Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza rais Samia

Ukisema akili hana nadhani si kauli sahihi kwani yeye ndie first citizen, hivyo heshima ni ya kulazimika nadhani labda useme mawazo yake yametekwa.

Kuna jamaa humu alileta mada inohusu state capture kaongelea namna state inavyoweza kuwa chini ya watu fulani ambao ndo wenye maamuzi.

Kisha mie pia kuna mada humu niliongelea kuhusu madhara ya nchi kuruhusu mfumo wa Kleptokrasia ambao pia ni mfumo unokuwa chini ya watu wachache na viongozi ambao huiba na kujilimbikizia mali za taifa.

Hivyo hata kama hyupoo kiongozi ambae amefumbwa na mifumo kama hiyo si kwamba hana akili ila huwaza namna ya kuchomoka lakini bado ana kuwa limited ni maamuzi yepi yatatimizwa au kuzimwa na mifumo hiyo.

Kwa bahati mbaya yaonekana nchi yetu imekumbwa na mifumo yote miwili yaani "double knock factors".
🙋‍♂️✍️🎯🤝🙏
 
Lazima kama taifa mna matatizo makubwa sana.

Kabisa watu wenye akili timamu mumpe Samia miaka mitano tena.

Hata mimi ambae simjui sihitaji ushawishi, ni mama mwenye uwezo mdogo sana.

Sasa sijui wale ambao wana interact nae, tuache utani kwenye shughuli ya kuongoza nchi.

Samia hana uwezo.
Kosa kubwa tutakalo fanya ni hio 2025-2030.
Tulipo leo ni kosa lakini kosa lina kuwa kosa na kuleta madhara linaporudiwa
 
Kuna criteria’s za mtu ambae ni coachable kwa nafasi ya uraisi.

Samia ni un-coachable simply kwa sababu uwezo wake ni mdogo mno.

Tatizo unaliona lipo kwenye civil servants, wengi ni uwezo wao mdogo sana.

Asilimia kubwa ya senior civil servants wa TRA awaelewi hata sheria za kodi, leave alone the changes which comes with the new budget. But most don’t understand the accounting principles behind the VAT act.

Ni hivi, sasa kumuongelea huyo raisi wenu Ndio shida kabisa.

Ndio maana, sioni tatizo la Tanzania kama Samia; isipokuwa 90% ya senior civil servants hawana sifa ya nafasi walizonazo.

Na wengi hawajawahi ata kusoma vitabu vya siasa it’s obvious. I can’t waste my time to justify that kwa sababu hata kwenye hili jukwaa la siasa I can go as far as to say 99% ya wachangiaji hawajawahi kusoma kitabu cha siada at foundation level.

Ndio uhalisia
🎯🤝
 
Uchumi unakuwa kwa ratę gani?

Zama za Magufuli uchumi ulikuwa kwa rate ya 7% na national debt ilikuwa inashuka.

Unaweza kusema sasa hivi uchumi unakuwa kwa Kasi gani na control ya national debt ikoje.

Mambo mengine kaongee, kwenye mikutano ya CCM Lakini ya sio kutuletea majibizano ya JF.
😳🤓🤓
 
Kosa kubwa tutakalo fanya ni hio 2025-2030.
Tulipo leo ni kosa lakini kosa lina kuwa kosa na kuleta madhara linaporudiwa
Kubadilisha hilo linataka raisi atakae force hayo mabadiliko na civil servants ambao watamuunga mkono.

Sio kila kitu kibaya kulikuwa na watu huko kwenye civil services ambao walikuwa wanaichukulia succession planning very serious. Wakurugenzi wengi wa wizara ukiwasikiliza Tanzania sio watu wa mzaha-mzaha ni very technical.

Shida ni promotion kwenda mbele baada ya hapo raisi ndio ana amua. Things have to change kutoka zama za Nyerere.
 
FaizaFoxy ndio alileta humu kiongozi sikumbuki ilikuwa YouTube channel gani, yeye ndio anaweza kukupa hiyo clip.

Halafu moderators huyu FaizaFixy katokea wapi tena? Clearly ni mtu ambae yupo kwa ajili ya ku dilute au kupotosha misimamo ya FaizaFoxy (either unakubaliana nae, au lah; hilo ni swala jingine).

Lakini kuruhusu uwepo wa huyu FaizaFixy na kutumia avatar original ya FaizaFoxy ata kama muhusika mwenyewe ajalalama inakera kwa baadhi yetu.
Firefox si ndio Samia mwenyewe hapa kitalani? 😳
 
Firefox si ndio Samia mwenyewe hapa kitalani? 😳
Haa wapi kiongozi, hao ni mabibi wawili tofauti. Mmoja yupo Ikulu anakunywa kahawa huku akitafuna kashata za nazi wakati akipepewa na walinzi wake hata umeme ukikatika. Mwingine yupo Canada sasa hivi anatafuna mirungi na kuvuta sifara handass zake analeta JF
 
Nakupata 100%

Ndio maana kila siku kama umewahi kunisoma huko nyuma uwa nasema ‘usalama wa taifa ni mchezo, wa watu wenye akili’.

Sasa kuna watu wenye akili huko wanamuona raisi wetu ‘Samia’ hana uwezo kabisa.

Akipewa muhula mwingine sio shida yangu, lakini Samia akili hana; kafikaje hapo is beyond me.

Tukisema tumpe miaka mitano mingine sawa; Lakini akili hana (hilo lazima tukubaliane) tunampa nafasi mtu ambae hana uwezo kabisa.

Samia akili hana (hakuna ukweli, mwingine); yaani hana kabisa.
Nakazia na kukubaliana nawe kwa 100% ... Kwa nini tufanye uchaguzi mkuu sasa wakati tunatakiwa kuandika katiba mpya? Kwa nini tusitumie mwanya huu kuamua juu ya muundo wa Muungano? ... Kwa nini hatuoni umuhimu wa kuirudisha Tanganyika kwenye nafasi yake tena makao yake yawe Dodoma? 🤔
 
Salaleh lakini hawa ‘moderators’ wa JF wachonganishi sijapata kuona.

Kichwa cha habari ya mada yangu kilisema ‘Tafakuri’ maana yake ni mtazamo tu (aina mtoa mada, yupo sahihi).

Sasa nashangaa hii title ya kumdharau raisi wa Tanzania na amiri jeshi mkuu (imetokea wapi).

Salaleh leo ndio nimeamini mods wa JF ni wachonganishi.

Tafadhalini sana moderators, tusiwekeane maneno ambayo watu atujaweka kwenye vichwa vya habari.
 
Katiba ni shida nakubali, lakini shida zaidi pia ni civil services.

Nchi inayojitambua haiwezi ongozwa na mtu kama Samia.

Ni vipi huyu mama, kaweza kupenya hadi kuwa makamu wa raisi; Samia uwezo wake ni mdogo mno (akili zake ni ndogo mno), huo ndio ukweli.

Raisi Samia, kafikaje kwenye radar ya ulinzi wa nchi kudhani anaweza kuwa makamu wa raisi.

This is not OK.
Nakuelewa sana... Yaani hapo unapomuona kuna wengi tu anawazidi kwa huo uwezo dhaifu alionao!
"If politicians are such unintelligent, brainless, witless, inept and inane examine the state of the local communities".
 
Kabisa simsikilizagi
Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.

Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.

Hana uwezo hata chembe.

That says a lot ueledi wa civil services,

It’s a shitty county (ndio uhalisia).
 
Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.

Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.

Hana uwezo hata chembe.

That says a lot ueledi wa civil services,

It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Sema mume wako anataka kila mara umpe, utapata wapi muda!
 
😂😅😂
Ndugu kwa hawa wanaochukulia vitu serious ’is not what you said, but how you said it.

Sasa kwanini mod abadilli kichwa cha habari kutoka kusema ‘tafakuri’ ikiwa na maana ys msamiati usio na shida hadi kuweka maneno yake kama sio ‘ramli chonganishi’ ni nini?

Si ndio wanga wenyewe huo..

Anyway ngoja nilale kwanza 👋
 
Back
Top Bottom