Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Tunakusubiri wewe uozeshe bintiyo mwenye miaka 9 badala ya kumpeleka Shule.
Na uishie kulalamika kuwa fulsa za uchumi zinawabagua hao watoto.
Badala ya kuwasomesha watoto mna fikiria kuwaozesha.
Sijui mnatengeneza taifa la namna gani.
Hizo ni fikra za Ki-Ujima.

Wayahudi waliambiwa hivi na Manabii wao.

Mithali (Pro) 4:13 Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.

Hawajawahi kuozesha vitoto vichanga na haipo kwenye Katiba yao.
Kila la Heri.
Mimi nimekupa uhalisia wanawake walikuwa wanachukuliwaje hapo kale , mambo yangu sio muhimu sana, ukiangalia hata kwenye UKOO walikuwa hawapo kabisa ukitajwa hata ukiangalia ukoo wa YESU utakuta madume watupu hakuna mwanamke maana yake wanawake walikuwa daraja la chini uko wanasubiri wavunje ungo waolewe, ndio maana Yakobo alioa wawili mtu na dada yake ambapo kwa zama hizi ukifanya hivyo jamii inakuona umechanganyikiwa, kwahiyo maisha yamebadilika sasa hivi watoto wanakwenda shule kuna haki za wanawake na haki za mashoga duniani, kwahiyo kwenye mabadiliko unachukua linalo kufaa tu, na haya mabadiliko sio ya Imani ya kidini ni ya KIJAMII , ndio maana mashoga ruksa , kuoana wanaume ruksa, kuoana wanawake ruksa, kuoa mtoto chini ya miaka 18 haifai, kwahiyo chukua unalopenda ishi nalo tusilazimishane
 
Ujinga mtupu 😹😹
Kuna vitu ukitumia akili hata ya kuvukia barabara unaona kabisa upumbavu..!!
Ni kweli kabisaa kama kudai kuwa Mungu Yesu ,alikuja duniani kupigwa na kutundikwa msalabani na watu alio waumba mwenyewe ili awakomboe watu hao hao , ni uchizi wa kiwango kikubwa sana, lakini binadamu wameamua kuamini
 
Wewe Ni Kafiri Ya Waislamu Yanakuhusu Nini?
Hapa mada ni kubaka katoto miaka 9, siyo suala la ukafiri wala uislam. Kama kubaka kunahusu wewe muislam na hakumhusu kafiri bora kuwa kafiri kuliko kufuata ubakaji.
 
Mimi nimekupa uhalisia wanawake walikuwa wanachukuliwaje hapo kale , mambo yangu sio muhimu sana, ukiangalia hata kwenye UKOO walikuwa hawapo kabisa ukitajwa hata ukiangalia ukoo wa YESU utakuta madume watupu hakuna mwanamke maana yake wanawake walikuwa daraja la chini uko wanasubiri wavunje ungo waolewe, ndio maana Yakobo alioa wawili mtu na dada yake ambapo kwa zama hizi ukifanya hivyo jamii inakuona umechanganyikiwa, kwahiyo maisha yamebadilika sasa hivi watoto wanakwenda shule kuna haki za wanawake na haki za mashoga duniani, kwahiyo kwenye mabadiliko unachukua linalo kufaa tu, na haya mabadiliko sio ya Imani ya kidini ni ya KIJAMII , ndio maana mashoga ruksa , kuoana wanaume ruksa, kuoana wanawake ruksa, kuoa mtoto chini ya miaka 18 haifai, kwahiyo chukua unalopenda ishi nalo tusilazimishane

Ungea kwa ushahidi wa Kimaandiko.
La utakuwa unaongea pumba tu.
Lete Ushahidi kwa unacho kiongea kama ni mkweli
Huwa mnaongopa sana

Sunan an-Nasa'i 3379
It was narrated that

'Aishah said:
"The Messenger of Allah married me when I was six, and consummated the marriage with me when I was nine."

Bila kuleta andiko unaonekana kama ni mlopokaji tu.
Mtume wa Allah anakatamani katoto ka miaka 6 na kukaingilia kakiwa na miaka 9 huku mwenyewe Kikongwe wa miaka 54.
Is pure from other side
 
Ungea kwa ushahidi wa Kimaandiko.
La utakuwa unaongea pumba tu.
Lete Ushahidi kwa unacho kiongea kama ni mkweli
Huwa mnaongopa sana

Sunan an-Nasa'i 3379
It was narrated that

'Aishah said:
"The Messenger of Allah married me when I was six, and consummated the marriage with me when I was nine."

Bila kuleta andiko unaonekana kama ni mlopokaji tu.
Mtume wa Allah anakatamani katoto ka miaka 6 na kukaingilia kakiwa na miaka 9 huku mwenyewe ana miaka 54.
Is pure from other side
Na biblia imeeleza ni wakati gani binti anafaa kuolewa?
 
Ni kweli kabisaa kama kudai kuwa Mungu Yesu ,alikuja duniani kupigwa na kutundikwa msalabani na watu alio waumba mwenyewe ili awakomboe watu hao hao , ni uchizi wa kiwango kikubwa sana, lakini binadamu wameamua kuamini
Kabisa mkuu, haikuwa na haja ya hayo yote asingewaumba km alijua watafanya uasi..!!
Na cha kushangaza zaidi amekufa msalabani kwa dhambi za watu na bado hao watu wanaendelea kutenda dhambi zile zile.!!

Dini ni utapeli huko kwingine ndo balaa watu wakijitoa muhanga kwa kujilipua eti wanafika peponi moja kwa moja wanatete dini ya Allah 😹
 
Ongea kwa maandiko
La utakuwa huna sifa za kujadiri hoja.
Hilo ni swali nimeuliza je biblia imeeleza wakati gani binti hufaa kuolewa au biblia haijaeleza hilo suala? Na kama biblia haijaeleza hilo suala je kwa tamaduni za wakati huo ni umri gani ulikuwa sahihi binti kuolewa?
 
Ungea kwa ushahidi wa Kimaandiko.
La utakuwa unaongea pumba tu.
Lete Ushahidi kwa unacho kiongea kama ni mkweli
Huwa mnaongopa sana

Sunan an-Nasa'i 3379
It was narrated that

'Aishah said:
"The Messenger of Allah married me when I was six, and consummated the marriage with me when I was nine."

Bila kuleta andiko unaonekana kama ni mlopokaji tu.
Mtume wa Allah anakatamani katoto ka miaka 6 na kukaingilia kakiwa na miaka 9 huku mwenyewe Kikongwe wa miaka 54.
Is pure from other side
ANDIKO liko vyema kabisaa halina shida yeyote , alipofika 9 akawa tayari kavunja ungo mambo yakaendelea kwa nyakati hizo tena umeandika hapa ALIOA , akasubiri miaka 3
MIMI SIBAHATISHA NYAKATI ZIKO TOFAUTI SANA
Kwamba unataka ushahidi mbona hapa ndio mahali pake, wanawake walikuwa hawana nafasi zikitajwa KOO toka zamani kwasababu ni watu wakuolewa tu
REJEA UKOO WA YESU

Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.

Matayo 1:1

Ibrahimu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;

Matayo 1:2

Mpaka unafika Mathayo 1:1-18 ni madume matupu tu kama wajenzi wa ukoo, sasa unachotaka kulazimisha usawa unachekesha sana

KUHUSU NDOA hapo zamani mwanamke alikuwa anachaguliwa tu mume na baba yake hakuna maswali, Yakobo alipokwenda kwa wana wa mashariki ambao ni ndugu zake , alioa mtu na dada yake watoto wa baba mmoja na mama mmoja, wazazi ndio waliamua mtoto aolewe na nani sio mtoto, YAKOBO alidanganywa akaoa mdogo, kisha akaja kuoa mkubwa

LEAH HUYU mdogo
Ikawa wakati wa jioni akamtwaa Lea, binti yake, akamletea Yakobo, naye akaingia kwake.

Mwanzo 29:23

RAHELI mkubwa
Yakobo akafanya hivi, akatimiza siku zake saba. Naye akampa Raheli binti yake kuwa mkewe.

Mwanzo 29:28

Sasa kwa jamii ya sasa kuoa mtu na ndugu yake watu wote watakuona umechanganyikiwa, lakini huyu Yakobo ambaye ndio Israel alipiga wote mtu na dada yake akaona haitoshi akapiga na vijakazi vyao na bado Mungu kwa wakati huo hakushangaa na wale watoto wao ndio mnatoka povu kuwatetea kuwa ni wateule, mimi sibahatishi acha kufananisha zama zile na hizi , mambo ya nyakati zile ni kwa nyakati zile
 
Wamasai wana Mila ya kuchumbia mimba kama lakini haimaanishi kama akizaliwa tu anaolewa bali huwa anasubiriwa afikishe umri sahihi ndipo aolewe... Watu wengi wanakurupuka katika kuelewa vitabu vya dini vinavoelekeza, kwa kuelewa wangu na jinsi nilivyofanyia utafiti maandiko hayo ni kwamba unaruhusu wa kuposa binti wa miaka 9 na uka endelea kumsubiri mpaka afikishe umri sahihi ndio umuwowe
 
Zinaa haikemewi hivyo..!! Haya, kuna watu wanavuta bangi, kwa vile wapo, basi tuiruhusu?
Bangi watu wanaruhusiwa US baadhi ya majimbo , ww kama hutaki shauri yako, yaani watu waruhusu ufiraji halafu bangi iwe tatizo
 
Wamasai wana Mila ya kuchumbia mimba kama lakini haimaanishi kama akizaliwa tu anaolewa bali huwa anasubiriwa afikishe umri sahihi ndipo aolewe... Watu wengi wanakurupuka katika kuelewa vitabu vya dini vinavoelekeza, kwa kuelewa wangu na jinsi nilivyofanyia utafiti maandiko hayo ni kwamba unaruhusu wa kuposa binti wa miaka 9 na uka endelea kumsubiri mpaka afikishe umri sahihi ndio umuwowe
Na hili ndio lengo unaweza kuposa binti kisha ukamsubiria haina tatizo lolote , ila watu wameamua kutafsiri watakavyo
 
Hakuna anae bakwa ili ndoa ifanyike ni lazima ruksa itoke kwa mzazi, labda wewe utuambie una uchungu kuliko mzazi mwenye mtoto wake
Mzazi akibariki ubakaji, inaacha kuwa ubakaji? Mtoto wa miaka 9 hana uwezo wa kukubali wala kukataa, hivyo ni ubakaji….
 
Back
Top Bottom