Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

kwamba hutakiwi kutumia akili,duh!
Suala la Mtume swalla llahu allaihi wa sallam- kumuoa bi Aisha katika umri ambao unaonekana mdogo, hutakiwi kulitazama na akili iliyokuwa programmed namna ya kufikiria.

Bali unatakiwa ufikirie kwa akili salama amabayo haijaathirika na fikra hasi.

Ukilitaza suala hili kana kwamba Mtume alimuoa bi Aisha kwa lengo la kukidhi matamanio yake ya kingono, basi lazima utaliona suala hili ni batili.

Bi Aliolewa kwa maslahi mapana, ndio maana baada ya kufa Mtume swalla llahu allaihi wa sallam- bi Aisha alimaliza umri wake katika kufundiaha watu sunnah za Mtume, na Bi Aisha ndiye mke wa Mtume ambaye amesimulia hadithi nyingi za Mtume kuliko mke yoyote wa Mtume.

Hilo suala halipo kama wengi wanavyolitazama.
 
Asante kwa kukubali kuwa shoga mnaweza kuamua kwenye dini yenu.
Alikuwa binti yako ameingiliwa hadi unalalamika?
Yeye alilalamika kwamba hakutaka?
Una ushahidi umri uliotajwa kama sahihi wakati kipindi hicho hamna calendar rasmi?
Mtoto mdogo inapenya vipi au ulishawahi kutest mtoto mdogo?
Umeandika mambo mchanganyo kama mtu asiye na akili timamu. Na sishangai, kuamini kwenye hizo dini zenu inakubidi usiwe na akili sawasawa.

Mimi sina dini.

Uislamu na Ukristo kwangu ni upuuzi tu.
 
swahiba aliambiwa Allah kasema nikaoe katoto kako ka miaka 9 na amri ya Allah haipingwi
Hapana ile ilikuwa ndoa ya swahiba wa mtume nafikiri Abubakari, kwahiyo ilikuwa fahari kwa familia yake, amri haina maswali wewe si unaona watu wanavyo kufa Ukraine na Gaza
 
Umeandika mambo mchanganyo kama mtu asiye na akili timamu. Na sishangai, kuamini kwenye hizo dini zenu inakubidi usiwe na akili sawasawa.

Mimi sina dini.

Uislamu na Ukristo kwangu ni upuuzi tu.
Hauna dini inakuhusu nini mambo ya miaka 1400 iliyopita? Unakuwa kama tahira.
 
Sawa, wewe katombb hako katoto ka miaka 9 halafu useme hujabaka kisa Muhammad alilala na katoto ka miaka 9.
Ndiyo utapata hiyo reference mahakamani.
Unadhani kama mnavyotombana ovyo huko kwenye ukafiri. Binti huku huwa anachukuliwa sharti za wazazi wake na yeye akikubali.
Wenzetu itakuwa mnafanya mapenzi kwa kubakana kumbe.
 
Kutokuwa kwangu na dini, haimaanishi niwaache tu wenye dini mfanye ubakaji.

Mambo ya miaka 1400 iliyopita inanihusu kwa sababu ndio inafanya leo mhalalishe ubakaji.
Ndugu yako gani kabakwa? Nenda kabake mtu unayemuona mtu mzima kwako uone utakavyofanywa.
 
acheni kujificha kwenye kivuli cha kuvunja ungo,maumbile ya binadamu yanatofautiana katoto ka miaka saba kanaweza kuvunja ungo huku bado hata chuchu hakina ,nyonga hazijakomaa,akili haijakuwa wala nguvu za kuhimili kuingiliwa na mtu mzima hana na shule ndio atakua darasa la kwanza ,unawezaje kuoa hako katoto kwa kuwa tu mtume wako alifanya hivyo.kufanya hivyo kunaweza kupelekea kumuharibu vibaya huyo mtoto via vyake vya uzazi ,nadhani hata huyo aisha ambaye ndio rolemodel wenu kwenye haya hajaweza kuzaaa katika maisha yake yote
Elimu kwako ni tatizo ficha ujinga wako
 
Ndugu yako gani kabakwa? Nenda kabake mtu unayemuona mtu mzima kwako uone utakavyofanywa.
Kuoa au kufanya mapenzi na mtoto chini ya miaka 18 umebaka, maana yeye bado ana akili za kitoto, unakuwa umemrubuni kufanya kitu asichokijua.

Hivi mtoto wa miaka 9 anapoolewa, shule anakuwa amesoma saa ngapi, au kwenye uislamu mtoto wa kike hatakiwi kusoma?
 
Kila nikiwaza namna Muhammad alikuwa anagegeda katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka tisa napatwa na kichefuchefu natamani hata kutapika, hiyo dini yenu ni tafrani.
 
Back
Top Bottom