Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mariamu alichumbiwa akiwa na miaka 9, akabeba mimba ya yesu akiwa na miaka 12

Potea na ulaaniwe shetani mkubwa uishiye kwenye nafsi ya huyu mtu anenaye uwongo.

Hakuna mtu yeyote mwenye uhakika wa 100%, Mama Bikira Maria aliolewa akiwa na umri wa miaka mingapi. Lakini kwa kumbukumbu na rejea mbalimbali na kwa kuzingatia tabia na desturi za nyakati hizo, Bikira Maria anakadiriwa kuwa na umri wa miaka 14 alipoposwa na Yosefu. Alipoposwa tu, wala haukupita muda, ndipo alipotokewa na Malaika na kisha kubeba mimba.

Ikumbukwe kuwa mfumo wa kuhesabu miaka kwa wakati huo haukuwa umekamilika kama ilivyo leo. Ndiyo maana japo leo hii tunasema kuwa ni mwaka 2025 Baada ya Kristo. Lakini kwa tafiti mbalimbali za kisayansi si sahihi kuwa leo hii ni miaka 2025 tangu Kristo Masiha azaliwe. Kiusahihi kwa vielelezo na kumbukumbu mbalimbali za Kisayansi, mwaka huu 2025, ni kati ya 2029 hadi 20231 tangu Kristo azaliwe.
 
Kuna vitu Huwa havicheleweshwi kwenye Uislamu na Waislamu:
1.Kuzikwa kwa haraka.
2.Kuolewa mtu anapofikia balehe.
3.kubadili dini(kusilimu) Ili awe muislamu.

Sasa miaka 9 na kashabalehe Kuna shida gani?

Halafu ni Sheria iliyopitishwa huko Iraq, sisi bongo inatuhusu nini?

Vibinti vyenyewe vinatolewa bikra na miaka 8 au 9, Sasa jamaa wanataka kuviepusha na Zambi zisizo na kichwa Wala miguu
Sasa unasema sheria imepitishwa Iraq na haituhusu, wewe upo sijui wapi na unasema kama amebalehe kuna shida gani, je wewe ni wa wapi? Shida ipo hapo kuona haina shida no matter where you are.
 
Hakuna mtu aliyewahi kuoa watoto na uislamu hauruhusu kuoa mtu ambaye hajabalehe, makafir wanahangaika sana kutunga tunga vistory vyao ili kupotosha tu ,lakini hawatafanikiwa maana ukiangalia hata hao walionzisha hizo story za kutunga wameishia kuwa waislamu from europe na america
acheni kujificha kwenye kivuli cha kuvunja ungo,maumbile ya binadamu yanatofautiana katoto ka miaka saba kanaweza kuvunja ungo huku bado hata chuchu hakina ,nyonga hazijakomaa,akili haijakuwa wala nguvu za kuhimili kuingiliwa na mtu mzima hana na shule ndio atakua darasa la kwanza ,unawezaje kuoa hako katoto kwa kuwa tu mtume wako alifanya hivyo.kufanya hivyo kunaweza kupelekea kumuharibu vibaya huyo mtoto via vyake vya uzazi ,nadhani hata huyo aisha ambaye ndio rolemodel wenu kwenye haya hajaweza kuzaaa katika maisha yake yote
 
Ni upumbavu tu hakuna hata haja ya kujadili hoja za kipumbavu! Kufikiri huo upumbavu tu inatosha kukuweka kundi lisilofaa binadamu wenye utimamu wa akili.

Mtoto wa miaka tisa unamfikiraje kama mke? Pathetic!
Anonymous mkuu zinawa danganya na bila aibu mtu anasema eti mtu akishabalehe, na hizi mambo hazishupaliwi na teenagers au watoto ni watu na ndevu zao za pua.
 
wazazi waliambiwa Allah kasema nao wakakubali dah
Hapana ile ilikuwa ndoa ya swahiba wa mtume nafikiri Abubakari, kwahiyo ilikuwa fahari kwa familia yake, amri haina maswali wewe si unaona watu wanavyo kufa Ukraine na Gaza
 
kwani Allah alikua anaandika kwa mkono au Muhamad ndio anawahadithia aliyoambiwa na Allah
Qur'an imeshushwa, imeandikwa na Allah, Muhammad kapewa ilishaandikwa. Sasa hicho kipengele cha kuoa vitoto miaka 9 kimeshushwa àu Muhammad kaongezea?
 
Suala la Mtume swalla llahu allaihi wa sallam- kumuoa bi Aisha katika umri ambao unaonekana mdogo, hutakiwi kulitazama na akili iliyokuwa programmed namna ya kufikiria.

Bali unatakiwa ufikirie kwa akili salama amabayo haijaathirika na fikra hasi.

Ukilitaza suala hili kana kwamba Mtume alimuoa bi Aisha kwa lengo la kukidhi matamanio yake ya kingono, basi lazima utaliona suala hili ni batili.

Bi Aliolewa kwa maslahi mapana, ndio maana baada ya kufa Mtume swalla llahu allaihi wa sallam- bi Aisha alimaliza umri wake katika kufundiaha watu sunnah za Mtume, na Bi Aisha ndiye mke wa Mtume ambaye amesimulia hadithi nyingi za Mtume kuliko mke yoyote wa Mtume.

Hilo suala halipo kama wengi wanavyolitazama.
 
Qur'an imeshushwa, imeandikwa na Allah, Muhammad kapewa ilishaandikwa. Sasa hicho kipengele cha kuoa vitoto miaka 9 kimeshushwa àu Muhammad kaongezea?
hakuna aliyemuona Allah akiandika sehemu wala hakuna aliyeona quran ikiwa inashushwa kutoka mawinguni .maneno yote yametamkwa na Muhamad kwenda kwa maswahaba zake ,kwahiyo kila alichokisema mohamd ni kwa ajii ya Allah
 
Una zungumzia vitu vya muda mrefu sana, Uislamu unasema alikuwa ka balehe alipofika hiyo miaka 9 na wazazi wake walikubaliana na jambo hilo hakuna alie bakwa
kwahiyo uislam unakataza kubaka watoto wa miaka 9, lile bunge la Iraq lina dini yao tofauti?
 
Huo ni ubakaji.

Changamoto kubwa inayoikabili dini ya kiislamu ni kwamba mtume alioa mtoto wa miaka 9.

Ukisema ukweli kuwa mtume alibaka wanaanza kukutafuta wakuue. Hicho ni kizingiti kikubwa kwenye imani yao, namna ya kurekebisha kosa hilo haijulikani.
Hujuwi unacho kiongea, mtoto anapata hedhi

Ila kuwazini mna wazini Haida shida.
 
Back
Top Bottom