MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Haulazimishwi kumsikiliza. Rais Samia yupo hadi 2030. Wabunge pia watafanya kitu kwenye katiba aendelee hadi 2035 kwa sababu ndo hitaji kubwa la wananchi walio wengi kwa sasa.Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Atumia haki yake ya msingi na kikatiba kutoa maoni yake.Fanya hivi… nenda katukane ikulu halafu ndo utajua kwamba ana uwezo ama hana yaani utashenyentwa bila hata kumuona huyo samia
Atumia haki yake ya msingi na kikatiba kutoa maoni yake
Ama kweli mlamba asali huchonga mzinga.Haulazimishwi kumsikiliza. Rais Samia yupo hadi 2030. Wabunge pia watafanya kitu kwenye katiba aendelee hadi 2035 kwa sababu ndo hitaji kubwa la wananchi walio wengi kwa sasa.
Jambo la kwanza ni kuzingatia mtoa hoja ambae ameamua kuacha kumskiliza mtu na akaamua bora akalime. Mbona hakusema au kuamua kwenda kufanya kazi nyingine ispokua kilimo?Umekuwa ukitumia neno mapinduzi makubwa ya kilimo au "agriculture revolution".
Je, mapinduzi hayo yapo kwenye ngazi zipi uzalishaji au teknolojia, uzalishaji mbegu, teknoljia mpya katika uzalishaji mbegu bora za mazao au maeneo yapi?
Tupatie Case studies au success stories za watu kutoka kwenye kilimo ndani ya miaka 10 ilopita ambao ni wapya si watu walewale?
Ukizungumza mapunduzi ya kilimo uwe tayari kufafanua.
Si tu kusema kisiasa kwamba watu wapewa mapesa wayatupe kwenye kilimo.
Tusizungumze tu neno mapinduzi makubwa ya kilimo kisiasa wakati bado kuna changamoto kubwa khasa uzalushaji wa mazo kama miwa.
Mkuu, Tanzania ni nchi ya kistratejia zaidi katika ukanda huu wa maziwa makuu na Afrika Mashariki na kati.Hakuna mtu punguani aliyekuwa na uwezo wa kutuokoa na hili zimwi na hakufanya wajibu wake kama Mabeyo. Yule mpuuzi ni mjinga asiyejua nini maana ya uzalendo. Alishindwaje kupindua serikali na kuhakikisha watanganyika wanaongoza nchi Yao kwa maslahi ya vizazi vijavyo kama magufuli, majaliwa na kina kabudi walivyofanya? Yani Mabeyo hata kama katiba imesema ujinga yeye anaufuata huo upuuzi kisa katiba imesema! Mimi nisingewafikisha hapo watanganyika wenzangu asilani
Hebu washawishi watu kama hilo unaloandika ni sahihi ukitoa na sababu za kusema hivyo.Katiba ni shida nakubali, lakini shida zaidi pia ni civil services.
Nchi inayojitambua haiwezi ongozwa na mtu kama Samia.
Ni vipi huyu mama, kaweza kupenya hadi kuwa makamu wa raisi; Samia uwezo wake ni mdogo mno (akili zake ni ndogo mno), huo ndio ukweli.
Raisi Samia, kafikaje kwenye radar ya ulinzi wa nchi kudhani anaweza kuwa makamu wa raisi.
This is not OK.
Sawa.Jambo la kwanza ni kuzingatia mtoa hoja ambae ameamua kuacha kumskiliza mtu na akaamua bora akalime. Mbona hakusema au kuamua kwenda kufanya kazi nyingine ispokua kilimo?
Hata hivyo,
nimefurahi mno kwa namna ulivyohoji mageuzi na mapinduzi ya kilimo ambayo kwa kiasi kikubwa yamechochewa sana katika awamu hii ya6 chini ya Rais na kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan.
Gentleman,
hakuna tena kilimo cha mkono nyakati hizi, wala hakuna ule mtindo wa kupanda kwa kumwaga mbegu, tena zisizo za kisasa.
matrekta na mashine maalumu za kupandia, mbolea, dawa na mbegu za kisasa za mazao mbalimbali ndio kwa kiasi kukubwa hutumika..
na kwa namna mambo yanavyokwenda, suala la njaa Tanzania litakua ni ndoto.
Nadhani nisitoe ushuhuda wowote but mabadliko ya kilimo nchini yamesaidia kuikimbiza njaa mbali sana na kuongeza kipato cha waTanzania kwa kiasi kikubwa mno 🐒
Weka ushahidi wa kutosha dhidi ya hizi shutuma zako. Sawa una uhuru wa maoni lakn bila ya hoja unaonekana mtovu wa nidhani.Lazima kama taifa mna matatizo makubwa sana.
Kabisa watu wenye akili timamu mumpe Samia miaka mitano tena.
Hata mimi ambae simjui sihitaji ushawishi, ni mama mwenye uwezo mdogo sana.
Sasa sijui wale ambao wana interact nae, tuache utani kwenye shughuli ya kuongoza nchi.
Samia hana uwezo.
Anamaanisha ilikuwaje mifumo haikubaini from the grassroots kama hakustahili kuwa hata running mate.Mkuu 'Mayor', wakati mwingine ni vizuri nawe uwe ni mkweli kwa nafsi yako.
Hivi kweli hujui Samia kafikaje hadi hapo alipofika? Unajuwa Tanzania kuna chama (cha siasa?), kinacho jitambulisha kuwa ni Chama Cha Mapinduzi (CCM)? Sasa anzia hapo kujuwa aliko tokea Samia na kufika hadi hapo alipo sasa. Usimlalamikie mtu mwingine kwa ujio wa Samia kwenye picha; ingawa Kikwete ndiye anaye julikana kuwa mtu wa mwanzo mwanzo kumpandisha kwenye 'pedestal.'
safi ssana, tunamtakia kila la kheri.
😄 😄safi ssana, tunamtakia kila la kheri.
Akipenda asipende, inabidi asubiri.
Mama anatosha.
sure,Sawa.
Bado yapo mambo mengi ya kuyarekebisha.
Mshaurini raisi afungue njia zaidi kwa graduate wapate ajira au mitaji ya kujiajiri.
Pia human rights records zinaharibu sifa zote unozielezea hapa.
Mie ntafanya judgement kipindi cha serikali yake halisi endapo atashinda uchaguzi ujao.
Bila shaka hata weye una nafasi yako tayari umeahidiwa.
Au?
Kwanini wewe hauishi wakati huu?😄 😄
Mama anatosha siyo haya wakati wenu huu
Ova