Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Sasa hapo si uharibifu wa mtoto,Labda kwa wanaume wenye vibamia!hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.
Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli.
Pia soma
- Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili