gentleman,
unless mtu hafahamu kuhusu haki za binadamu. Na by the way haki ina ambatana na wajibu.
haki za binadamu sio makelele au kulalamikia kudhulumiwa tu. Na by the way umedhulumiwa nini na wewe umewajibikaje kwenye dhuluma hiyo?
we cheki,
kuna vibaraka vimbelembele mara kadhaa wameenda kubweka bweka hadi kwa mabwenyenye wanaowafadhili huko ng'ambo, ati Tanzania kuna uvunjifu na dhuluma kwa haki za binadamu. Kitu ambacho ni uongo wa mchana kweupe kabisa.
matokeo yake hao vibaraka mabwenyenye wenyewe hususani wa magharibi walipokuja kushuhudia hizo dhuluma, hawakuona kitu. Infact wakabaini kwamba huko kwao ndiko hasa kuna matatizo makubwa, watu wa huko wangelalamika na kuandamana kudhulumiwa haki zao kuliko Tanzania ambapo Tanzania ni kisiwa cha amani hakuna mambo kama hayo.
Rais na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan, ameendelea kua lulu ya amani Tanzania na ndie champion wa kulinda na kutetea haki za binadamu Tanzania, Africa Mashariki, Africa na duniani kote, na ndio maana Majeshi yetu yametapakaa maeneo mbalimbali duniani kulinda haki za binadamu na Amani 🐒