Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Yaani mtoto wa miaka 9..!!! Hatari.Kila la kheri ili letu kafanya binadamu mbona linavumilika, kitendo cha Mungu kupigwa na wahuni hakivumiliki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mtoto wa miaka 9..!!! Hatari.Kila la kheri ili letu kafanya binadamu mbona linavumilika, kitendo cha Mungu kupigwa na wahuni hakivumiliki
Huyu dos.2020 inaonekana anaweza kabisaa..!!Tuseme Yes yeye siyo Muslim,vp wewe unaweza kumuozesha binti yako wa miaka tisa?
Vitatumika vyake ila wazazi wake ndio wamemleta hapa duniani ndio maana wamepewa mamlaka, na sio watu wa mitaaniViungo vya uzazi (uxhi) utatumika wake ama wa wazazi wake?
Imani zakuletewa zinaitesa sana Africa na watu wakeHuyu dos.2020 inaonekana anaweza kabisaa..!!
Naam mtume alioa mpaka Khadija ambaye alimpita miaka zaidi ya 15 , wewe uamuzi ni wako tu , hata wakubwa ruksa kuoa, huwezi kufananisha maisha ya enzi za mtume na sasa , zamani wanawake walikuwa hata kwenye ukoo hawapo, sasa ulifikiri wanasubiri nini kama sio kuvunja ungo na kuolewa? huu ndio uhalisiaYaani mtoto wa miaka 9..!!! Hatari.
Lakini akiwa na Bwana .. ambaye anamuita BOI FREND huna shida ... Kemea zinaa weweeKuna watu mnautetea huu ujinga kisa tu huyo mwenye miaka 9 anayeozeshwa si mtoto wako wallah..!!
Hakuna Mwislam Mwenye Mindset Kama Yako Otherwise Wewe Sio Mwislam Au Ni Kafiri Mwenye Jina La Kiislamu.hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.
Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli.
Pia soma
- Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili
Huna Akili Hujui Hata Maana Ya Bint,Hata Mama Yako Ni Bint Fulani.Siyo binti, ni mtoto.
Miaka 9 hajawa binti.
Kwani Hata Mkeo Ukimfanya Bila Ruhusa Yake Si Ubakaji? Sasa Je Nini Maana Ya Ubakaji?In short ni ubakaji na si vema kulihusisha hili na dini
Tunakusubiri wewe uozeshe bintiyo mwenye miaka 9 badala ya kumpeleka Shule.Jibu swali kwanini kwenye koo za kiyahudi wanawake walikuwa hawatajwi kama wanawajali? shida ni kupingana na ukweli usifananisha maisha ya sasa na ya kale, yule Yakobo alikwenda kuoa mtu na dada yake wa tumbo moja, kwa jamii ya sasa ni mzazi yupi anaweza kufanya hivyo ? shida unaangaika kutetea jambo ambalo ni halisi utapata tabu sana, Mfalme Sauli wa Israel alimuozesha mwanae kwasababu za kitawala tu na kumuogopa Daudi ambaye alikuwa masikini, acha kulazimisha zama zifanane
Ubakaji Kwa Mujibu Wa Nani Anza Kwanza Kutufafanulia.Huo ni ubakaji.
Changamoto kubwa inayoikabili dini ya kiislamu ni kwamba mtume alioa mtoto wa miaka 9.
Ukisema ukweli kuwa mtume alibaka wanaanza kukutafuta wakuue. Hicho ni kizingiti kikubwa kwenye imani yao, namna ya kurekebisha kosa hilo haijulikani.
Akiwa Barekhe.AISEEE..!! DEFINITION YAKO YA UKUBWA NI MBAYA SANA.!! Hivi, mtoto wako wa kiume ataowa akiwa na umri gani?
Umeongea Pumba.Nchi zote za Kiislamu zimeruhusu vitoto vya miaka 9 kuolewa na vibabu vya miaka 60 kwenda juu.
Nchi ya Iraq imepitisha hiyo sheria juzi tu.
Kisa kufuata suna ya mtume wao.
Na tamaa kwa vitoto vichanga.
Sunan an-Nasa'i 3379
It was narrated that 'Aishah said:
"The Messenger of Allah married me when I was six, and consummated the marriage with me when I was nine."
Ruksa kuoa vitoto vichanga vya miaka 6 kama kuiga matendo ya Kioo chao cha Dini.
Kumwiga m'bora wa mitume wao.
Wewe Ni Kafiri Ya Waislamu Yanakuhusu Nini?Wewe ni muislam mkuu, hivyo unakubaliana na maamuzi ya Muhammad kuoa binti wa miaka 9?
Qur'an imeandikwa na mwenyezi Mungu na hakuna àya inaruhusu kuoa katoto hayo ni maamuzi ya muddy na wewe muislam.
Wewe na Mtume nani mwenye maadili bora?Umeongea Pumba.
Ujinga mtupu 😹😹Hapo hapo Bado wanawake wa kiislamu wanadai uislamu unawaoa nguvu sana.
Niliona sheikh mmoja aliulizwa wanawake watapewa nini huko mbinguni? Akadai eti watapata vitu vizuri mno ambavyo hata havijatajwa popote..
Mambo ya kijinga sana.
Ngoja niwatag wafuasi wa "moo"Mtume wa mchongo alibaka sasa katika kujitetea akasema alishukiwa na wahai (roho) na kumpa maelezo kuwa amwoe huyo mtoto.
Aiseee ni kichaa pekee ataweza kuwa mfuasi wa yule mtume
Si unajua tena Mtume alikuwa anachukua wahayi kotekote, huku na huku.Mtume wa mchongo alibaka sasa katika kujitetea akasema alishukiwa na wahai (roho) na kumpa maelezo kuwa amwoe huyo mtoto.
Aiseee ni kichaa pekee ataweza kuwa mfuasi wa yule mtume