Sikuwahi kuajiriwa lakini nina miezi minne kwenye ajira kwa sasaMimi bora nisiwe msaidizi wake kwa nafasi yoyote ya uwaziri au IKULU.
Sasa naongea nini mtu ambae uwezo wake ni zero.
Sijaona mahali umejibu swali langu la miundombinu 10 ya kimkakati uliyosema amejenga Samia katika miaka yake 3.Mkuu unaomba vitu ambavyo vipo kwenye google, punguza huyo ujeuri na utoto pia.
Samia ni Rais keshaingia kwenye kumbukumbu za marais wa Tanzania. Wewe mwenye kujigamba una elimu kumzidi unatumia ID feki ya Jamiiforum!.
Daraja la kigongo busisi linamalizika muda huu ni kazi ya Samia.
SGR imebakiza kipande cha Dodoma/Mwanza ni kazi ya JPM/Samia.
Kigoma imekuwa karibu na pande za nchi zilizobakia, miundo mbinu ya barabara imeufungua mkoa huo.
TAZARA Inakwenda kufufuliwa upya ni kazi ya Rais wa China na Samia.
Bandari ya Dar inao wawekezaji wawili wakubwa, DPW na Adani wanafanya kazi kisasa na tija inaongezeka kila kukicha.
Tembelea mkoa wa Pwani utakutana na viwanda vingi vipya vipo kazini ni kazi ya Samia na Magufuli ya kuifungua nchi.
Yapo mengi mno yanafanyika tafuta nyuzi zenye kuhusiana na masuala ya nchi kufunguka zimo humu kundini.
Huyo huyo unayemsema kwamba hana elimu anaifungua Tanzania kwa mapana yake. Miradi mipya 1699 imeanzishwa katika kipindi cha awamu ya sita chini ya uongozi wake.
Wivu na roho mbaya vitaendelea kuitesa nafsi yako.
Wanamapinduzi ndani ya chama cha mapinduzi tunamtegemea muda ukifika atoe mchango wake nchi ipate rais aina ya John Pombe Magufuli kwa sababu mtu huyo sio yeye. Taifa linahitaji kiongozi mwenye ujasiri asiye muoga. Mchapa kazi asiyechoka, mtu mpenda haki na usawa na asiye mbinafsi. Mtu mzalendo mwenye maono na maarifa tele. Akifanya hivyo atakua amelitendea taifa jambo jema sana na tutamkumbuka kwa heshima kubwa.Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Wewe tunakujua huwezi kua objective kwenye hili. Criteria yako itakua ni kuvaa kilemba sawa na wewe.Wewe mwenye uwezo na akili kubwa, hapo ndipo ulipoishia uwezo wako wa akili?
Umemwambia ahangaike na maisha yake awaachie nchi.Mbona na wewe pia unanipangia? Au nyani haoni kundule?
Mbona umeandika Maneno machache hivi.Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Lichawa la mamaSamia is the best. Hangaika na maisha ya familia yako tu achana na nchi yetu iko mikono salama.
Ikiwa macho Yako yanaona sawa sawa,Mh!! Ndugu mleta mada naona kavurugwa kabisa - maana si kwa kutiririka huko.
Sema TISS mlioko humu - na wengine - mnajukumu kubwa la kufanya kuokoa taifa hili - TISS fanyeni mission ambayo vizazi vya miaka 200 mbele vitawakumbuka...Hiyo I kwenye TISS ni INTELLIGENCY...watu tuone kweli kuna vichwa kule otherwise ni disaster.Fanyeni hivi:
1.Pandikiza watu wafia nchi -CCM..achaneni na watu wenu ambao kwao CCM mbele - taifa linafuata
2.Ivunjeni CCM vipande viwili - vyenye nguvu visivyoweza kuelewana.Tupate vyama viwili heavy ambavyo vinanguvu sawa - connection sawa - ushawishi sawa..LKN hakikisheni havi- helewani kamwe..
Hii CCM ya sasa hivi ndo shida nchi hii - kujuana - Monarchy - wachache ndo wanakula hii nchi tena wako untouchable.
3.Mkivunja CCM tukapata A & B: Hapo hapo amsheni mambo ya katiba mpya.Hivi vyama vyote vikubali katiba mpya - them.l mchakato wa katiba urudi...Hakikisheni wananchi, vyama, vyote, mashirika ya kiraia yanashirikishwa - Tupate katiba itskayotatua changamoto zote tulizoziona kwa miaka hii zaidi ya 60 tumepata..ikiwezekana wekeni wasomi wayahighlight kabisa mapema.
Mkiweza kufanya hivyo bila vurugu, bila hata watu kuelewa how changes zimetokea - huko mambo yakiendelea kama kawaida - kwa amani - YOU WILL GO DOWN IN HISTORY KAMA moja ya Taasisi reputable zenye vijana wenye akili - Vijana watawapenda - watu wengi wenye akili above normal human beings watapenda kufanyakazi na nyinyi..
Subirini miaka 5 ya Mama ipite - 2030..najua CCM patachimbika sana - hapo ndo penyewe.
Chance nyingine ilikuwa vuguvugu la Lowassa 2015 - kipindi kile CCM wanamnanga mwenyekiti wao - hapohapo...CCM ilikuwa imepasuka pale - mngeendeleza ule mpasuko to the maximum yaani watu wavurugane hatari..
Bila hivyo watu wataendelea kulalamika na kuumia sana kama mleta mada.
CCM ndo shida hii nchi - waondoeni hao - gawanyisheni watu wake tupate vyama vya kisasa
Takataka aina ya Magufuli haitakuja tokea tena. Mungu mwenyewe aliamua kutusaidia kuiokoa nchi yetu isiharibike mazima.Wanamapinduzi ndani ya chama cha mapinduzi tunamtegemea muda ukifika atoe mchango wake nchi ipate rais aina ya John Pombe Magufuli kwa sababu mtu huyo sio yeye.
Na wewe chawa wa marehemu Mwendazake!!Lichawa la mama
Wewe umenipangia kuwa nisimkosoe, unaninyima uhuru wa kutoa maoni yangu unaotambulika kikatibaUmemwambia ahangaike na maisha yake awaachie nchi.
Unaandika ukiwa ufikirii au? Mimi nimekupangia nini?
Angefaa kuwa nwenyekiti wa kitongoji au hata huko hapamfai?Katiba ni shida nakubali, lakini shida zaidi pia ni civil services.
Nchi inayojitambua haiwezi ongozwa na mtu kama Samia.
Ni vipi huyu mama, kaweza kupenya hadi kuwa makamu wa raisi; Samia uwezo wake ni mdogo mno (akili zake ni ndogo mno), huo ndio ukweli.
Raisi Samia, kafikaje kwenye radar ya ulinzi wa nchi kudhani anaweza kuwa makamu wa raisi.
This is not OK.
Jeshi la Marekani ndiyo wenye hii internetNJoo tusome wote
View attachment 3137642View attachment 3137646View attachment 3137647View attachment 3137645
NI protocol na process ya muda mrefu na inayochukua muda ili kubadilika kuendana na technolojia inavyokua
Hivi karibuni tuna amia WEB 3 karbu
Ungekuwa umesoma Coding na Cybersecurity ungeelewa.Jeshi la Marekani ndiyo wenye hii internet
Hakuna siri yoyote kwenye internet ndiyo maana mpaka leo baadhi ya document huko usalama wa Taifa haziwezi kuwasilishwa kwa simu wala computer zaidi ya pen na karatasi
Mtu anayechapa kazi bila kuchoka hafai kuwa KiongoziWanamapinduzi ndani ya chama cha mapinduzi tunamtegemea muda ukifika atoe mchango wake nchi ipate rais aina ya John Pombe Magufuli kwa sababu mtu huyo sio yeye. Taifa linahitaji kiongozi mwenye ujasiri asiye muoga. Mchapa kazi asiyechoka, mtu mpenda haki na usawa na asiye mbinafsi. Mtu mzalendo mwenye maono na maarifa tele. Akifanya hivyo atakua amelitendea taifa jambo jema sana na tutamkumbuka kwa heshima kubwa.
Sasa una uhakika gani kama sijasoma code au cybersecurity?Ungekuwa umesoma Coding na Cybersecurity ungeelewa.
Kuna site hata hacker haiingii security hua ni kubwa
Kama umesoma Coding kuna dollar 10000 zimewekwa kwa atakae dungua Telegram akampat anae sambaz picha za faragha za kigogo fulaniSasa una uhakika gani kama sijasoma code au cybersecurity?
Na bado hizo code na cybersecurity kwangu ni Upuuzi tu na kupoteza muda
Narudia tena site yoyote, app yoyote, system yoyote ikihitajika kudunguliwa itadunguliwa tu bila kujali ni ya nani au ya taasisi gani
Ulinzi mkuu kwenye hizo mambo huwa ni backup tu siyo code
Hapana mkuu. Maneno yanaweza kuwa amounted to vitisho.Wewe umenipangia kuwa nisimkosoe, unaninyima uhuru wa kutoa maoni yangu unaotambulika kikatiba