.
hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.
Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli.
Pia soma
-
Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili
Nani ni mtunzi wa sheria ninini.
Ktk tawala za kidemokrasia wengi hutunga sheria.
Utamaduni wa kuoa, lila jamii ina umri wake. Huwezi mlazimisha jamii nyingine kufata utamaduni wako.
Sheria kama ya yesu kufa msalabani dhambi unaofanya wewe ni rediculas. Yaani ushenzi unafanya wewe na gigi halafu yesu ateseke kwa dhambi zako. Kwa utamaduni wa wengine hilo jambo ni mzaha. Lkn kwa wengine ni sheria na tanaduni.
Wale waathiriwa wa utamaduni wa paulo kwa kiasi kikubwa mnaona ni jambo la kawaida kwa mwanamme kumuoa mwanamme. Lkn ni kosa kwa mwanamme kumuona mwanamke anaeweza kupata mimba.
Kama kitendo hichi si cha kibinadamu, kwann mbuzi hapendi mbuzi ila kwanza kuvunja ungo.
Nchi zenye kuathiriwa na mafunzo Prof Paule watakubaliana nami kuona ni jambai la kawaida.
Lkn nchi za kiislam zina sheria hizi