Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Nchi zote za Kiislamu zimeruhusu vitoto vya miaka 9 kuolewa na vibabu vya miaka 60 kwenda juu.
Nchi ya Iraq imepitisha hiyo sheria juzi tu.
Kisa kufuata suna ya mtume wao.
Na tamaa kwa vitoto vichanga.

Sunan an-Nasa'i 3379
It was narrated that 'Aishah said:
"The Messenger of Allah married me when I was six, and consummated the marriage with me when I was nine."

Ruksa kuoa vitoto vichanga vya miaka 6 kama kuiga matendo ya Kioo chao cha Dini.
Kumwiga m'bora wa mitume wao.
Kama nchi za kikristo, zilivyoruhusu ushoga.
 
Nchi zote za Kiislamu zimeruhusu vitoto vya miaka 9 kuolewa na vibabu vya miaka 60 kwenda juu.
Nchi ya Iraq imepitisha hiyo sheria juzi tu.
Kisa kufuata suna ya mtume wao.
Na tamaa kwa vitoto vichanga.

Sunan an-Nasa'i 3379
It was narrated that 'Aishah said:
"The Messenger of Allah married me when I was six, and consummated the marriage with me when I was nine."

Ruksa kuoa vitoto vichanga vya miaka 6 kama kuiga matendo ya Kioo chao cha Dini.
Kumwiga m'bora wa mitume wao.
Haya ni maandishi ya mwenyezi Mungu au maandishi ya Muhammad?
 
Ni upumbavu tu hakuna hata haja ya kujadili hoja za kipumbavu! Kufikiri huo upumbavu tu inatosha kukuweka kundi lisilofaa binadamu wenye utimamu wa akili.

Mtoto wa miaka tisa unamfikiraje kama mke? Pathetic!
 
Yani wewe unashtuka leo? Kwani mtume Muddy si alioa mtoto wa miaka 9.!!
Dini za kiwaki zipo kukandamiza wanawake na kututisha kwingi, halafu wanaume wamejipakulia minyama..!!

Mwanaume anaruhusiwa kumiliki wanawake wanne..!
Mwanaume huyo huyo yeye anamiliki pepo ya kumpa mkewe pindi akimfanyia mema.!!

Mwanaume tena huyo huyo akifa anaenda kupewa mabikra 72 na mapipa ya pombe.!

Ila mwanamke yeye ili aipate pepo basi awe mtumwa kwa kumfurahisha mumewe..!! 😹😹
 
Sheria za Uislamu ni sheria zilizotoka kwa Allah subhaanah, hivyo kwa muumini jambo la kwanza kabisa linalompasa ni kujisalimisha na kunyenyekea kwa yale aliyoamrishwa, sawasawa yanaafikiana na upeo wake wa akili au laa.

Kwa sababu translation ya kuzipinga na kuzikosoa sheria za Allah ni kwamba wewe unaamini akili yako inaukamilifu kuliko hekma ya Allah

Tuje kwenye shaka uliyonayo
 
Back
Top Bottom