medisonmuta
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 2,400
- 1,424
Kama nchi za kikristo, zilivyoruhusu ushoga.Nchi zote za Kiislamu zimeruhusu vitoto vya miaka 9 kuolewa na vibabu vya miaka 60 kwenda juu.
Nchi ya Iraq imepitisha hiyo sheria juzi tu.
Kisa kufuata suna ya mtume wao.
Na tamaa kwa vitoto vichanga.
Sunan an-Nasa'i 3379
It was narrated that 'Aishah said:
"The Messenger of Allah married me when I was six, and consummated the marriage with me when I was nine."
Ruksa kuoa vitoto vichanga vya miaka 6 kama kuiga matendo ya Kioo chao cha Dini.
Kumwiga m'bora wa mitume wao.