Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.

Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli
Mkuu kama we ni muislamu kweli nionyeshe hiyo sheria inao lazimishwa bint wa miaka 9 aolewe? Acheni Black mailing.
 
hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.

Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli
Kwa Nini hasa una mashaka?
Wape elimu waislamu wenzako juu ya mashaka yako.

Je, na watoto wa kiume nao wanaruhusiwa kuoa wakiwa katika umri huo huo wa miaka tisa?
 
hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.

Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli
Ukishakuwa na mashaka na Imani yako wewe usijihesabu kama ni Muislamu.. sheria ya dini inasema anapovunja Ungo anafaa kuolewa.. hatuaelekezwa Miaka..
 
Back
Top Bottom