Ungea kwa ushahidi wa Kimaandiko.
La utakuwa unaongea pumba tu.
Lete Ushahidi kwa unacho kiongea kama ni mkweli
Huwa mnaongopa sana
Sunan an-Nasa'i 3379
It was narrated that
'Aishah said:
"The Messenger of Allah married me when I was six, and consummated the marriage with me when I was nine."
Bila kuleta andiko unaonekana kama ni mlopokaji tu.
Mtume wa Allah anakatamani katoto ka miaka 6 na kukaingilia kakiwa na miaka 9 huku mwenyewe Kikongwe wa miaka 54.
Is pure from other side
ANDIKO liko vyema kabisaa halina shida yeyote , alipofika 9 akawa tayari kavunja ungo mambo yakaendelea kwa nyakati hizo tena umeandika hapa ALIOA , akasubiri miaka 3
MIMI SIBAHATISHA NYAKATI ZIKO TOFAUTI SANA
Kwamba unataka ushahidi mbona hapa ndio mahali pake, wanawake walikuwa hawana nafasi zikitajwa KOO toka zamani kwasababu ni watu wakuolewa tu
REJEA UKOO WA YESU
Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.
Matayo 1:1
Ibrahimu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;
Matayo 1:2
Mpaka unafika Mathayo 1:1-18 ni madume matupu tu kama wajenzi wa ukoo, sasa unachotaka kulazimisha usawa unachekesha sana
KUHUSU NDOA hapo zamani mwanamke alikuwa anachaguliwa tu mume na baba yake hakuna maswali, Yakobo alipokwenda kwa wana wa mashariki ambao ni ndugu zake , alioa mtu na dada yake watoto wa baba mmoja na mama mmoja, wazazi ndio waliamua mtoto aolewe na nani sio mtoto, YAKOBO alidanganywa akaoa mdogo, kisha akaja kuoa mkubwa
LEAH HUYU mdogo
Ikawa wakati wa jioni akamtwaa Lea, binti yake, akamletea Yakobo, naye akaingia kwake.
Mwanzo 29:23
RAHELI mkubwa
Yakobo akafanya hivi, akatimiza siku zake saba. Naye akampa Raheli binti yake kuwa mkewe.
Mwanzo 29:28
Sasa kwa jamii ya sasa kuoa mtu na ndugu yake watu wote watakuona umechanganyikiwa, lakini huyu Yakobo ambaye ndio Israel alipiga wote mtu na dada yake akaona haitoshi akapiga na vijakazi vyao na bado Mungu kwa wakati huo hakushangaa na wale watoto wao ndio mnatoka povu kuwatetea kuwa ni wateule, mimi sibahatishi acha kufananisha zama zile na hizi , mambo ya nyakati zile ni kwa nyakati zile