Ni katiba bora ilotengenezwa kwa ustadi wa hali ya juu.Katiba ya Tanzania inampa uhuru mkubwa mno Rais. Hakuna raia wa Tanzania anayeweza mtishia Rais au kumkwamisha, Rais akikwama ujue ni suala la uwezo wake mdogo.
Maza hana mvuto kabisaMimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Unamsikiliza nani????Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Kwa sababu huna akili. Siku ukiwa na akili utamsikiliza huyu transformer wa uchumi uliohalibiwa na mwendazakeMimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Kwa mfano cheo kikubwa kama PS cha "civil servant" huwezi kukitoa kama zawadi au shukrani, bali wakitoa kwa "merits" ziloshiba.Civil servants wetu ni uwezo mdogo kupindukia.
Nina marafiki ambao ni watumishi wa umma, yaani mpaka naona aibu mimi kuwa ni rafiki zangu.
Kuna mifumo miwili.
Civil services ambao ni ulinzi wa nchi na wa sio wa mzaha kabisa kwenye ascendency. Na sina shika wa succession planning yao.
Na kuna mifumo ya vyama vya siasa (which we shouldn’t care about their nonsense) kama civil services ni imara.
Shida inakuja kwenye vyama vya siasa (huko kwenye mifumo yao ni hovyo), na kwa katiba yetu hii Ina compromise stability ya civil services kwa madaraka ya mtu wa hovyo anaeweza pewa nchi (kama ilivyo sasa).
This is not accident (hii inaonyesha pia ni kwamba civil ni weak) kukubali kuachia raisi ateuwe watu anavyojisikia.
Kwa kifupi ni kwamba kwa upande wa siasa (ain’t nobody cares) Ila kwa upande wa civil na namna ya kuongoza nchi. Kwa jicho la watu waliokaa nje hakuna watu wenye uwezo wa kuongoza nchi. Na wengi wao hawajawahi kusoma vitabu vya siasa na kuelewa namna ya kuongoza nchi ndio uhalisia.
Kazi ya kuongoza nchi sio ya mzaha
Kwa kule kulikofahamika ni 'Ulimwengu Mpya' Amerika, hayo yalijengewa misingi Marekani; na sanamu ya Liberta pale kisiwa Liberty, New York inatukumbusha hili. Mbadala wake kijamii mabadilikoni, muktadha wa 'mambo ya nyakati', ni 'Afrika Mpya' ambavyo kazi inaendelea...
Kule Amerika >'Libertas'< yuko 'kisiwani' akiinua 'Mwenge wa uhuru' na kushikilia Tabula Ansanta--Kibao cha 'Sheria'--Sheria Kuu iliyo ni 'Upendo' katika Imani na Tumani. Kwamba 'Ulimwengu Mpya', Marekani, ni nchi ya kusudi kwa wote kuja kustawi na kuwa huru--nchi ya waliohuru.
Kwa Afrika, na tena Afrika Mashariki, >'Hekima ni Uhuru'< ndiyo 'upande wa pili' wa 'Tabula Ansarta'.
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kinachotokea mkoa ulio ni 'Bandari ya Salama', nembo yake ni 'Vesika Paisisi' yenye 'Nchi Kijani, Bahari, Mwenge na Kitabu'. Na basi kwa Afrika, Kielelezo cha 'Pambazuko Afrika', ilivyo ni 'Atlantisi Mpya', ndiyo sanamu ya >'Renasansi Afrika'< kule Dakar, Senegali. Mwalimu Kambarage alikuwa na ufahamu kuhusu haya yote, kwa namna ya rohoni, na mawaidha yake katika kijitabu 'TUJISAHIHISHE'(1962) alikazia msingi wa Elimu na Uwajibikaji ndani ya muktadha wa 'madaraka' na 'ustawi' wa jamii -- Elimu kutojinasibu na 'ubinafsi' na 'kujiinua' katika 'utu na utumishi'. Na basi, 'Uhuru na Umoja' ni msingi wa 'UPENDO na Kujaliana', ilivyo ni namna MAMA, kama vile 'Hekima na Amani' ni UONGOZI ilivyo ni namna BABA. Ustawi, kiufikirifu na Uono Mifumo, ni 'MWANA'.
Mwalimu Kambarage Nyerere, alipokuwa anazungumza kuhusu Ujamaa, kiuono na ufikirifu mifumo, alikuwa akijinasibu na kitu tunachokwenda kukifahamu kama 'Jeometria ya Utendekavyo Maamuzi' ambavyo ni kadiri pia kusema: ikiwa 'fahamu za watu/wanajamii' hazitanuki kupita miktadha ya ELIMU 1.0, tabia, mienendo na vitendo vyao huzaa 'Matriksi' ilivyo ni >'MCHE MRABA--KUBU'< ya 'UDHALIMU'. Lakini ikiwa fahamu za watu/wanajamii zinatanuka kufaa ELIMU 2.0 hili huleta >'TETRAHEDRONI'< ya >'NYOTA ya UKOMBOZI'<...
Basi Mwalimu alikuwa na Mwangaza wa haya, na kwa wakati alizungumza ya kufaa kwa umma; kuna yanayofaa kufahamika wakati unapokuwa sahihi -- yakifahamika kabla ya wakati sahihi, badala ya kuleta matunda thabiti, yataleta matunda legevu katika muktadha wa maendeleo na ustawi wa umma. Hapa tulipo, kama wanajamii, tunao ufunguo wa kukadirisha ikiwa tunda letu la kujinasibu na 'kujua ilivyobora' linakwenda kuwa ni thabiti ama legevu... Hapa tulipo, ni kama vile tunakaribia kujitazama katika kioo-->ili kuachana na 'utoto'<...
Kwa hivyo Mwalimu Kambarage Julius Nyerere alikuwa anajua fika mapelekeo ya kusema: Ujamaa pia ni tabia na vitendo, ujamaa ni uhusiano wa mtu na mtu na mtu na umma, ni usawa na utu, ni kuheshimu na kuheshimiana, ni haki na ni wajibu na mambo haya hayapatikani kwa amri wala kwa sheria... Huu ni 'Uono na Ufikirifu Mifumo'; Mtu wa uono na ufikirifu mifumo huona mambo kwa 'mahusiano na vitendo' na wala si 'miundo' na 'udhibiti'. Ushawishi wa mambo huwa na sura mbili kwa wakati mmoja, kutoka juu kuja chini na hapo hapo kutoka chini kuelekea juu... Ndivyo basi kwa nini 'kuheshimiana', kiujamaa, ni 'udugu'--si 'ubwana mkubwa na ubwana mdogo'... Ni 'haki' na 'wajibu' ambavyo mambo haya hayapatikani kwa 'amri' wala 'sheria'...
Kwa muktadha huu, ni vema kutambua: kule kufikiria kwetu Katiba kama 'Sheria mama' inaweza kuleta 'haki' na 'wajibu' kuna namna ni ufikirifu mushkeli wa kielimu, ELIMU 1.0... Ukosefu wa maadili na kutothamini mipaka ya mambo kwa 'jicho la staha' na 'nidhamu' haya ni mapungufu ya 'kitabia' katika 'Utu' wa mtu... Mtu wa daraja la chini la akili, husukumwa utendaji wake na 'vina vya tafsri' ya mambo vilivyo ni vya juu juu--hata kwa taratibu za maisha yake. Mtu wa namna hii ni rahisi kudhibitiwa kiakili kwa >'mifumo ya usadikifu'< na 'mienendo ya kipambe'-->maisha ya mkumbo<... Hili lafanya kwanini 'Sheria na Amri' ni vitu vya kufaa watu wa ufahamu wa chini kiakili, lakini 'uwajibikaji' na 'kujituma' ni nasibu ya 'ufahamu wenye kuinuka/kuchachuka'... Yesu amepata kuzungumza busara ya jambo hili hili katika muktadha wa 'Utaasisi na Mapokeo': Musa aliwapa watu >'Sheria za Taratibu za Maisha'< kwa shauri ya 'Mioyo' yao ilikuwa ni migumu...
mbona unashambulia bila hoja ya msingi...Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Mkuu waweza kuwa sawa au sio sawa ila kiongozi hupatikana kutokana na mfumo uliopo wa kutambua vipaji.Kiongozi yeyote huwa hazaliwi na kuwa kuwa kiongozi...
Mtu yeyote huwa hazaliwi na kuwa kwenye kada aliyopo akiwa ameshapevuka...
Sisi sote tunazaliwa, tunakuzwa na walio wakubwa wetu, wakati fulani nasi tunakuwa wakubwa na kubebeshwa ama kubeba majukumu...
Shida huanza katika msingi ambao ni makuzi na malezi, Waafrika tangu wakiwa wadogo wanakuwa wameandaliwa kushindwa kwa sababu katika hali ya utoto hakukiwa na makuzi ya kuja kuwa kinara wa kuyakabili maisha na changamoto zake...
Ili tuweze kufika salama tuendako, tupambane kwanza na UJINGA...
Nimeshaeleza jambo hili kwa kina gentleman,
Kilimo mnalima nyie kwa manenoNimeshaeleza jambo hili kwa kina gentleman,
kwanza nimefurahia sana na kwakweli nimepingeza uamuzi na hatua alizochukua huyo kijana, mathalani hiyo ya kuamua kutokuskiza watu na kuamua kujikita kwenye kilimo, sekta ambayo Dr.Samia suluhu Hassan amefanya mageuzi na mapinduzi ya maana sana, na kufanya mazingira ya kilimo kua kimbilio la vijana kama huyo..
na nimuhakikishie tu, atatoboa maisha sana huko Asibabaike na maneno ya watu.
serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan ataendelea kua kuchochea cha vijana wengi nchini kufikia ndoto na matarajio yao.🐒
Mungu ibariki Tanzania 🌹
Uuuuwiiii….nakogoaaaa😂😂😳She is the best president ever happened! Alafu sio rahisi amfurahishe kila mtu hatoweza na wala hutoweza
kijana kachukua uamuzi mgumu kuachana na maneno ya watu na kuamua kwenda kulima, wewe unambeza gentleman, why lakini aise?Kilimo mnalima nyie kwa maneno
Haha au mnawalimisha wenzenu kwa meno
Nyie mnajulikana mnaishi kwa tantalila 😄
Ova
Umekuwa ukitumia neno mapinduzi makubwa ya kilimo au "agriculture revolution".Nimeshaeleza jambo hili kwa kina gentleman,
kwanza nimefurahia sana na kwakweli nimepingeza uamuzi na hatua alizochukua huyo kijana, mathalani hiyo ya kuamua kutokuskiza watu na kuamua kujikita kwenye kilimo, sekta ambayo Dr.Samia suluhu Hassan amefanya mageuzi na mapinduzi ya maana sana, na kufanya mazingira ya kilimo kua kimbilio la vijana kama huyo..
na nimuhakikishie tu, atatoboa maisha sana huko Asibabaike na maneno ya watu.
serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan ataendelea kua kuchochea cha vijana wengi nchini kufikia ndoto na matarajio yao.🐒
Mungu ibariki Tanzania 🌹
Umsikilize au usimsikilize haikusaidii kitu ila kama wewe ni mtumishi au Waziri lazima utatekeleza orders zake utake au usitake.
Mwisho mtu asiye na uwezo angeshindwa kuihimili Nchi vinginevyo ni shida zako binafsi.
Bad news kwako Mr uwezo ni kwamba Samia yupo Hadi 2030 na huna uwezo wa kumtoa Wala kumfanya chochote 😆😆😆😆
CCM ndio chamaKatiba ni shida nakubali, lakini shida zaidi pia ni civil services.
Nchi inayojitambua haiwezi ongozwa na mtu kama Samia.
Ni vipi huyu mama, kaweza kupenya hadi kuwa makamu wa raisi; Samia uwezo wake ni mdogo mno (akili zake ni ndogo mno), huo ndio ukweli.
Raisi Samia, kafikaje kwenye radar ya ulinzi wa nchi kudhani anaweza kuwa makamu wa raisi.
This is not OK.
Fanya hivi… nenda katukane ikulu halafu ndo utajua kwamba ana uwezo ama hana yaani utashenyentwa bila hata kumuona huyo samiaMimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Hapo ndio nimekuelewa level za watumishi wengi wa umma ni incompetentKuna criteria’s za mtu ambae ni coachable kwa nafasi ya uraisi.
Samia ni un-coachable simply kwa sababu uwezo wake ni mdogo mno.
Tatizo unaliona lipo kwenye civil servants, wengi ni uwezo wao mdogo sana.
Asilimia kubwa ya senior civil servants wa TRA awaelewi hata sheria za kodi, leave alone the changes which comes with the new budget. But most don’t understand the accounting principles behind the VAT act.
Ni hivi, sasa kumuongelea huyo raisi wenu Ndio shida kabisa.
Ndio maana, sioni tatizo la Tanzania kama Samia; isipokuwa 90% ya senior civil servants hawana sifa ya nafasi walizonazo.
Na wengi hawajawahi ata kusoma vitabu vya siasa it’s obvious. I can’t waste my time to justify that kwa sababu hata kwenye hili jukwaa la siasa I can go as far as to say 99% ya wachangiaji hawajawahi kusoma kitabu cha siada at foundation level.
Ndio uhalisia
Kwa nini alimteua tena 2020??Ra
Rafu za uteuzi wa Mgombea Urais 2015. Baada ya Magufuli kupita na akataka Hussein Mwinyi awe Makamu akachomekewa Mwanamke kama alivyochomekewa Samwel Sitta kwenye Uspika. Mcheza michezo hiyo anajulikana na huenda akaendelea kucheza ili mradi ananufaika nayo.