Mimi ni Mkristo mlokole, nimeanza kukosa Imani na ukristo nahisi Uislam ndiyo dini ya kweli

Mimi ni Mkristo mlokole, nimeanza kukosa Imani na ukristo nahisi Uislam ndiyo dini ya kweli

Ila mkibusu jiwe na kuvaa ka kanga bila chupi (waume kwa wake pamoja) sio fiesta 😂😂
Jiheshimu aisee hiyo sio fiesta kabisa😬



ila wale ma-BK 70 kitu sealed na vijito vya ulabu😂 hapo hewala ati tena ni fiesta extravaganza muziki mnene full moon party😂🙌
 
subiri povu toka kwa Jews wa Nyeburu

Jews are not christians mzee just in case you missed it…Judaism emphasizes the Oneness of God and rejects the Christian concept of God in human form, Judaism does not accept Jesus as a divine being…Get you’r facts together man….
 
Yani ni maigizo kweli kweli mkuu.
Kuna muda mambo yanayoendelea kanisani ni bora walevi bar.
Kwaya zimejaa uzinzi, wachungaji na manabii nao pia, mavazi na uimbaji utadhani uko fiesta.
Mahubiri siku hizi 99% ni toa ndugu, na yanamfaidisha mchungaji anakula bata dubai na kuishi kama elon musk.
Ukiwauliza, majibu ni Mungu anaangalia moyo.
Wakati imeandikwa kilicho ndani mwako kitajidhihirisha nje.
Hao akina geodavie wanajiita manabii kila sku kuna nabii mpya.
Ukweli ni kwamba siku hizi watu hawaendi kanisani kuabudu bali wanataka kuwa part of a community tu.
Shida ilianza kwa nabii mkuu wa uongo pedophile Muhammad, alianza na kutunga Aya kwamba yeye anagawana Mali za uizi na mungu wake Allah na pia akaanzisha consultation fee kumuona lazima ulipe {biblia imeandika yote ayo} yatatokea

Soma maandiko ya waislamu

Pedophile Muhammad alikuwa tapeli Sana

58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....
Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
 
Nope, dini ni mpango wa mungu kumtafuta/kumkomboa binadamu, mungu ndo anapanga njia za kumwokoa binadamu, sisi hatuna hata mpango wa kumtafuta mungu tunawaza matumbo yetu tuu, tukikosea mungu ndio wa kwanza kutufata na kutwambia makosa yetu, hata hilo wazo la kutubu lenyewe linatoka kwa roho mtakatifu, ambaye ni mungu...binadamu hatujielew tukitenda dhambi hata hatujali tunaendelea na mambo yetu tuu mungu ndo anahangaika kuturudisha kweny mstari.
Mungu hakuumba dini. Hiyo defn ni kwa mujibu wa fikra zako.
Dini ni mpango wa Mwanadamu kumtafuta Mungu ila Wokovu kupitia Yesu Kristo ni mpango wa Mungu kumtafuta/kumrudisha Mwanadamu.
 
Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.

Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.

Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!

Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!

Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
We hama tu.

Mungu ni yule yule na imani yako ndio itakuponya...
 
Inasikitisha sana mpaka ma cardinals kutoka Afrika walikuwemo na kukubaliana mpaka wanawake wawe na sauti sijui nini wanajua wao

Ila cha kushangaza mpaka wajeda walienda sijui kwa kudhibiti watakao kataa yale mambo wapigwe
Kasome habari acha kupewa habari
Nenda kwenye source
 
Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.

Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.

Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!

Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!

Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
Nina swali broo...
Wakati mashua aliyokuwa amepanda yesu na wanafunzi wake ilivopata dhoruba kali baharini wakati yesu amelala, kuna mwanafunzi hata mmoja katikati yao alieamua kuachana na mashua akajitupa baharini??
Wewe unadhani nn kingetokea hata mmoja wao angejitupa baharini? Angepona kweli?

Hapana asingepona, wao walichofanya ni waliamua kumwamsha yesu wakamlilia awasaidie, yesu akaamka akaituliza gharika na wote wakaokolewa na hamna hata mmoja aliyejitupa baharini baada ya kuona gharika.

Walijikaza, wakatiana moyo, wakashikamana kwa umoja wao wakaamua kumuamsha yesu.

Sasa ww unataka ujitupe baharini unapoona dhoruba, hutaki kushikamana na wenzako, una ogopa mashua itazama na utazama na wenzako, hutaki kuzama nao, huo ni ubinafsi na sio ukristo.

UKRISTO NI KUSAIDIANA, KUSHIKANA MIKONO UNAPOONA MWENZAKO ANAANGUKA, UKRISTO NI KUMWOKOA MWENZAKO, UKRISTO NI UPENDO.

Kwa sababu kama unajua makosa kanisani wanayofanya, ww kama mkristo unafanya kazi yeyote ya kuwaelemisha?
umefanya kazi yeyote ya kumkumbusha mchungaji majukumu yake?
Haya ndo mambo yanayo define ukristo wako(kupendana, kujaliana na kukumbushana), wala sio kunena kwa lugha usiku mzima.

Ndugu yangu Ukristo sio kukimbia unapoaana kanisa linapotea, yaan ndio unaenda kinyume kabisa na mafundisho ya yesu, huo ni ubinafsi.

YOU NEED TO UNDERSTAND THE CONTEXT OF BEING A CHRISTIAN BROTHER.
 
Ilinenwa na kristo kwamba watakuja manabii wa uwongo na sasa mwaona yametimia maneno ya messiah ila bado watu hawaelewi tu.

Dini iliyothabiti na iliyokamilika isiyo na upotofu wowote na inayomuelekea Mwenyezi Mungu moja kwa moja ni uislamu,

Kwanza maana yake tu Islam yaani aliyesilimu, yaani aliyejisalimisha na kumuelekea Mungu.

Hii inatosha kutuonesha kwamba uislamu unatufaa na tunapaswa kusilimu mbele za Mungu mmoja tu ambaye hajazaa wala hajazaliwa na jana mshirika yeye hachoki wala halali.
Messiah Jesus Christ alisema watakuja manabii wa uongo mmoja wapo ni pedophile Muhammad, kapotosha kweli ya kristo

Nabii aliethubutu kuchukua consultation fee (gharama ya kumuona) na kuthubutu kusema anagawana Mali ya uizi (ngawira) na ka mungu wake Allah

Soma Koran ambayo Ina surah nzima ya mapepo

Pedophile Muhammad alikuwa tapeli Sana

58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....
Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
 
Duniani dini ni moja tu ambayo ilianza tangu enzi na mitume wake kama kina Ibrahim, Mussa, na kufikia kwa Yesu ambaye aliileta injili ili kulivunja agano la kale na kuketa agano jipya ambapo amepata upinzani mkubwa kwa wayahudi hata kufikia hali ya kutoaminiwa na wayahudi waliowengi kisha Muhammad akaja kuimalizia jazi ya Yesu katika kuwafunza watu kuhusu Mungu na mwongozo wa maisha ya binadamu.

Issue I nakuja pale ambapo watu wanajua ukisilimu basi unakuwa Chini ya waarabu, ukweli ni kwamba kusilimu ni kujisilimisha mbele za Mungu mmoja tu.

Neno uislamu ni kiarabu lenye maana kusilimu yaani kujisalimisha kwa Mungu.
Asa sijui why some people are not able to understand the truth of that religion.
Uislam sio Imani ni kujisalimisha , Koran imeweka wazi
 
Inategemea na dini uislamu haudemand katika pesa we ni kumjua Mungu na kufanya ibada tyu huo ndiyo uislamu, hautosikia fungu la kumi wala sadaka ya bwana.
Pedophile Muhammad alikuwa tapeli Sana

58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....
Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
 
Mungu hakuumba dini. Hiyo defn ni kwa mujibu wa fikra zako.
Dini ni mpango wa Mwanadamu kumtafuta Mungu ila Wokovu kupitia Yesu Kristo ni mpango wa Mungu kumtafuta/kumrudisha Mwanadamu.
Hakuna sehemu nimeandika fikra zangu.

Unaposema "mpango" wa mwanadamu maana yake binadamu ndo anaye "panga" jinsi ya kumfikia mungu, sasa sisi binadamu hatumjui mungu, mungu ndo anatujua sisi na mungu ndo anatupa sisi binadamu elimu kuhusu yeye alivyo na anavyotaka sisi tuwe, sasa huwez kupanga njia za kumfikia yeye wakati humjui, yeye ndo anapanga njia za ww kupita ili umfikie yeye.

Mungu hawez kumwachia mwanadamu apange/abuni njia ya kumfikia wakati tayar binadamu ni mdhambi na hajui kitu.

Brother Dini(religion), if you trace back maana halisi ya dini ni "Njia" au "Safari" ya kiroho(a spiritual journey)

Adam alipotenda dhambi, mungu alimpa maelekezo(njia) ya kufanya ili asife papo hapo maana mungu aliwaambia mtakufa, adam aliambiwa na mungu atafute kondoo dume, mwenye afya, mkamilifu, amtoe kafara, Adam akafanya hivo, kondoo akafa badala ya adam. That was very crucial for adam to do, ili asife ilibidi mnyama afe badala yake, kafara ilimfanya adam aendelee kuishi.
Hayo ndo yalikuwa maelekezo(njia) ya mungu ili Adam asife papo hapo, Adam akaishi kwa maelekezo(njia) ya mungu na sio njia yake mwenyew aliyobuni.
Mungu vilevile akampa maelekezo(njia) ya jinsi ya kuomba msamaha, maelekezo na spiritual practices(Kafara, Ubatizaji, Meza ya bwana yote yanatoka kwa mungu)zote zinatoka kwa mungu.

Dini ni njia ya kumfikia mungu, na hio njia hawez kupanga mwanadamu sio mpango wa mwanadamu, labda kama unachanganya definition ya dini na madhehebu.

Nikisema mm dini yangu ni mkristo maana yake njia yangu mm ya kumfikia mungu ni yesu kristo, kwa sababu mwenyew alisema mm ndo njia.
Huwez mfikia baba bila mm, na yule kondoo ambaye adam alimchinja pale edeni, yule kondoo dume mkamilifu ndo alikuwa anam represent yesu atayefanyika kafara kwa ajili yetu, the true path of reaching God is through him.

Kuhusu wokovu umesema vema, sina cha kuongeza.
 
Unakaribishwa sana
Mkaribishe kubusu jiwe weka wazi
Alafu msomee na hii , kwamba anaebadili dini ya uislam jambia linapita kwenye shingo yake Allah amesema
Muhammad said: 'Whoever changes his religion, kill him.'"Sunan an-Nasa'i 4063
 
Karibu mkuu katika dini ya ukweli dini ambayo Allah anaitambuwa kuwa ndio dini yenye ukweli karibu tumuabudu Mungu mmoja asiye na mwana na wala mtoto Mungu asiyezaa na wala kuzaliwa Hana mwanzo na wala hana mwisho Mungu asiye lala na wala kusinzia Mungu asiye kufa na wala kuzaliwa Mungu wa milele amin.
Embu tujuze ni Mungu yupi amezaa au kuzaliwa ? Na yupi amekufa ?
 
Embu tujuze ni Mungu yupi amezaa au kuzaliwa ? Na yupi amekufa ?
Aaaah mzee hapo unakosea sasa.
Yesu ndio mzaliwa wa kwanza wa ulimwengu, ndio kazaliwa, kazaliwa na mungu baba, na yeye ndio muumba wa kila kitu, hio mbona ipo kweny waebrania brother.

Waebrania 1; 3-6 (Inamzungumzia Yesu)
3 Yeye kwa kuwa ni mng'ao wa utukufu wa Mungu na chapa kamili ya nafsi yake, akivichukua vyote kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi katika mkono wa kulia wa Ukuu huko juu; 4 amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao.
5 Kwa maana alimwambia malaika yupi wakati wowote,
Ndiwe mwanangu,
Mimi leo nimekuzaa?
Na tena,
Mimi nitakuwa kwake baba,
Na yeye atakuwa kwangu mwana?
6 Hata tena, amletapo mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, asema, Na wamsujudu malaika wote wa Mungu.


Sisi wakristo hatuhitaji kuficha mambo au kuyaelezea kimafumbo ili tuaminike na baadhi ya watu.
Hatuhitaji kumtetea Yesu, Yesu atajijitetea mwenyewe, unachotakiwa ww kufanya ni kusema ukweli usipindishe mambo.
Mtu akikuuliza Yesu amezaliwa? mwambie "Ndio" tena sema kwa nguvu "Yeye ndo mzaliwa wa kwanza wa ulimwengu", akikuuliza kazaliwa na nani? Sema tena kwa nguvu "Mungu baba" wala usione aibu au kujisikia vibaya kwamba utachekwa kwa sababu huo ndo ukweli.
 
Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu.

Hapakuwa na makorombwezo Wala mbwembwe kama Sasa! Huwa navurugwa sana nikiingia kanisani mambo mengi yamebadilika! Kanisa la Sasa imekuwa sehemu ya disco,dance na mitindo ya hovyo ya mavazi, wanawake wanavaa nguo ambazo hata kwenye baadhi ya bar hawavai na wachungaji wako busy na mapato na matumizi. Mahubiri asilimia tisini ni fedha na mipasho! Nimechoka na miujiza ya zana kama uganga, kanisa la Leo mchungaji anaamini lazima abebe zana ndio apande madhabahuni ,ukristo unabadilika Kila mwaka ,sura ya kanisa sio Ile ya 1990 ,2000.

Kila mwaka kanisa linavaa sura nyingine, wachungaji wetu wanavita kubwa ya kugombea waumini kiasi hawana ushirikiano Tena ! Ni maadui na hawana maombi ya pamoja Tena kama zamani. Kila mchungaji yaonekana kama ana mbingu ya kwake. Kuna kundi wanajiita mitume na manabii na Kuna kundi la maaskofu na wachungaji ,maaskofu na wachungaji wanahisi wao nao wanambingu Yao ambayo mitume na manabii hawataenda ! Na mitume na manabii pia wanaona wachungaji na maaskofu hawana nguvu ya mungu Tena!

Hizi ni dalili mbaya sana kwa miaka 20 ijayo ya ukristo, mpaka Sasa asilimia 70 waislam wako sawa na unaweza kuwaelewa! Lakini wakristo wamefeli kabisa , naikubali sana ibada ya hija na Ile ya kuchinja waislamu wanaungana Duniani kote kwa ajili ya Allah!

Lugha Yao inakuwa Moja na kauli Yao ni thabiti kabisa ,wanavaa vizuri sana wanapokuwa kwenye ibada na hata ,huwezi kuyaona mapaja ya mwanamke msikitini yakiwa nje sijui kama nitaweza kuuvumilia ukristo kwa miaka michache ijayo mungu aturehemu !
Kwani kama umeamua au unaamua kubadili dini sisi inatuhusu nini? Unatuambia tufanye nini?
 
Mungu hakuumba dini. Hiyo defn ni kwa mujibu wa fikra zako.
Dini ni mpango wa Mwanadamu kumtafuta Mungu ila Wokovu kupitia Yesu Kristo ni mpango wa Mungu kumtafuta/kumrudisha Mwanadamu.
Haswaa

Huyu Majini yanamwita
 
Back
Top Bottom