- Thread starter
- #81
Sunna gani mkuu toa factHuna uislam wowote, Muislam wa kweli hawezi akapinga jambo halali na la Sunna kama hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sunna gani mkuu toa factHuna uislam wowote, Muislam wa kweli hawezi akapinga jambo halali na la Sunna kama hili.
Tabu tupu mkuu.Watu wanafira wanaume wenzao na kujitangaza , na maandamano juu , binadamu ameshindikana
Wanataka kuwaingilia wawape fistula halafu waoe wengine. Uharibifu tu.Katoto kamiaka 9 kakaingiliwe wakati hata matiti bado hii haikubaliki
Mariamu alichumbiwa akiwa na miaka 9, akabeba mimba ya yesu akiwa na miaka 12
Sasa unasema sheria imepitishwa Iraq na haituhusu, wewe upo sijui wapi na unasema kama amebalehe kuna shida gani, je wewe ni wa wapi? Shida ipo hapo kuona haina shida no matter where you are.Kuna vitu Huwa havicheleweshwi kwenye Uislamu na Waislamu:
1.Kuzikwa kwa haraka.
2.Kuolewa mtu anapofikia balehe.
3.kubadili dini(kusilimu) Ili awe muislamu.
Sasa miaka 9 na kashabalehe Kuna shida gani?
Halafu ni Sheria iliyopitishwa huko Iraq, sisi bongo inatuhusu nini?
Vibinti vyenyewe vinatolewa bikra na miaka 8 au 9, Sasa jamaa wanataka kuviepusha na Zambi zisizo na kichwa Wala miguu
Watu wanadanganyika usimuamini mtu , ishi vizuri, usimfanyie mtu kitu ambacho hutaki kufanyiwa, Mungu atafanya kazi yake, hakuna anae jua usahihi wa mambo hapa duniani, tuna changamshana tuTabu tupu mkuu.
acheni kujificha kwenye kivuli cha kuvunja ungo,maumbile ya binadamu yanatofautiana katoto ka miaka saba kanaweza kuvunja ungo huku bado hata chuchu hakina ,nyonga hazijakomaa,akili haijakuwa wala nguvu za kuhimili kuingiliwa na mtu mzima hana na shule ndio atakua darasa la kwanza ,unawezaje kuoa hako katoto kwa kuwa tu mtume wako alifanya hivyo.kufanya hivyo kunaweza kupelekea kumuharibu vibaya huyo mtoto via vyake vya uzazi ,nadhani hata huyo aisha ambaye ndio rolemodel wenu kwenye haya hajaweza kuzaaa katika maisha yake yoteHakuna mtu aliyewahi kuoa watoto na uislamu hauruhusu kuoa mtu ambaye hajabalehe, makafir wanahangaika sana kutunga tunga vistory vyao ili kupotosha tu ,lakini hawatafanikiwa maana ukiangalia hata hao walionzisha hizo story za kutunga wameishia kuwa waislamu from europe na america
Una zungumzia vitu vya muda mrefu sana, Uislamu unasema alikuwa ka balehe alipofika hiyo miaka 9 na wazazi wake walikubaliana na jambo hilo hakuna alie bakwa
Anonymous mkuu zinawa danganya na bila aibu mtu anasema eti mtu akishabalehe, na hizi mambo hazishupaliwi na teenagers au watoto ni watu na ndevu zao za pua.Ni upumbavu tu hakuna hata haja ya kujadili hoja za kipumbavu! Kufikiri huo upumbavu tu inatosha kukuweka kundi lisilofaa binadamu wenye utimamu wa akili.
Mtoto wa miaka tisa unamfikiraje kama mke? Pathetic!
Hapana ile ilikuwa ndoa ya swahiba wa mtume nafikiri Abubakari, kwahiyo ilikuwa fahari kwa familia yake, amri haina maswali wewe si unaona watu wanavyo kufa Ukraine na Gazawazazi waliambiwa Allah kasema nao wakakubali dah
Sawa, wewe katombb hako katoto ka miaka 9 halafu useme hujabaka kisa Muhammad alilala na katoto ka miaka 9.Nioneshe reference ya kubakwa au unaropoka kama umekunywa damu za makanisani?
We jamaa mbona muongo hiviMariamu alichumbiwa akiwa na miaka 9, akabeba mimba ya yesu akiwa na miaka 12
Qur'an imeshushwa, imeandikwa na Allah, Muhammad kapewa ilishaandikwa. Sasa hicho kipengele cha kuoa vitoto miaka 9 kimeshushwa àu Muhammad kaongezea?kwani Allah alikua anaandika kwa mkono au Muhamad ndio anawahadithia aliyoambiwa na Allah
👏🏽👏🏽👏🏽In short ni ubakaji na si vema kulihusisha hili na dini
hakuna aliyemuona Allah akiandika sehemu wala hakuna aliyeona quran ikiwa inashushwa kutoka mawinguni .maneno yote yametamkwa na Muhamad kwenda kwa maswahaba zake ,kwahiyo kila alichokisema mohamd ni kwa ajii ya AllahQur'an imeshushwa, imeandikwa na Allah, Muhammad kapewa ilishaandikwa. Sasa hicho kipengele cha kuoa vitoto miaka 9 kimeshushwa àu Muhammad kaongezea?
kwahiyo uislam unakataza kubaka watoto wa miaka 9, lile bunge la Iraq lina dini yao tofauti?Una zungumzia vitu vya muda mrefu sana, Uislamu unasema alikuwa ka balehe alipofika hiyo miaka 9 na wazazi wake walikubaliana na jambo hilo hakuna alie bakwa
Hujuwi unacho kiongea, mtoto anapata hedhiHuo ni ubakaji.
Changamoto kubwa inayoikabili dini ya kiislamu ni kwamba mtume alioa mtoto wa miaka 9.
Ukisema ukweli kuwa mtume alibaka wanaanza kukutafuta wakuue. Hicho ni kizingiti kikubwa kwenye imani yao, namna ya kurekebisha kosa hilo haijulikani.