Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Kama katika nyakati zao walikuwa sahihi kufanya hivyo ni sawa kwao lakini haiondoe ukweli kuwa jambo hilo ni la hovyo na halitakiwi kufanya na mtu analiyestaarabika. Huo ni ubakaji na hakuna hoja yoyote inayoweza kuhalalisha huo uhuni...
Sasa Kama Unakubali Kijamii Nyakati Hizo Ilikuwa Ni Sawa Nyinyi Mlitaka Mtume Asioe? Hata Sasa Ukiwaleta Watu Wa Nyakati Hizo Ukawapa Story Za Wakati Huu Wao Watatuona Hatuko Sawa Kulingana Na Ustaarabu Wao.
 
Punguza makasiriko sijakubaka mimi, nikushauri bado hujachelewa nenda kafungue kesi upate haki zako na ufundishe wengine wasiozeshe mabinti zao km wewe kwenye umri mdogo..!!
Pôle sana 😥
Hakuna Ulichoandika Zaidi Ni Pumba Na Chuki Kwa Uislamu.Mtoto Wa Kike Akishavuja Tayari Huyo Ni Mwanamke Kamili Na Anafaa Kwa Matumizi Yoyote Anayotumikia Mwanamke Sasa Hivi Kama Wewe Hapo Ndo Uolewe Wakati Una Msululu Wa Vidume Wameshakuweka Staili Zote We Unaona Waislam Hatuna Akili Kama Nyinyi Makafiri.
 
Sasa Kama Unakubali Kijamii Nyakati Hizo Ilikuwa Ni Sawa Nyinyi Mlitaka Mtume Asioe? Hata Sasa Ukiwaleta Watu Wa Nyakati Hizo Ukawapa Story Za Wakati Huu Wao Watatuona Hatuko Sawa Kulingana Na Ustaarabu Wao.
Kama ni sawa kwa watu wa jamii fulani kuua haihalalishi kuwa kitendo hicho ni halali. Uwe unaelewa...
 
Screenshot_20250127_192024_X.jpg
 
Suala la Mtume swalla llahu allaihi wa sallam- kumuoa bi Aisha katika umri ambao unaonekana mdogo, hutakiwi kulitazama na akili iliyokuwa programmed namna ya kufikiria.

Bali unatakiwa ufikirie kwa akili salama amabayo haijaathirika na fikra hasi.

Ukilitaza suala hili kana kwamba Mtume alimuoa bi Aisha kwa lengo la kukidhi matamanio yake ya kingono, basi lazima utaliona suala hili ni batili.

Bi Aliolewa kwa maslahi mapana, ndio maana baada ya kufa Mtume swalla llahu allaihi wa sallam- bi Aisha alimaliza umri wake katika kufundiaha watu sunnah za Mtume, na Bi Aisha ndiye mke wa Mtume ambaye amesimulia hadithi nyingi za Mtume kuliko mke yoyote wa Mtume.

Hilo suala halipo kama wengi wanavyolitazama.
Mudi alikuwa muhuni tu, mtoto wa miaka 9! Baadaye akaoa wanawake wengine huku alikuwa tayari na wengine, sasa huyo kama si mhuni ni nani?
 
Weka Hapa Hizo Quran Tuzisome Acha Mbambamba Kila Kitu Kipo Mtandaoni.
NB:QURAN SIO BIBLE KWAMBA KUNA BIBLE YA KIMATUMBI KICHINA KIMAKONDE.
NDIO MAANA MWISLAM ANAINGIA MSIKITI WA NCHI YOYOTE ANASWALISHA WATU WANA MFUATA ANAMALIZA ANASEPA .



Nenda kasome kisha urudi hapa.
 
Kuwa nawafuasi wengi hakuhalalishi mambo ya hovyo aliloyafanya... Dini ni aina fulani ya ugonwa wa akili, how on earth unaweza kusimama na kutetea upuuzi wa kiwango hiki kisa tu ni dini yako. Hivi sasa hivi mtu akija akakwambia amempenda binti yako wa miaka 6 utamruhusu amuoe?
Huyo anaweza kumuoza mwanae wa miaka 6☺️☺️😂.
 
Bi Aisha r.a binti Abubakr aliolewa na mtume miaka3 baada ya mke wa kwanza wa mtume kufariki bi Hadija r.a, aliolewa mwaka wa pili wa hijiria ya hija ya pili tu. Aysha alikua ni mdogo wake Asmah r.a binti Abubakr aliye mzidi miaka 10 ambae kipindi cha hija ya kwanza Asema binti Abubakr alikua na miaka 27. Kihivyo Aysha alikua na 17 iweje Bukhari atuambia Aysha was 9 during hijra?

Asma’ b. Abi Bakr al-Siddiq…she was the sister of ʿA’yshah through her father’s [side i.e. Abu Bakr] and she was older than ʿA’yshah and was born twenty-seven years before History [i.e. Hijrah].

See: al-Isfahani, Abu Naʿim Ahmad b. ʿAbd Allah (d. 430 A.H/1038 C.E), Maʿrifat al-Sahabah, VI: 3253, no. 3769 (retrieved from al-Jamiʿ al-Kabir).

Al-Tabarani [d. 360 A.H/970 C.E] writes:

مَاتَتْ

N:B zipo hadithi zaidi ya 20+ zinazozungumza umri wa Asmah kipindi cha hijra kuhama kwa mtume kuja maka na yeye kufariki akiwa na miaka 100 ambapo ulikua mwaka wa 73 hijra, ndio maana ukweli halisi wa jambo haupatikani kwa hadithi
Hiyo Hadith ya Aisha kuwa na miaka 6 wakati anaolewa ni Sahih?
 
hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.

Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli.

Pia soma
- Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili
Hongera kujua hilo leo, na kutia moyo huja chelewa kuja kwa Yesu, mlango uko wazi huku hakona ma shaka ma shaka, injili iko clear kabisaa... Kamwe hutaona jambo la kukiuka sheria, huku utajua kutenda wema na utajua jinsi Mungu anakupenda. Huku hatuhukumu basi tunawaombea wakosaji... Karibu kwa Yesu!!
 
hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.

Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli.

Pia soma
- Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili
kwanza ni kujiaibisha tu, imagine mzee wa miaka 60 ameoa kabinti ka miaka 13, kwa lugha nyingine, zee kama hilo linaonyesha korodani zake kwa katoto kama hako, na linajifariji kwamba ni kitu cha kawaida tu kufanya hivyo.
 
hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.

Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli.

Pia soma
- Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili

Mambo ya imani magumu sana. Katika vitu navyojivunia katika kusoma kwangu, Profesa wangu wa Chuo aliwahi kusema unatakiwa kuwa na bird eye view. yaani uone mambo kwa jicho la nje. Ukibaki na jicho la ndani huwezi kuwa na uelewa mzuri wa mambo. Mojawapo ya mambo unayopaswa kuyaelewa kwa jicho la nje ni mambo ya imani. Ukiona watu wanabishana mambo ya dini hadi kufikia kupigana ujue ni mbumbumbu. hawajui hata wanachopigania.
 
Hiyo Hadith ya Aisha kuwa na miaka 6 wakati anaolewa ni Sahih?
wanasema alikuwa na miaka 6, ila kwa sababu mood alikuwa na roho nzuri na alikuwa mwema sana hakukaingilia mapema, alisubiri hadi kafike miaka 9 kakiwa kamevunja ungo. mood alikuwa mwema sana, hakumwingilia akiwa na 6 years, alisubiri afike 9. mtu mvumilivu kabisa huyu alikuwa.
 
Mudi alikuwa muhuni tu, mtoto wa miaka 9! Baadaye akaoa wanawake wengine huku alikuwa tayari na wengine, sasa huyo kama si mhuni ni nani?
Mtume alioa jimama moja hivi akawa analelewa
 
wanasema alikuwa na miaka 6, ila kwa sababu mood alikuwa na roho nzuri na alikuwa mwema sana hakukaingilia mapema, alisubiri hadi kafike miaka 9 kakiwa kamevunja ungo. mood alikuwa mwema sana, hakumwingilia akiwa na 6 years, alisubiri afike 9. mtu mvumilivu kabisa huyu alikuwa.
Alikuwa anakachezea tu kidogo kidogo ili kukaandaa,what a pervert. Alikuwa anawashauri mpaka wafuasi wake waoe mabinti wadogo ili waweze kucheza nao😏.

Sahih Bukhari 5080
When I got married, Allah's Messenger (ﷺ) said to me, "What type of lady have you married?" I replied, "I have married a matron' He said, "Why, don't you have a liking for the virgins and for fondling them?" Jabir also said: Allah's Messenger (ﷺ) said, "Why didn't you marry a young girl so that you might play with her and she with you?'
 
Hiyo Hadith ya Aisha kuwa na miaka 6 wakati anaolewa ni Sahih?
Hadithi yoyote inayokinzana na Quran si sahihi, sasa jiulize Quran inakubali mtu wa miaka 6 kuolewa?
 
Hakuna Ulichoandika Zaidi Ni Pumba Na Chuki Kwa Uislamu.Mtoto Wa Kike Akishavuja Tayari Huyo Ni Mwanamke Kamili Na Anafaa Kwa Matumizi Yoyote Anayotumikia Mwanamke Sasa Hivi Kama Wewe Hapo Ndo Uolewe Wakati Una Msululu Wa Vidume Wameshakuweka Staili Zote We Unaona Waislam Hatuna Akili Kama Nyinyi Makafiri.
Wewe bibi una trauma sijui sheikh aliyekubaka alikuwa na muhogo mkubwa!! Hauko sawa maskini 😥

Jitahidi mabinti zako wasiwe km wewe bibi yao..!!
Halafu mwenzio hizo dini zenu zinazokandamiza wanawake wala sijawahi kuzifatilia, nawaona km wehu..!!
Si umeona sababu ya mtume umebakwa utotoni..!! Sijui km Yas yako imepona mana hao masheikh kwenye udevu wanapaka hina wanaonekana wana minyege sana, so hawana cha kupoteza..!! Mtafute dr Gwajima humu akusaidie upate haki yako au hata ushauri wa kuondokana na trauma ya kubakwa..!!! Pity 😥
 
Back
Top Bottom