Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
- #81
Tafuta helaπππππ Punguza speed mtu asije lala na viatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta helaπππππ Punguza speed mtu asije lala na viatu
Tafuta helaWazee wa kufukua makaburi π€£π€£
bila kuwa specific kiwango cha pesa unachotaka watu wakitafute maelekezo yako ya " tafuta hela ni bure,hayana maana".Tafuta hela acha makasiriko
Ambazo hazihesabikibila kuwa specific kiwango cha pesa unachotaka watu wakitafute maelekezo yako ya " tafuta hela ni bure,hayana maana".
Natafuta sheikh! hamna mchongo wa kunyofoa meno na ulimi maana hivi hivi sitoboiTafuta hela
Tafuta helaWewe ni masikini ambaye hujijui
SawaNatafuta sheikh! hamna mchongo wa kunyofoa meno na ulimi maana hivi hivi sitoboi
Attention seeker...Huwa nashangaa mtu anaumri mkubwa halafu ni fukara wakati nipo Mimi mtoto mdogo tu miaka 28 ila pesa nyingi.
Hivi mnafikiri kuwa na umri mkubwa ni sifa wakati mfukoni hamna kitu tafuteni hela nyie wazee.
Huwa najiuliza hivi binadamu unakosaje kuwa na pesa yaani pesa nayo ni kitu Cha kukosa.
Nyie masikini tafuteni hela sio mnakaa humu mnanitukana wakati naweza kulisha ukoo wenu mpaka mnakufa.
Yaani jitu Zima linakosa pesa mpaka mwanamke analidharau tafuteni pesa nyie masikini au mnataka wake zenu niwatunzie mimi?
Mmeshaanza sasa!MUNGU ni mwema leejay
Waambie vijana haoMmeshaanza sasa!
Ebu tafuteni hela hukoπ‘
Unayafahamu maisha yangu?Tafuta hela
Sawa tajiri wa vimbaoTafuta hela mzee umeshazeeka Sasa
Ni kutafuta pesaLeo nyuzi za leo ni pesa pesa
Amna bhana,. Automatically tu mtu unajikuta unataka umfatilie tajiri walau ujue historia yake upate cha kujifunzaπππWazee wa kufukua makaburi π€£π€£
Maskini babaakoKuna kijana kaniambia humu Kuna masikini wengi sana inabidi niwaamshe watafute hela
Amna bhana nilitaka tu walau nimjue kidogo tajiri nijifunze mawili matatuπππππππ Punguza speed mtu asije lala na viatu