Kwanini urongo? it was narrated mimi naamini Quran kwanini hadithi zipo nyingi na zinakinzana zipo hadithi kama mia zinazothibitha Asma bint Abubakary alikua na miaka 27 kipindi wanahama hijiria na alikua na miaka 10 kumzidi dada yake.
Kingine mtu wa kwanza kuslimu baada ya mtume na bi Hadija ni babake na Aysha na kipindi anaslimu mwaka 610 ambapo dini ndio inaanza kuenezwa baba ake na Aisha alikuwa na watoto sita ikiwemo Aysha, iweje miaka 13 baadaye ya hija Aysha awe na miaka 9? Hio hadithi hapo tu mimi ndio inanitatiza lakini Quran Iko clear kwa muolewaji kila palipotatajwa neno ndoa kwenye Quran limefata neno 'NiSA' mwanamke hivyo ndoa ni kati ya mwanaume na mwanamke mtume hawezi kuipinga Quran
Aysha alikuwa kachumbiwa na familia nyingine kabla mtume hajamchumbia, Aisha alihusika kwenye vita vya uhud vilivyopigwa wa kabla hajaolewa alikua nesi na vitani mtume hakuruhusu mtu wa miaka chini ya miaka 15 kusogea vitani hiyo hadithi kikubwa unaipinga Quran hivyo kwa muislam mwenye kujitambua hawezi kuifuata
Mwongo huwa anaongea anayotunga Kichwani.
Mtu mkweli huwa anaongea kwa kunukuu maandiko kama ushahidi.
Waislamu wenzako humu wote wamekubali kuwa Muhammadi alimwoa Aisha akiwa na miaka 6 na kumwingilia kimwili akiwa na miaka 9, wakati yeye akiwa babu wa miaka 54.
Kwa kumwiga mtume wao nchi nyingi za Kiislamu zimeruhusu mtoto wa miaka 9 kuolewa.
Wewe unaleta porojo zako humu bila ushahidi wa maandiko.
Wewe ni nani kwanza?
Mtu mzushi na mwogo.
Huna hata soni kuongea hewani.
26 The Book of Marriage
(78)Chapter: Consummation Of Marriage With A Girl Of Nine(78)باب الْبِنَاءِ بِابْنَةِ تِسْعٍ .
Sunan an-Nasa'i 3379
It was narrated that 'Aishah said:
"The Messenger of Allah married me when I was six, and consummated the marriage with me when I was nine."
Kama huna ushahidi na unachoongea nenda kaongee na wajukuu zako nyumbani
Sahih al-Bukhari 5134
Narrated `Aisha:
that the Prophet (ﷺ) married her when she was six years old and he consummated his marriage when she was nine years old. Hisham said: I have been informed that `Aisha remained with the Prophet (ﷺ) for nine years (i.e. till his death).
Mrongo mkubwa wewe