio wanaishii miaka mingi..

Pamoja na yote hayo, inawezekana saa100 ata ongoza nchi miaka 15

Again, Maisha ni fumbo.
Kule si kuongoza bali kushikilia madaraka kwa miaka 15. Tofautisha kuongoza na kushikilia madaraka.
 
Kwa katiba yetu ni sawa na power struggle za Europęan monarchy. Unakuta mtoto anarithi kwa tamaduni au mtu wa mbali anautwaa ufalme kwa kanuni.

Waelevu wanaona isiwe tabu vita, kumtoa huyu mtu.

Muwe wakweli raisi Samia hana uwezo kabisa.
Uwezo gani zaidi unataka? Ana mwaka wa 3 anatawala, nini kimepungua?
 
sasa gentleman,
unanitag kabisa nishuhudie chuki binafsi, makasiriko , mihemko na ghadhabu za waliopoteza uelekeo na waliokata tamaa kama huyo mlalamishi asie na mawazo mapya na wala asie fikra mbadala, kweli?

unaelewa muerevu huibua changamoto na kupendekeza majawabu ya changamoto hizo ili kushawishi wengine wamuunge mkono,
sasa mungwana ana lalamika tu na hapo ukimchalenge kidogo tu, apendekeze mbadala,
kwanza ataona aibu kwasababu hakuna mbadala na atakaopendekeza ni aibu tupu,

lakini pili ukimchimba chimba kidogo, atapandisha mihemko na makasiriko na halafu aanze kuporomosha matusi mazito mazito na hilo ndilo litakua hitimisho la hoja yake 🤣
Hahaha,
Sasa mbona wewe ndo hueleweki?
Em tuliza munkari kwanza halafu ujikite kwenye mada
 
Mahotelo yote yaliyofungwa yanafanya kazi sasa hivi elewa hivyo
Sijui mikoani lakini hapa Dar hivi kwa nini usitaje hoteli iliyofungwa?
Hotel, tuchukulie New Africa, Hyatt (Kilimanjaro), Holiday Inn, Southern Sun, Hilton, etc etc, ipi ilifungwa? Au ndiyo uzushi?
Kama kufungwa hoteli miaka ya 2020 hadi 2021 ilikwa kwa sababu ya COVID; Mwendazake alikataa kabisa kufunga nchi; sasa sioni hoja yako hapo. Na mwendazake alikuwa anapenda sana pesa za watalii ili atomize miradi yake.

Sema Nchi nyingi zilikuwa na lockdown watalii walizuiwa huko kwao kutoka nje kwa sababu ya COVID.

Hizo ndiyo hadithi za vijiweni, unasikia watu wanaongea na wewe unarukia hata bila ya kufanya utafiti.

Kama huna evidence usimpakazie. Hizo ndiyo siasa za maji taka.
 
Back
Top Bottom