Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Wewe umesema unampenda; maana hiyo kumpenda haifafanui kitu. Kuna wale kama wewe walisema walipiga kura kwa JK kwa sababu sura yake eti nzuri; kudadeki, wewe unachagua Rais kwa kumpenda bila sera? au kwa kumuone huruma sympathy? Upuuzi. Kwanza unaangalia je huyu ana ajenda kuhusu maisha yangu na future ya Watoto wako; tuache upuuzi huu. CCM 99.99 wanachaguana kwa kupendana ndiyo maana tupo hapa. Nchi tangu 1961 bado ipo pale pale s--thole
Future ya watoto wangu ipo mikononi mwangu na siyo mikononi mwa Samia

Niliwazaa mimi sasa Samia anahusika vipi na wanangu

Nampenda Samia sababu hana chembe chembe yoyote ya udikteta, ni mpatanishi na anapenda kushirikisha wengine kwenye maamuzi siyo kama yule aliyepita kila kitu anafanya yeye hadi kwenda kununua nyanya gengeni anaenda yeye!
 
Kuna watu wanaita Data analyst, cyber security, Coding na programmer hufanya kazi masaa 24
mfumo wa kupia kura wa marekani hua ni wa electronic. Ma hacher hutengewa fedha kuu hack ili wahakikishe kua ni imara. Hawajawahi kufanikiwa hata hao Darkweb maana coding inayotumika ni ya hali ya juu

Hivyohivyo kwa cryptocurrency na Telegram
Urusi wamewahi kuhack huo Mfumo unaosema haujawahi kuwa hacked
 
Ukiwa mbobezi wa masuala ya information technology utakuja kugundua kuwa hakuna siri duniani na hakuna system ambayo haiwezi kuwa hacked, ni suala la muda tu

CEO wa Jf lazima atasema atatulinda lakini utambue yeye ni binadamu tu siyo Malaika, akifuatwa na Mwigulu Nchemba lazima atatoa tu
HUyo haitaji kuhackiwa ni baasha ya khaki tu amtoe aliemtukana saa100
 
Huyo mama yenu mwenyewe alishakiri tu shuleni alisindikiza wenzie kidato cha nne akapiga "BASHITE" .

Ni aibu ila ndio hivyo hakuna namna Tanzania hata Kingwendu anaweza kuwa rais kama akiwa na pesa za kununua wapambe , folks are not serious at all ndio maana nikisikia kuwa huwa kuna vetting nabaki kucheka kuna siku CDF kasema kuna wahamiaji haramu kwenye nafasi nyeti.

Je walifikaje hadi huko nafasi nyeti

Samia hana ushawishi wowote ukiondoa hizi paid PR za machawa, vikampeni uchwara vya uhamasishaji, kuipa miradi majina yake ni just hot air.

Samia bila hivyo on an equal political ground hawezi kumfikia Lipumba wa 2005 kiushawishi licha ya kuwa miaka hiyo Lipumba hakukuwa na social media nyingi kama sasa..

Yaani kila mtu mama hivi mama vile utadhani wao hawana mama zao nyumbani huko.

Cc: Lucas Mbwa Wa Shamba.
 
Walificha wapi?? Thubutu! Hizo zinajenga sasa hivi na hayo magorofa ni mianya ya mama Abdul na tozo za pesa zenu, wakati ule ufiche pesa wapi? Unajua thamani ya shillingi wewe? Mfanyabiashara gani aweke fedha yake kwenye Shilingi halafu afiche?
Wakati ule bureau de change zinavamiwa na maaskari wa usalama wa taifa na kuporwa kila kilichomo kwa kigezo cha utakatishaji ndio muda ule wenye pesa zao walipoamua kuzificha.

Lake Oil aliporwa dola milioni tatu na hayati JPM, akakasirika na kuamua kuishi Canada, Baba yake akamwambia rudi Tanzania pesa ulizotafuta kwa jasho utazipata tu. Akarudi na kwa sasa utajiri umerudi tena sawa na hapo mwanzo.
 
Huyo mama yenu mwenyewe alishakiri tu shuleni alisindikiza wenzie kidato cha nne akapiga "BASHITE" .

Ni aibu ila ndio hivyo hakuna namna Tanzania hata Kingwendu anaweza kuwa rais kama akiwa na pesa za kununua wapambe , folks are not serious at all ndio maana nikisikia kuwa huwa kuna vetting nabaki kucheka kuna siku CDF kasema kuna wahamiaji haramu kwenye nafasi nyeti.

Je walifikaje hadi huko nafasi nyeti

Samia hana ushawishi wowote ukiondoa hizi paid PR za machawa, vikampeni uchwara vya uhamasishaji, kuipa miradi majina yake ni just hot air.

Samia bila hivyo on an equal political ground hawezi kumfikia Lipumba wa 2005 kiushawishi licha ya kuwa miaka hiyo Lipumba hakukuwa na social media nyingi kama sasa..

Yaani kila mtu mama hivi mama vile utadhani wao hawana mama zao nyumbani huko.

Cc: Lucas Mbwa Wa Shamba.
View attachment 3136930
Nina swali hapo.
Hio kauli ulioiandika humu JF.ili kujua Bongo hamna FREEDOM OF SPEECH/ uhuru wa habari. Ukiisema hio kauli hadharani utajikuta porini katavi

Je CEO wa JF ametuhakikishia ulinzi, sio polisi wakamuhitaji mwa JF alietoa kauli fulani. Akatolewa?
 
Mfumo upi Telegram, cryptocurrency au wa kupigia kura?
Kuhack NASa wamefanikiwa
Hivi ni nani au ni taasisi gani hasa ndiyo iligundua INTERNET kwa mara ya kwanza hapa duniani?
 
Kanuni ya kiuongozi inasema wapumbavu uchaguana wao kwa wao na wenye akili uchaguana wao kwa wao..


hivyo nchi ikiwa na rais mpumbavu basi uchagua wapumbavu wenzie kuongoza na kumshauri ...pia nchi ikiwa na rais mwenye akili uchagua wenye akili kuongoza na kumshauri .....SASA MSHAURI WA RAIS WAKO MMOJAWAPO NI MWIGURU CHEMBA YA MAVII.... UNATEGEMEA NINI ?
Mkuu naomba nitumie maneno yako kama signature yangu?
 
Huyo mama yenu mwenyewe alishakiri tu shuleni alisindikiza wenzie kidato cha nne akapiga "BASHITE" .

Ni aibu ila ndio hivyo hakuna namna Tanzania hata Kingwendu anaweza kuwa rais kama akiwa na pesa za kununua wapambe , folks are not serious at all ndio maana nikisikia kuwa huwa kuna vetting nabaki kucheka kuna siku CDF kasema kuna wahamiaji haramu kwenye nafasi nyeti.

Je walifikaje hadi huko nafasi nyeti

Samia hana ushawishi wowote ukiondoa hizi paid PR za machawa, vikampeni uchwara vya uhamasishaji, kuipa miradi majina yake ni just hot air.

Samia bila hivyo on an equal political ground hawezi kumfikia Lipumba wa 2005 kiushawishi licha ya kuwa miaka hiyo Lipumba hakukuwa na social media nyingi kama sasa..

Yaani kila mtu mama hivi mama vile utadhani wao hawana mama zao nyumbani huko.

Cc: Lucas Mbwa Wa Shamba.
View attachment 3136930
Aliyeandikiwa na Mungu ameandikiwa tu, ni riziki yake urais wa JMT. Wasomi wangapi wana mashahada mengi lakini wanapopewa kazi zenye kuendana na elimu zao wanaishia kuvurunda?.
 
Kama kweli Nchi hii kuna wazalendo wa kweli na wana uchungu wa Nchi hii na wanataka kukumbukwa katika historia ya Nchi hii, hata kama ni CCM wenyewe, watuletee mgombea mwingine wa Urais mwaka 2025.
Mama apumzike na apewe heshima yake yote kama Rais mstaafu.

Mkuu naomba nitumie maneno yako kama signature yangu?
Tumia tu
 
Kiuhalisia mama huku mtaani hakubaliki ila kwasababu ni mwana CCM basi ataongoza tena miaka mingine mitano ijayo mimi kila siku nalia na katiba yetu na mfumo wetu wa uchaguzi hawa ccm wana karata chafu saana na upinzani kwa ujumla wameshindwa kucheza hii rafu dhidi ya ccm
 
Katiba ni shida nakubali, lakini shida zaidi pia ni civil services.

Nchi inayojitambua haiwezi ongozwa na mtu kama Samia.

Ni vipi huyu mama, kaweza kupenya hadi kuwa makamu wa raisi; Samia uwezo wake ni mdogo mno (akili zake ni ndogo mno), huo ndio ukweli.

Raisi Samia, kafikaje kwenye radar ya ulinzi wa nchi kudhani anaweza kuwa makamu wa raisi.

This is not OK.
nchi ina wajinga wengi shida
 
Aliyeandikiwa na Mungu ameandikiwa tu, ni riziki yake urais wa JMT. Wasomi wangapi wana mashahada mengi lakini wanapopewa kazi zenye kuendana na elimu zao wanaishia kuvurunda?.
Kuna tofauti baina ya elimu na akili ...akili ndiyo kitu cha msingi zaidi ya elimu ...ukiambiwa kati ya pesa na elimu unachagua nini basi mimi ningekuambia chagua pesa bila hata ya kupepesa macho..ila ukiambiwa kati ya pesa na akili basi bila ya kupepesa macho chagua akili...soma hata maandiko farao alimchagua yusufu tazama sababu alizo ziweka 👇


Mwanzo 41
38. Farao akawaambia watumwa wake, Tupate wapi mtu kama huyu, mwenye roho ya Mungu ndani yake?
39. Farao akamwambia Yusufu, Kwa kuwa Mungu amekufahamisha hayo yote, hapana mwenye akili na hekima kama wewe.
40. Basi wewe utakuwa juu ya nyumba yangu, na kwa neno lako watu wangu watatawaliwa. Katika kiti cha enzi tu nitakuwa mkuu kuliko wewe.
41. Farao akamwambia Yusufu, Tazama, nimekuweka juu ya nchi yote ya Misri.
42. Farao akavua pete yake ya muhuri mkononi mwake, akaitia mkononi mwa Yusufu; akamvika mavazi ya kitani nzuri, na kumtia mkufu wa dhahabu shingoni mwake.
 
Siwezi kusema Rais hana akili wala uwezo. Akili anayo lakini siyo ya kutosheleza mahitaji ya nafasi anayoishikilia.

Nafasi anayoishikilia inahitaji akili kubwa, uwezo mkubwa, maarifa ya kutosha. Kwa ufupi ni kwamba tumebebesha tani 50 za mzigo kwenye bajaji. Japo siyo kweli kuwa bajaji haiwezi kubeba mzigo.

Kama Rais atakuwa na uwezo wa kuifikia hekima, ni vema sana amalizie tu kipindi hiki alicholazimika kuchukua madaraka kwa mujibu wa katiba yetu hii mbovu, kisha apumzike; na Taifa limshukuru kwa hicho alichokikamilisha. Akikosa hekima, akadanganyika na hawa punguani machawa njaa wanaompa sifa za uwongo, kipindi cha miaka 5 itakayofuata, kitakuwa kigumu sana kwake, kwasababu uvumilivu wa watu wenye akili dhidi yake utazidi kupungua siku baada ya siku, na atakuja kuwakumbuka wote waliomshauri apumzike. Anaweza kuishia kupata stress za ajabu, zitakazodhoogisha sana hata afya yake.
Ni mawazo yale yale ya akili za kushindwa zenye kuwazia mabaya muda wote.

Muwe mnafika huko mikoani ili muweze kuiona hali halisi kwa sasa ipo vipi, huko ndio wamejaa wapiga kura wanaowapa ridhaa na jukumu la urais hawa marais.
 
Kuna tofauti baina ya elimu na akili ...akili ndiyo kitu cha msingi zaidi ya elimu ...ukiambiwa kati ya pesa na elimu unachagua nini basi mimi ningekuambia chagua pesa bila hata ya kupepesa macho..ila ukiambiwa kayi ya pesa na akili basi bila ya kupepesa macho chagua akili
Akili zako zinasaidia nini ikiwa hauwezi kuwa kiongozi anayesimamia ujenzi wa mamia ya viwanda huko mikoani?.

Akili zako ni sifa za kinadharia tu ambazo zinakusaidia katika kuomba kazi. Samia anajua kuishi na hao wenye elimu kwa ukaribu zaidi.

SSH anajua kuwatumia hao wenye elimu kwa manufaa ya TZ, nyinyi bakini na hizo akili zenu wakati Nchi inaendelea kufunguka na wajanja wanaendelea kutajirika.
 
We endelea kufurahia hongo za buku7 Lumumba
binafsi sina haja ya kufurahishwa na chochote kutoka kwa yeyote..

Ile furaha niko nayo ni hawa wananchi wanapata mahitaji yao ya muhimu na kufanya shughuli zao za maendeleo kwa umoja, amani, utulivu na usalama wa uhakika.

Na hapa nimpongeze sana kiongozi wetu wa taifa na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan kwa uwekezaji wa kutosha kwenye huduma za kijamii, kisiasa na kiuchumi kwa waTanzania wote 🐒
 
Back
Top Bottom