Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Mimi bora nisiwe msaidizi wake kwa nafasi yoyote ya uwaziri au IKULU.

Sasa naongea nini mtu ambae uwezo wake ni zero.
Sikuwahi kuajiriwa lakini nina miezi minne kwenye ajira kwa sasa
ambapo nipo chini ya watu wenye akili ndogo sana inaboa sana hii
Nakuelewa unavyosema hivyo
hapa mara nyingi nafikiria kuacha lakini najitahidi kukomaa mpaka februari kwa kuwa kimshahara kinabust biashara zangu sina jinsi kufanya kazi na hawa watu ni kazi sana

Tumuweke nani sasa awe rais
 
Mkuu unaomba vitu ambavyo vipo kwenye google, punguza huyo ujeuri na utoto pia.

Samia ni Rais keshaingia kwenye kumbukumbu za marais wa Tanzania. Wewe mwenye kujigamba una elimu kumzidi unatumia ID feki ya Jamiiforum!.

Daraja la kigongo busisi linamalizika muda huu ni kazi ya Samia.

SGR imebakiza kipande cha Dodoma/Mwanza ni kazi ya JPM/Samia.

Kigoma imekuwa karibu na pande za nchi zilizobakia, miundo mbinu ya barabara imeufungua mkoa huo.

TAZARA Inakwenda kufufuliwa upya ni kazi ya Rais wa China na Samia.

Bandari ya Dar inao wawekezaji wawili wakubwa, DPW na Adani wanafanya kazi kisasa na tija inaongezeka kila kukicha.

Tembelea mkoa wa Pwani utakutana na viwanda vingi vipya vipo kazini ni kazi ya Samia na Magufuli ya kuifungua nchi.

Yapo mengi mno yanafanyika tafuta nyuzi zenye kuhusiana na masuala ya nchi kufunguka zimo humu kundini.

Huyo huyo unayemsema kwamba hana elimu anaifungua Tanzania kwa mapana yake. Miradi mipya 1699 imeanzishwa katika kipindi cha awamu ya sita chini ya uongozi wake.

Wivu na roho mbaya vitaendelea kuitesa nafsi yako.
Sijaona mahali umejibu swali langu la miundombinu 10 ya kimkakati uliyosema amejenga Samia katika miaka yake 3.

Hivyo sioni sababu ya kuendelea kufanya mjadala na wewe.
 
Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.

Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.

Hana uwezo hata chembe.

That says a lot ueledi wa civil services,

It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Wanamapinduzi ndani ya chama cha mapinduzi tunamtegemea muda ukifika atoe mchango wake nchi ipate rais aina ya John Pombe Magufuli kwa sababu mtu huyo sio yeye. Taifa linahitaji kiongozi mwenye ujasiri asiye muoga. Mchapa kazi asiyechoka, mtu mpenda haki na usawa na asiye mbinafsi. Mtu mzalendo mwenye maono na maarifa tele. Akifanya hivyo atakua amelitendea taifa jambo jema sana na tutamkumbuka kwa heshima kubwa.
 
Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.

Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.

Hana uwezo hata chembe.

That says a lot ueledi wa civil services,

It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Mbona umeandika Maneno machache hivi.
Hayatoshi kuonesha ni Cha kweli unachokisema?
Ni malalamiko , ila hayasikiki , haijulikani unalalamikia sekta Gani?
Lalamika upya.🥱
 
Mh!! Ndugu mleta mada naona kavurugwa kabisa - maana si kwa kutiririka huko.
Sema TISS mlioko humu - na wengine - mnajukumu kubwa la kufanya kuokoa taifa hili - TISS fanyeni mission ambayo vizazi vya miaka 200 mbele vitawakumbuka...Hiyo I kwenye TISS ni INTELLIGENCY...watu tuone kweli kuna vichwa kule otherwise ni disaster.Fanyeni hivi:
1.Pandikiza watu wafia nchi -CCM..achaneni na watu wenu ambao kwao CCM mbele - taifa linafuata
2.Ivunjeni CCM vipande viwili - vyenye nguvu visivyoweza kuelewana.Tupate vyama viwili heavy ambavyo vinanguvu sawa - connection sawa - ushawishi sawa..LKN hakikisheni havi- helewani kamwe..
Hii CCM ya sasa hivi ndo shida nchi hii - kujuana - Monarchy - wachache ndo wanakula hii nchi tena wako untouchable.
3.Mkivunja CCM tukapata A & B: Hapo hapo amsheni mambo ya katiba mpya.Hivi vyama vyote vikubali katiba mpya - them.l mchakato wa katiba urudi...Hakikisheni wananchi, vyama, vyote, mashirika ya kiraia yanashirikishwa - Tupate katiba itskayotatua changamoto zote tulizoziona kwa miaka hii zaidi ya 60 tumepata..ikiwezekana wekeni wasomi wayahighlight kabisa mapema.
Mkiweza kufanya hivyo bila vurugu, bila hata watu kuelewa how changes zimetokea - huko mambo yakiendelea kama kawaida - kwa amani - YOU WILL GO DOWN IN HISTORY KAMA moja ya Taasisi reputable zenye vijana wenye akili - Vijana watawapenda - watu wengi wenye akili above normal human beings watapenda kufanyakazi na nyinyi..
Subirini miaka 5 ya Mama ipite - 2030..najua CCM patachimbika sana - hapo ndo penyewe.
Chance nyingine ilikuwa vuguvugu la Lowassa 2015 - kipindi kile CCM wanamnanga mwenyekiti wao - hapohapo...CCM ilikuwa imepasuka pale - mngeendeleza ule mpasuko to the maximum yaani watu wavurugane hatari..
Bila hivyo watu wataendelea kulalamika na kuumia sana kama mleta mada.
CCM ndo shida hii nchi - waondoeni hao - gawanyisheni watu wake tupate vyama vya kisasa
Ikiwa macho Yako yanaona sawa sawa,

Huwezi jiuliza mara mbili ikiwa atagombea au HATOGOMBEA!
 
Wanamapinduzi ndani ya chama cha mapinduzi tunamtegemea muda ukifika atoe mchango wake nchi ipate rais aina ya John Pombe Magufuli kwa sababu mtu huyo sio yeye.
Takataka aina ya Magufuli haitakuja tokea tena. Mungu mwenyewe aliamua kutusaidia kuiokoa nchi yetu isiharibike mazima.

Miaka 2015-21 lilikuwa ni tanuri la moto. Bila Mungu kuingilia kati leo hii Tanzania ingekuwa inakaribia Zimbabwe kiuchumi ma Yemen au Somalia kijamii na kiusalama
 
Umemwambia ahangaike na maisha yake awaachie nchi.

Unaandika ukiwa ufikirii au? Mimi nimekupangia nini?
Wewe umenipangia kuwa nisimkosoe, unaninyima uhuru wa kutoa maoni yangu unaotambulika kikatiba
 
Katiba ni shida nakubali, lakini shida zaidi pia ni civil services.

Nchi inayojitambua haiwezi ongozwa na mtu kama Samia.

Ni vipi huyu mama, kaweza kupenya hadi kuwa makamu wa raisi; Samia uwezo wake ni mdogo mno (akili zake ni ndogo mno), huo ndio ukweli.

Raisi Samia, kafikaje kwenye radar ya ulinzi wa nchi kudhani anaweza kuwa makamu wa raisi.

This is not OK.
Angefaa kuwa nwenyekiti wa kitongoji au hata huko hapamfai?
 
Jeshi la Marekani ndiyo wenye hii internet

Hakuna siri yoyote kwenye internet ndiyo maana mpaka leo baadhi ya document huko usalama wa Taifa haziwezi kuwasilishwa kwa simu wala computer zaidi ya pen na karatasi
Ungekuwa umesoma Coding na Cybersecurity ungeelewa.
Kuna site hata hacker haiingii security hua ni kubwa
 
Wanamapinduzi ndani ya chama cha mapinduzi tunamtegemea muda ukifika atoe mchango wake nchi ipate rais aina ya John Pombe Magufuli kwa sababu mtu huyo sio yeye. Taifa linahitaji kiongozi mwenye ujasiri asiye muoga. Mchapa kazi asiyechoka, mtu mpenda haki na usawa na asiye mbinafsi. Mtu mzalendo mwenye maono na maarifa tele. Akifanya hivyo atakua amelitendea taifa jambo jema sana na tutamkumbuka kwa heshima kubwa.
Mtu anayechapa kazi bila kuchoka hafai kuwa Kiongozi

Baada ya kazi ni mhimu kuchoka na kutenga muda wa kupumzika na kupata nguvu mpya

Mtu anayefanya kazi masaa yote bila kuchoka ata-burnout na mwisho wa siku atafanya vituko
 
Ungekuwa umesoma Coding na Cybersecurity ungeelewa.
Kuna site hata hacker haiingii security hua ni kubwa
Sasa una uhakika gani kama sijasoma code au cybersecurity?

Na bado hizo code na cybersecurity kwangu ni Upuuzi tu na kupoteza muda

Narudia tena site yoyote, app yoyote, system yoyote ikihitajika kudunguliwa itadunguliwa tu bila kujali ni ya nani au ya taasisi gani

Ulinzi mkuu kwenye hizo mambo huwa ni backup tu siyo code
 
Sasa una uhakika gani kama sijasoma code au cybersecurity?

Na bado hizo code na cybersecurity kwangu ni Upuuzi tu na kupoteza muda

Narudia tena site yoyote, app yoyote, system yoyote ikihitajika kudunguliwa itadunguliwa tu bila kujali ni ya nani au ya taasisi gani

Ulinzi mkuu kwenye hizo mambo huwa ni backup tu siyo code
Kama umesoma Coding kuna dollar 10000 zimewekwa kwa atakae dungua Telegram akampat anae sambaz picha za faragha za kigogo fulani
Tuko hapa tunahangaikia hio tenda na wanigeria kwa vile una uwezo wa coding njoo ujiiunge
 
Back
Top Bottom