Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Usinifundishe jinsi ya kuita wewe kafiri. Vatican papa anajilia kimya kimya kesi kibao huko bila ridhaa zao.
Mimi hata ukiniita 'Kafuru' sawa tu, maana ndiyo majina ya kuudhi mnayofundishwa huko, ili kuleta utengano na chuki, dhidi ya binadamu.

Nataka niulize swali, kwa hiyo papa akijilia huko kimya kimya kesi kibao na nyie ndio mnafanya ubakaji wa watoto kuiga maovu ya papa?

Hivi huoni aibu mtoto wa miaka 6 hadi 9 kumuita binti kweli? Mtoto wa darasa la tatu?

Hivi huyo anakuwa mtamu zaidi kushinda wa miaka 18?

Kwa nini msioe tu wa miaka 18?
 
Suala la Mtume swalla llahu allaihi wa sallam- kumuoa bi Aisha katika umri ambao unaonekana mdogo, hutakiwi kulitazama na akili iliyokuwa programmed namna ya kufikiria.

Bali unatakiwa ufikirie kwa akili salama amabayo haijaathirika na fikra hasi.

Ukilitaza suala hili kana kwamba Mtume alimuoa bi Aisha kwa lengo la kukidhi matamanio yake ya kingono, basi lazima utaliona suala hili ni batili.

Bi Aliolewa kwa maslahi mapana, ndio maana baada ya kufa Mtume swalla llahu allaihi wa sallam- bi Aisha alimaliza umri wake katika kufundiaha watu sunnah za Mtume, na Bi Aisha ndiye mke wa Mtume ambaye amesimulia hadithi nyingi za Mtume kuliko mke yoyote wa Mtume.

Hilo suala halipo kama wengi wanavyolitazama.
Acha kuleta ufafanuzi uchwara hapa.

Eti Bi Aisha aliolewa kwa maslahi mapana!!

Nonsense kabisa.

Mtume Muhammad ni KIBAKA MBAKAJI wa Watoto.
 
Achaneni na mambo ya kale, sijui mudi alloa mtoto wa miaka 9 au Mariam alizaa akiwa na miaka 12 bila kujua context za mazingira ya kipindi hicho. Mfani Zamani utoaji wa kafara ya binadamu ulikuwa ni muhimu kijamii, watu walikua wanavaa majani, ni mjinga pekee atayewalaumu na kuwacheka watu wazamani walikua wanavaa majani. Kwa ustaarabu wa zamani hilo jambo lilikuwa la kawaida lakini kwa ustaarabu wa sasa hapana ni jambo la kikatili.
 
acheni kujificha kwenye kivuli cha kuvunja ungo,maumbile ya binadamu yanatofautiana katoto ka miaka saba kanaweza kuvunja ungo huku bado hata chuchu hakina ,nyonga hazijakomaa,akili haijakuwa wala nguvu za kuhimili kuingiliwa na mtu mzima hana na shule ndio atakua darasa la kwanza ,unawezaje kuoa hako katoto kwa kuwa tu mtume wako alifanya hivyo.kufanya hivyo kunaweza kupelekea kumuharibu vibaya huyo mtoto via vyake vya uzazi ,nadhani hata huyo aisha ambaye ndio rolemodel wenu kwenye haya hajaweza kuzaaa katika maisha yake yote
Hakuna cha kujificha wala nini kuna test nyingi zilizowekwa kwenye quran kuhusu nsoa na nani anafaa kuolewa ,ndio maana hukuti nchi za kiislamamu kama saudi arabia au qatar kuna mambo hayo unayosema soma dini imeelezea kila kitu bila ya shaka yoyote
 
I
Hakuna cha kujificha wala nini kuna test nyingi zilizowekwa kwenye quran kuhusu nsoa na nani anafaa kuolewa ,ndio maana hukuti nchi za kiislamamu kama saudi arabia au qatar kuna mambo hayo unayosema soma dini imeelezea kila kitu bila ya shaka yoyote
Mbona Iraq walikubali watoto wa miaka 9 aolewe? Au Iraq siyo nchi ya kiislamu?
 
Kama kioo chao cha Dini Mtume wa Allah alioa katoto ka miaka Sita na kukaingilia kimwili kakiwa na miaka 9.

Yeye akiwa ma miaka 54,
Basi ni ruhusa kwa kila mwislamu kuiga matendo ya mtume wao.
Waislamu wanao kataa huu utaratibu sio Waislamu kamili.

Muhammadi ndio kiongozi wao wa kuigwa kwa kila alicho kifanya.
 
Kama kioo chao dini Mtume wa Allah alioa katoto ka miaka Sita na kukaingilia kimwili kakiwa na miaka 9.
Basi ni ruhusa kwa kila mwislamu kuiga matendo ya mtume wao.
Waislamu wanao kataa huu utaratibu sio Waislamu kamili.

Muhammadi ndio kiongozi wao wa kuigwa kwa kila alicho kifanya.
Mkuu mimi naiheshimu dini yenu ila kwenye hili swala naona kama mwanamke anachukuliwa kama sex toy na asiyekuwa na maamuzi kuhusu mwili wake. Mtoto wa miaka tisa hata bado hajabalehe na kupevuka kiakili halafu aingie kwenye ndoa hii sio haki.
 
Mtoto wa miaka 9 anapata hedhi?

Na kwani mtoto akipata hedhi tayari anakuwa mtu mzima?

Labda tuongee taratibu, kuna faida gani kuozesha mtoto mdogo?
Wako baadhi wanapata hedhi miaka 9 na kuendelea.

Kwasababu anauwezo wa kubeba mimba na kuzaa.

Kuepuka na zinaa na mimba za njee ya ndoa.
 
Sasa kama watu watanogewa tu kuoa wa miaka 9 watabaki kusoma wangapi?

Huoni kuwa ni vyema zaidi mtoto akiachwa asome kwanza?
Hiyo sheria haipo Tanzania na huku wanapo tumia hiyo sheria na mifumo yao ya elimu tofauti na sisi.
 
I
Mbona Iraq walikubali watoto wa miaka 9 aolewe? Au Iraq siyo nchi ya kiislamu?
Tusipende kukurupuka unaposikia jambo lifanyie uchunguzi kwanza ujue aliyepitisha ni nani na kwa sababu zipi , halafu siyo kila muarabu ni muislamu ndio maana unaona leo syria wameweka christmas kama public holiday na. Lebanon miaka yote raisi lazima awe mkristo
 
Hiyo sheria haipo Tanzania na huku wanapo tumia hiyo sheria na mifumo yao ya elimu tofauti na sisi.
Ndio tunauzungumzia huo utofauti wa mifumo yao.

Tunaona kwamba, mifumo yao inahalalisha ubakaji, na pia inanyima fursa ya elimu kwa mtoto wa kike.

Hakuna utetezi wa aina yeyote hapo, mtoto wa miaka 9 akiolewa anakuwa amenyima fursa ya kusoma shule, na wewe unaunga mkono hilo? How?

Mbona wewe ni kama mtu unaejitambua!
 
Ndio tunauzungumzia huo utofauti wa mifumo yao.

Tunaona kwamba, mifumo yao inahalalisha ubakaji, na pia inanyima fursa ya elimu kwa mtoto wa kike.

Hakuna utetezi wa aina yeyote hapo, mtoto wa miaka 9 akiolewa anakuwa amenyima fursa ya kusoma shule, na wewe unaunga mkono hilo? How?

Mbona wewe ni kama mtu unaejitambua!
Sijitambui wewe ndie unajitambua kukubali waziniwe ila wasiolewe
 
Back
Top Bottom