Hayo maandishi ya mungu yaliyotaja marais waliowahi kuwa / watakaokuwa naipata wapi mdau ?Aliyeandikiwa na Mungu ameandikiwa tu, ni riziki yake urais wa JMT
Kwahiyo kama wasomi waliowahi kupewa nafasi za uongozi wakavurunda ndio tuhamie kuchagua kuongozwa na vilaza?. Wasomi wangapi wana mashahada mengi lakini wanapopewa kazi zenye kuendana na elimu zao wanaishia kuvurunda?.
Masuala ya meritocracy ni mbwembwe tu. Trump kule USA ana elimu ya kawaida tu lakini aliwaongoza kwa miaka minne na wafanyabiashara wakubwa walifurahia sana namna uchumi ulivyofanikiwa katika muda huo.Hayo maandishi ya mungu yaliyotaja marais waliowahi kuwa / watakaokuwa naipata wapi mdau ?
Kwahiyo kama wasomi waliowahi kupewa nafasi za uongozi wakavurunda ndio tuhamie kuchagua kuongozwa na vilaza?
Taifa lilisilofuata "meritocracy" kuendelea ni ngumu sana.
Kwahiyo pia unashauri shule zifungwe madarasa wafugie kuku?
Mimi hili halinihusu video si inajieleza hapo alisema mwenyewe au hujatazama video.Nina swali hapo.
Hio kauli ulioiandika humu JF.ili kujua Bongo hamna FREEDOM OF SPEECH/ uhuru wa habari.
Watateka watu wangapi?Ukiisema hio kauli hadharani utajikuta porini katavi.
Wao wasihangaike na Max walimsumbua Max miaka ile sana wao wenyewe humo una uhakika wanapenda yanayoendelea au ni uniform na viapo ndio vinawabana .Je CEO wa JF ametuhakikishia ulinzi, sio polisi wakamuhitaji mwa JF alietoa kauli fulani. Akatolewa?
Hivi huoni aibu kudanganya?Masuala ya meritocracy ni mbwembwe tu. Trump kule USA ana elimu ya kawaida tu lakini aliwaongoza kwa miaka minne na wafanyabiashara wakubwa walifurahia sana namna uchumi ulivyofanikiwa katika muda huo.
Wasaidizi kwa nchi ambayo rais ni kila kitu hawana nguvu yoyote .Anao wasaidizi wenye elimu za juu sana ambao wanafidia upungufu wa elimu yake kuwa ni ya kawaida tu.
Hali hiyo ya ubinafsi ndiyo anayo itengeneza Samia. Si unaona utitiri wa "chawa", hata humu JF?Huyo jamaa akilin zake zimeishia tumboni tu sio kutazama mustakabali wa taifa zima. Watanzania hatuoneani huruma tumetanguliza ubinafsi mbele.
"Kupungua" ni jambo jingine linalo jibika pia, lakini binafsi najuwa "kuongezeka".Uwezo gani zaidi unataka? Ana mwaka wa 3 anatawala, nini kimepungua?
Shahada ya Trump ni sawa na hizi za wanasiasa wetu, ya kuandikiwa. Ni mtupu sana yule mzee. Punguza unyonge na kujidharau.Hivi huoni aibu kudanganya?
Trump ana shahada ya kwanza ya uchumi sio hizi za kutunukiwa Samia unasema ni elimu ya kawaida?
Samia anayo shahada ya kwanza ya kitu gani?
Wasaidizi kwa nchi ambayo rais ni kila kitu hawana nguvu yoyote .
Umesahau yule mzee mhandisi aliyeweka elevator akafokewa sasa Magufuli alikuwa mhandisi?
Uliona jibu la kitaalam alilotoa yule mzee, Magufuli akabaki kutumia ubabe tu ila utaalam hana!
Chawa ni vijana wa mijini wenye kutafuta riziki zao kwa ujanja wa maongezi yao. Samia kagusa maisha ya kiuchumi ya Tanzania."Kupungua" ni jambo jingine linalo jibika pia, lakini binafsi najuwa "kuongezeka".
Chawa wanao pigana vikumbo kunyonya uchafu wa mama wameongezeka sana. Sasa hapo sijui kama huo ni uwezo wa "kuongoza" nchi au la!
Narudia tena huoni aibu kudanganya?Shahada ya Trump ni sawa na hizi za wanasiasa wetu, ya kuandikiwa. Ni mtupu sana yule mzee. Punguza unyonge na kujidharau.
Babu zangu walisoma mapema sababu walinufaika na elimu ya wamisionari waliokuja enzi hizo mmoja alipata shahada yake ya Kwanza Uingereza.Nina uhakika Babu zako hawajui hata kuandika majina yao.
Shahada gani naomba niifahamu.Samia anayo shahada ya chuo kikuu, tafuta CV yake achana na hizi story za chuki za mitandaoni.
Naomba takwimu/namba zinazoonyesha huo mpango wa kufikisha umeme nchi nzima ulianza lini na sasa umefikia asilimia ngapi.Ndio Rais atakayekuwa na mafanikio makubwa kuliko watangulizi wake watano. Kasambaza umeme nchi nzima,
Miundombinu ipi ya kimkati amejengakaifanya Tanzania yote imekuwa rahisi kufikika na kutokeka kwa kumaliza ujenzi wa miundo mbinu mingi.
Sio kwa Tanzania..Hapa uongozi mkubwa hutolewa kama zawadi... Hivi unajua Bashite kwa mfumo wetu nae anawaza kuja kuwa Rais wa hii nchi.Mkuu waweza kuwa sawa au sio sawa ila kiongozi hupatikana kutokana na mfumo uliopo wa kutambua vipaji.
Kunakuwa na shule maalum na baadae vyuo maalum hadi kiongozi sahihi apatikana.
Mfumo huo pia waweza kuwa "compromised" na kukapatikana watu ambao hawana sifa za kuongoza.
Hata Kingwendu anaweza kuwa rais Tanzania.Sio kwa Tanzania..Hapa uongozi mkubwa hutolewa kama zawadi... Hivi unajua Bashite kwa mfumo wetu nae anawaza kuja kuwa Rais wa hii nchi.
Ingia google utakuta taarifa sahihi za SSH, ni shughuli nyepesi kuifanya.Narudia tena huoni aibu kudanganya?
Shahada ya kwanza US ni sawa na shahada ya Tanzania?
Babu zangu walisoma mapema sababu walinufaika na elimu ya wamisionari waliokuja enzi hizo mmoja alipata shahada yake ya Kwanza Uingereza.
Shahada gani naomba niifahamu.
Naomba takwimu/namba zinazoonyesha huo mpango wa kufikisha umeme nchi nzima ulianza lini na sasa umefikia asilimia ngapi.
Miundo mbinu ipi ya kimkati amejenga
Nitajie 10 tu.
Heshima mkuu 'Steve'.Chawa ni vijana wa mijini wenye kutafuta riziki zao kwa ujanja wa maongezi yao. Samia kagusa maisha ya kiuchumi ya Tanzania.
Pita hapo mkoa wa Pwani utakutana na viwanda vingi vinavyozalisha mali muda huu. Treini ya SGR kaimalizia na imeshaingiza bilioni karibu 20 kwa kipindi cha miezi sita iliyofanya kazi.
Sijaongelea ndege za ATCL zinazopishana huko angani.
Kwani ukiweka hapa kiambatanisho kuna shida gani?Ingia google utakuta taarifa sahihi za SSH, ni shughuli nyepesi kuifanya.
Sio mjinga kuliko Samia lakini?Trump mjinga tu, tazama namna wamarekani wenyewe wanavyomgeuza kichekesho kila siku.
Umebadilisha mada?Kama mababu zako walisoma basi punguza kutumia elimu kama ndio kigezo cha kufanikiwa, unaweza ukawa na elimu ndogo tu lakini akili ukawa na akili kubwa ya kutafuta maisha.
Bakhresa ni rais wa Taifa gani?Bakhresa ana elimu gani ya chuo kikuu?. alianza na kazi ya ufundi viatu miaka ile ya 80 mwanzoni leo ni bilionea mkubwa.
Kama siwezi kufika hizo takwimu nazipata wapi?Umeme wa REA umesambazwa Tanzania nzima, nenda wizara ya nishati watakupa takwimu halisia za wapi umeshafikishwa na wapi bado haujafika.
Kwahiyo tufunge shule watu wasisome ndio hawatokuwa watumwa?Punguza utumwa wa kudhani elimu ndio kila kitu,
Kwahiyo mtu anaenda kusoma shule awe kichekesho baadae?unaweza kuwa nayo bado ukawa kichekesho kwa kulinganishwa na wasio na elimu kubwa lakini wenye hekima na busara vichwani.
Tatizo liko hapa...Ingia google utakuta taarifa sahihi za SSH, ni shughuli nyepesi kuifanya.
Trump mjinga tu, tazama namna wamarekani wenyewe wanavyomgeuza kichekesho kila siku.
Kama mababu zako walisoma basi punguza kutumia elimu kama ndio kigezo cha kufanikiwa, unaweza ukawa na elimu ndogo tu lakini akili ukawa na akili kubwa ya kutafuta maisha.
Bakhresa ana elimu gani ya chuo kikuu?. alianza na kazi ya ufundi viatu miaka ile ya 80 mwanzoni leo ni bilionea mkubwa.
Umeme wa REA umesambazwa Tanzania nzima, nenda wizara ya nishati watakupa takwimu halisia za wapi umeshafikishwa na wapi bado haujafika.
Punguza utumwa wa kudhani elimu ndio kila kitu, unaweza kuwa nayo bado ukawa kichekesho kwa kulinganishwa na wasio na elimu kubwa lakini wenye hekima na busara vichwani.
Wewe unanyonya uchafu wa nani mkeo au malaya?"Kupungua" ni jambo jingine linalo jibika pia, lakini binafsi najuwa "kuongezeka".
Chawa wanao pigana vikumbo kunyonya uchafu wa mama wameongezeka sana. Sasa hapo sijui kama huo ni uwezo wa "kuongoza" nchi au la!
Mimi nanyonya wa taifa linalo najisiwa sasa hivi; na nitaendelea kuunyonya hadi pumzi ya mwisho. Kwa hiyo naomba usinilulize swala kama hilo tena. teanaWewe unanyonya uchafu wa nani mkeo au malaya?