Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

hakuna aliyemuona Allah akiandika sehemu wala hakuna aliyeona quran ikiwa inashushwa kutoka mawinguni .maneno yote yametamkwa na Muhamad kwenda kwa maswahaba zake ,kwahiyo kila alichokisema mohamd ni kwa ajii ya Allah
Salmon Rushdi anasema Quran ni Satanic Verses. Ni aya za shetani. Hata wao wanamtukuza sana shetani katika kuswali kwao.
 
Bi Aisha r.a binti Abubakr aliolewa na mtume miaka3 baada ya mke wa kwanza wa mtume kufariki bi Hadija r.a, aliolewa mwaka wa pili wa hijiria ya hija ya pili tu. Aysha alikua ni mdogo wake Asmah r.a binti Abubakr aliye mzidi miaka 10 ambae kipindi cha hija ya kwanza Asema binti Abubakr alikua na miaka 27. Kihivyo Aysha alikua na 17 iweje Bukhari atuambia Aysha was 9 during hijra?

Asma’ b. Abi Bakr al-Siddiq…she was the sister of ʿA’yshah through her father’s [side i.e. Abu Bakr] and she was older than ʿA’yshah and was born twenty-seven years before History [i.e. Hijrah].

See: al-Isfahani, Abu Naʿim Ahmad b. ʿAbd Allah (d. 430 A.H/1038 C.E), Maʿrifat al-Sahabah, VI: 3253, no. 3769 (retrieved from al-Jamiʿ al-Kabir).

Al-Tabarani [d. 360 A.H/970 C.E] writes:

مَاتَتْ

N:B zipo hadithi zaidi ya 20+ zinazozungumza umri wa Asmah kipindi cha hijra kuhama kwa mtume kuja maka na yeye kufariki akiwa na miaka 100 ambapo ulikua mwaka wa 73 hijra, ndio maana ukweli halisi wa jambo haupatikani kwa hadithi
 
Ukiweka na mistari inayotaja haya unayoyasema itakuwa njema
Bwana DeepPond, nakusubiria uje uweke mstari kwenye post yangu #21, nimeiweka hapa chini
1738047700249.png
 
Mimi sio mtoto wa chekechea anaye ulizwa maswali ya kujibu ndio au hapana.
Mimi ni mtafiti mchambuzi huwa najibu kwa ufafanuzi wa mambo mwenye kutaka kuelewa ameelewa.
Sasa si ukubali tu ya kuwa mtume alipagawa kama unavyodai?
 
Walionywa kabla
“Do not write anything from me; whoever has written anything from me other than the Qur’an, let him erase it..”
(Narrated by Muslim, al-Zuhd wa’l-Raqaa’iq, 5326)
 
Akiwa na 25 kwahiyo wewe mama yako alibakwa akiwa na 9yrs 😥

Mimi ninazo zote, usitake kunambia hata wewe walikutoa ukiwa na 6yrs unaniletea makasiriko hapa..!! 😹😹
Mpaka Sasa Wewe Ndo Una Makasiliko Na Chuki Kali Ukitaka Kumjua Mama ake Bint Basi Mwangalie Bint,Mama Ako Hana Uwezo Wa Kutunza Bikira Hadi Huo Umri, Kama Wewe Usivyoweza Kuitunza.

Uwe Na Bikira Wewe Kutwa Uko Mitandaoni,Hakuna Mwanamke Anayeshinda Mitandaoni Alafu Awe Na Bikira Tena Zote Huna.
 
Mpaka Sasa Wewe Ndo Una Makasiliko Na Chuki Kali Ukitaka Kumjua Mama ake Bint Basi Mwangalie Bint,Mama Ako Hana Uwezo Wa Kutunza Bikira Hadi Huo Umri, Kama Wewe Usivyoweza Kuitunza.

Uwe Na Bikira Wewe Kutwa Uko Mitandaoni,Hakuna Mwanamke Anayeshinda Mitandaoni Alafu Awe Na Bikira Tena Zote Huna.
Punguza makasiriko sijakubaka mimi, nikushauri bado hujachelewa nenda kafungue kesi upate haki zako na ufundishe wengine wasiozeshe mabinti zao km wewe kwenye umri mdogo..!!
Pôle sana 😥
 
Umemezwa na dini kiasi kwamba hata hauelewi. Kuwepo kwa jamii zinazobook mimba haihalalishi mtu mwingine kuoa mtoto wa miaka 6. Yaani kama kwenye jamii yenu ni halali kuua mtu anayetuhumiwa kuwa ni mwizi, ukiambiwa hii si sawa then unajitetea kwa kusema mbona wengine wanaua watoto wachanga. Kitu cha hovyo ni cha hovyo tu, haijalishi kinafanywa na watu wengi kiasi gani...
Nadhani Umekataa Kutumia Akili Ila Unatumia Mihemko Na Hisia Hivi Umefikiria Kwamba Kwa Upande Wa Jamii Yao Wakati Huo Iliishije Je Yeye Pekee Ndo Alioa Wa Umri Huo?

Unajua Maana Ya Jamii Na Desturi Zao?Haya Malalamiko Mnayaleta Nyinyi Wala Watu Wa Nyakati Hizo Hawakulalamika Kwa Sababu Ndo Desturi Zao,Mlikuwa Mnataka Mtume Aoe Mwenye 25,Wakati Wenzake Walikuwa Wanaoa Wa 6,9, Na Kuendelea Makubaliano Ya Watu Wa Zama Hizo Yalikuwa Hayo Ila Wivu Mnaona Nyie.

Yaani Wenzake Walikuwa Wanagegeda Mabint Fresh Wa Umri Huo Ila Nyie Kwa KuwA Hamumpendi Mtume Mlikuwa Mnataka Aoe Singo Maza?Mbona Hamsemi Kuhusu Mke Wake Wa Kwanza Aliyemuoa Akiwa Kazidiwa Umri Hampigi Kelele.

NB:NASIMAMA NA MTUME NAMSAPOTI KWA ALICHOFANYA NA NASAPOTI NCHI ZOTE ZENYE KUALALISHA NDOA ZA MABINTI WENYE UMRI MDOGO.
NDOA NI KWA MABINTI NDOA SI KWA MITUMBA.TUKISUBIRI BINTI AJITAMBUE TUTAOA WAKE ZA WATU UISLAMU UNAZUIA KOSA KUTENDEKA HAUZUII UALIFU ULIOTENDEKA.NA NDIO MAANA UKASEMA USIKARIBIE ZINAA HAUJASEMA USIZINI.

UKISEMA USIZINI INA MAANA HAMESHATONGOZWA AMESHANAWIWA,UISLAM NI KWA WENYE AKILI TU.
 
Salmon Rushdi anasema Quran ni Satanic Verses. Ni aya za shetani. Hata wao wanamtukuza sana shetani katika kuswali kwao.
Who is Salmon Rashid? Uislam haiendi kwa maoni ya watu bro huu sio ulokole
 
Najaribu kumuangalia binti yangu wa 8yrs, nawaza mwakani ningekua naozesha, aiseee, hii ni dhambi kubwa sana..
Mim mpaka nimejisikia vibaya nilipomuona mtoto wangu, eti mwakani kama ningekuwa huo pande basi ningekuwa baba mkwe wa mchongo
 
Acha makasiriko mkuu mtoto ni mtoto tu. Kwani huyo Aisha alisema anampenda Mtume?
Kama Point Yako Ni Hiyo Umechemsha.Kwa Upande Wa Ndoa Upendo Huja Ndani Ya Ndoa Unaonyesha Ni Jinsi Gani Hujui Unachozungumza .Hujui Nani Anapenda Kati Ya Mwanaume Na Mwanamke?Waislam Tuna Jenga Taasisi Imara Ya Ndoa Kwa Kuozesha Mabinti Wangali Wadogo Mwanamke Ni Kama Bamia Kadili Inavyokomaa Ndivyo Inavyokosa Thamani Kaa Nayo Hiyo Nimekupa .

Makafiri Mna lengo La Kubomoa Maadili Ya Mwanadam.Mwanamke Ndo Jamii Akialibika Yeye Imealibika Jamii Mna Lengo Kuistawisha Zinaa Kwa Nguvu Kubwa Hapa Hakuna Hata Mmoja Asiye Wahi Kuona Mabint Wa Shule Za Msingi Wakigegedwa.Wa Sekondari Ndo Balaa Ila Ni Bora Kuwapiga Sindano Za Kuzuia Mimba Ni Sawa Ila Kumuozesha Wanakuwa Ni Watoto?
 
Nadhani Umekataa Kutumia Akili Ila Unatumia Mihemko Na Hisia Hivi Umefikiria Kwamba Kwa Upande Wa Jamii Yao Wakati Huo Iliishije Je Yeye Pekee Ndo Alioa Wa Umri Huo?

Unajua Maana Ya Jamii Na Desturi Zao?Haya Malalamiko Mnayaleta Nyinyi Wala Watu Wa Nyakati Hizo Hawakulalamika Kwa Sababu Ndo Desturi Zao,Mlikuwa Mnataka Mtume Aoe Mwenye 25,Wakati Wenzake Walikuwa Wanaoa Wa 6,9, Na Kuendelea Makubaliano Ya Watu Wa Zama Hizo Yalikuwa Hayo Ila Wivu Mnaona Nyie.

Yaani Wenzake Walikuwa Wanagegeda Mabint Fresh Wa Umri Huo Ila Nyie Kwa KuwA Hamumpendi Mtume Mlikuwa Mnataka Aoe Singo Maza?Mbona Hamsemi Kuhusu Mke Wake Wa Kwanza Aliyemuoa Akiwa Kazidiwa Umri Hampigi Kelele.

NB:NASIMAMA NA MTUME NAMSAPOTI KWA ALICHOFANYA NA NASAPOTI NCHI ZOTE ZENYE KUALALISHA NDOA ZA MABINTI WENYE UMRI MDOGO.
NDOA NI KWA MABINTI NDOA SI KWA MITUMBA.TUKISUBIRI BINTI AJITAMBUE TUTAOA WAKE ZA WATU UISLAMU UNAZUIA KOSA KUTENDEKA HAUZUII UALIFU ULIOTENDEKA.NA NDIO MAANA UKASEMA USIKARIBIE ZINAA HAUJASEMA USIZINI.

UKISEMA USIZINI INA MAANA HAMESHATONGOZWA AMESHANAWIWA,UISLAM NI KWA WENYE AKILI TU.
Kama katika nyakati zao walikuwa sahihi kufanya hivyo ni sawa kwao lakini haiondoe ukweli kuwa jambo hilo ni la hovyo na halitakiwi kufanya na mtu analiyestaarabika. Huo ni ubakaji na hakuna hoja yoyote inayoweza kuhalalisha huo uhuni...
 
Nadhani Umekataa Kutumia Akili Ila Unatumia Mihemko Na Hisia Hivi Umefikiria Kwamba Kwa Upande Wa Jamii Yao Wakati Huo Iliishije Je Yeye Pekee Ndo Alioa Wa Umri Huo?

Unajua Maana Ya Jamii Na Desturi Zao?Haya Malalamiko Mnayaleta Nyinyi Wala Watu Wa Nyakati Hizo Hawakulalamika Kwa Sababu Ndo Desturi Zao,Mlikuwa Mnataka Mtume Aoe Mwenye 25,Wakati Wenzake Walikuwa Wanaoa Wa 6,9, Na Kuendelea Makubaliano Ya Watu Wa Zama Hizo Yalikuwa Hayo Ila Wivu Mnaona Nyie.

Yaani Wenzake Walikuwa Wanagegeda Mabint Fresh Wa Umri Huo Ila Nyie Kwa KuwA Hamumpendi Mtume Mlikuwa Mnataka Aoe Singo Maza?Mbona Hamsemi Kuhusu Mke Wake Wa Kwanza Aliyemuoa Akiwa Kazidiwa Umri Hampigi Kelele.

NB:NASIMAMA NA MTUME NAMSAPOTI KWA ALICHOFANYA NA NASAPOTI NCHI ZOTE ZENYE KUALALISHA NDOA ZA MABINTI WENYE UMRI MDOGO.
NDOA NI KWA MABINTI NDOA SI KWA MITUMBA.TUKISUBIRI BINTI AJITAMBUE TUTAOA WAKE ZA WATU UISLAMU UNAZUIA KOSA KUTENDEKA HAUZUII UALIFU ULIOTENDEKA.NA NDIO MAANA UKASEMA USIKARIBIE ZINAA HAUJASEMA USIZINI.

UKISEMA USIZINI INA MAANA HAMESHATONGOZWA AMESHANAWIWA,UISLAM NI KWA WENYE AKILI TU.
Ndugu usiteseke na opinions na mawazo ya watu Quran ni suluhisho sioni sababu ya muislam kubabaika wakati maelekezo ya kuoa,kuishi mpaka kuacha mwanamke yapo tena yamenyooka shida nn
 
Kama Point Yako Ni Hiyo Umechemsha.Kwa Upande Wa Ndoa Upendo Huja Ndani Ya Ndoa Unaonyesha Ni Jinsi Gani Hujui Unachozungumza .Hujui Nani Anapenda Kati Ya Mwanaume Na Mwanamke?Waislam Tuna Jenga Taasisi Imara Ya Ndoa Kwa Kuozesha Mabinti Wangali Wadogo Mwanamke Ni Kama Bamia Kadili Inavyokomaa Ndivyo Inavyokosa Thamani Kaa Nayo Hiyo Nimekupa .

Makafiri Mna lengo La Kubomoa Maadili Ya Mwanadam.Mwanamke Ndo Jamii Akialibika Yeye Imealibika Jamii Mna Lengo Kuistawisha Zinaa Kwa Nguvu Kubwa Hapa Hakuna Hata Mmoja Asiye Wahi Kuona Mabint Wa Shule Za Msingi Wakigegedwa.Wa Sekondari Ndo Balaa Ila Ni Bora Kuwapiga Sindano Za Kuzuia Mimba Ni Sawa Ila Kumuozesha Wanakuwa Ni Watoto?
Kwahiyo unataka kusema ya kuwa mwanamke hapendi na unataka kusema ya kuwa watu wanapendana baada ya kuoana, mbona sasa watu wanapeana talaka?
 
Kwahiyo unataka kusema ya kuwa mwanamke hapendi na unataka kusema ya kuwa watu wanapendana baada ya kuoana, mbona sasa watu wanapeana talaka?
Jifunze Mahusiano,Kipi Kinafuata Kati Ya Ndoa Na Talaka?Talaka Ni Zao La Tatizo Linalotoka Kwa Mwanandoa Mmoja Wapo.Kifupi Hakuna Ulichoandika.
 
Kwani hakuwezi kuwa na mwanamke mwenye miaka 40 bikra?
Bi. Khadija wakati anaolewa na mtume hakuwa bikra?
Unategemea bikra miaka 40 kwa zama zile labda uwe na matatizo, mtume alimuoa bi khadija tayari sio bikra na alisha olewa nyuma uko .
BIKRA ilikuwa mtaji mkubwa sana ndio maana hata vitani wanawake wasio na bikira wakiuawa ila wenye nazo wanaume walijiokotea tu

SOMA HAPA MUSA ALICHOFANYA

17-Basi kwa ajili hiyo mwueni kila mume katika hao watoto, na kila mwanamke aliyemjua mume kwa kulala pamoja naye.

18-Lakini hao watoto wote wa kike ambao hawakumjua mume kwa kulala pamoja naye, mtawaweka hai kwa ajili yenu.

Hesabu 31:17 -18
 
Jifunze Mahusiano,Kipi Kinafuata Kati Ya Ndoa Na Talaka?Talaka Ni Zao La Tatizo Linalotoka Kwa Mwanandoa Mmoja Wapo.Kifupi Hakuna Ulichoandika.
Mkuu kila ndoa inamatatizo yake talaka inakuja pale ambapo wanandoa wameshindwa kuvumilia matatizo hayo.
Halafu unajiona ni mwandishi bora kumbe hamna kitu.
 
Back
Top Bottom