Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ukiweka na mistari inayotaja haya unayoyasema itakuwa njemaMariamu alichumbiwa akiwa na miaka 9, akabeba mimba ya yesu akiwa na miaka 12
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiweka na mistari inayotaja haya unayoyasema itakuwa njemaMariamu alichumbiwa akiwa na miaka 9, akabeba mimba ya yesu akiwa na miaka 12
Kheeeee..!! we ndo umeuwa kabisa...!! na haya mabroiler yanayoliwa kila siku si atavunja ungo akiwa na miaka 6..!! Utamuozesha?Ukishakuwa na mashaka na Imani yako wewe usijihesabu kama ni Muislamu.. sheria ya dini inasema anapovunja Ungo anafaa kuolewa.. hatuaelekezwa Miaka..
Usihofu kabisa mbona Mtume Muhammad alifanya hivyo kwa Aisha? Au unajifanya hujui hilo?hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.
Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli
Sio ukatili
Yaani akishatoka damu ya hedhi tu huyo ni mkubwa na anafaa kuolewa na akazaa.. mtoto mdogo hawezi kuzaa! Tupokuja kwenye sheria ya Tanzania miaka 14 bado mtasema ni mdogo ..Kheeeee..!! we ndo umeuwa kabisa...!! na haya mabroiler yanayoliwa kila siku si atavunja ungo akiwa na miaka 6..!! Utamuozesha?
Sio ukatiliHuo ni ukatili wa hali ya juu
Aya gani ndani ya Quran ameambiwa Muislam aoe mtoto wa miaka 9?hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.
Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli
Hapa mie nakufa ama nakubali kunyongwa Ila mwanangu hawezi enda kuumiza eti kisa niniNajaribu kumuangalia binti yangu wa 8yrs, nawaza mwakani ningekuoa naozesha, aiseee, hii ni dhambi kubwa sana..
Huo ni ubakaji.Hivi watu wanajua miaka tisa ni watoto walioko darasa la tatu na nne.. Hebu Wajaribu kwenda shule waombe kuona watoto wa la nne au tatu alafu wajitafakari ni kweli anaweza kuwa mke wa mtu hata kama ni kwa hiyari tuu.
AISEEE..!! DEFINITION YAKO YA UKUBWA NI MBAYA SANA.!! Hivi, mtoto wako wa kiume ataowa akiwa na umri gani?Yaani akishatoka damu ya hedhi tu huyo ni mkubwa na anafaa kuolewa na akazaa.. mtoto mdogo hawezi kuzaa! Tupokuja kwenye sheria ya Tanzania miaka 14 bado mtasema ni mdogo ..
Mtu akibalehe, bado mtoto?Aya gani au Hadithi gani inaesema mtoto aolewe ?
Wewe ni muislam mkuu, hivyo unakubaliana na maamuzi ya Muhammad kuoa binti wa miaka 9?wewe si muislamu mkuu
We Nenda tu huo upande mwengine, hakuna wakufafanulia hapa, Mungu ndie ajuae kama uliwahi kua hata na chembe ya imani.hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.
Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli