Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Kumsafisha mudi dhidi ya madhila ya kingono aliyomfanyia mtoto Aishah ilishashindikana, kuna wafuasi wake huwa wanakuja na hadith za alfu lela ulela za kumsafisha lakini wapi
Hakuna anayemsafisha mtume ni msafi tangu anazaliwa mpaka kiama huyo bi Aisha naamini alikidhi vigezo vya kwenye Quran ili kuolewa na mtume nyinyi ndio mnahangaika kuonyesha udhaifu wa miaka ya mhusika dini haingalii hilo dini inaangalia vigezo vya sheria ya ndoa ishu ya miaka ni yenu nyinyi
 
Ilikua ni lazima kumfanya mke ili kutimiza hilo?

Kwanini hakua tu mlezi wa kiroho? Mwalimu/Kiongozi kwa hayo manufaa ya baadae?
Bado unauliza swali lilelile lakini kwa namna tofauti.

Hili lilitimia ikiwa kama maslahi yaliyoambatana na jambo hili, lakini haina maana ndio lilikuwa lengo kuu la ndoa hii.

Kwasababu, kisheria Bi Aisha -radhwiya llahu anhaa- aliolewa na Mtume ndoa ya halali, chini ya usimamizi wa baba yake.
 
Hakuna anayemsafisha mtume ni msafi tangu anazaliwa mpaka kiama huyo bi Aisha naamini alikidhi vigezo vya kwenye Quran ili kuolewa na mtume nyinyi ndio mnahangaika kuonyesha udhaifu wa miaka ya mhusika dini haingalii hilo dini inaangalia vigezo vya sheria ya ndoa ishu ya miaka ni yenu nyinyi
Pole kama kawa unaendelea kumpiga mtume dodoki ili angalau asafishike ila ndo hivyo tena la kuvunda halina ubani
 
Hongera wewe mzima ambae huna mfuasi ata mmoja kumuita chizi mtu mwenye wafuasi 2b halafu wewe siyo wa kwanza kumuita chizi wewe ni wa bilioni sijui ngapi huko
Ukweli haupimwi kwa wingi wa wafuasi.
Ukweli unapimwa kwa mafundisho na matendo.

"Mtawa tambua kwa matendo yao"

Na kwa matendo ya mudy hana ukweli, wala nuru yoyote iliyo ongozana nae.

Najua nguvu ya uislamu ipo kweny idadi yenu na hio ndio mentality yenu (muongozeke idadi kuliko dini zingine ili mfanye jihad) mentality yenu ni "the bigger the numbers the greater the strength" hii ideology inawapoteza sana mnasahau the most important thing about religion, religion it's not about numbers, it's about reasoning and faith.

Lamomy
 
Najaribu kumuangalia binti yangu wa 8yrs, nawaza mwakani ningekua naozesha, aiseee, hii ni dhambi kubwa sana..
Halafu alieoa ni mtu anaeitwa mtume kabisa. Na wanaamin kabisa ni mtume wa Mungu bro
 
Kwanini urongo? it was narrated mimi naamini Quran kwanini hadithi zipo nyingi na zinakinzana zipo hadithi kama mia zinazothibitha Asma bint Abubakary alikua na miaka 27 kipindi wanahama hijiria na alikua na miaka 10 kumzidi dada yake.

Kingine mtu wa kwanza kuslimu baada ya mtume na bi Hadija ni babake na Aysha na kipindi anaslimu mwaka 610 ambapo dini ndio inaanza kuenezwa baba ake na Aisha alikuwa na watoto sita ikiwemo Aysha, iweje miaka 13 baadaye ya hija Aysha awe na miaka 9? Hio hadithi hapo tu mimi ndio inanitatiza lakini Quran Iko clear kwa muolewaji kila palipotatajwa neno ndoa kwenye Quran limefata neno 'NiSA' mwanamke hivyo ndoa ni kati ya mwanaume na mwanamke mtume hawezi kuipinga Quran

Aysha alikuwa kachumbiwa na familia nyingine kabla mtume hajamchumbia, Aisha alihusika kwenye vita vya uhud vilivyopigwa wa kabla hajaolewa alikua nesi na vitani mtume hakuruhusu mtu wa miaka chini ya miaka 15 kusogea vitani hiyo hadithi kikubwa unaipinga Quran hivyo kwa muislam mwenye kujitambua hawezi kuifuata
Mwongo huwa anaongea anayotunga Kichwani.
Mtu mkweli huwa anaongea kwa kunukuu maandiko kama ushahidi.

Waislamu wenzako humu wote wamekubali kuwa Muhammadi alimwoa Aisha akiwa na miaka 6 na kumwingilia kimwili akiwa na miaka 9, wakati yeye akiwa babu wa miaka 54.
Kwa kumwiga mtume wao nchi nyingi za Kiislamu zimeruhusu mtoto wa miaka 9 kuolewa.

Wewe unaleta porojo zako humu bila ushahidi wa maandiko.
Wewe ni nani kwanza?
Mtu mzushi na mwogo.
Huna hata soni kuongea hewani.

26 The Book of Marriage
(78)Chapter: Consummation Of Marriage With A Girl Of Nine(78)باب الْبِنَاءِ بِابْنَةِ تِسْعٍ ‏.‏
Sunan an-Nasa'i 3379
It was narrated that 'Aishah said:
"The Messenger of Allah married me when I was six, and consummated the marriage with me when I was nine."

Kama huna ushahidi na unachoongea nenda kaongee na wajukuu zako nyumbani

Sahih al-Bukhari 5134
Narrated `Aisha:

that the Prophet (ﷺ) married her when she was six years old and he consummated his marriage when she was nine years old. Hisham said: I have been informed that `Aisha remained with the Prophet (ﷺ) for nine years (i.e. till his death).

Mrongo mkubwa wewe
 
Mtume wa Allah akiwa na miaka 54.

Anakatafuna katoto ka miaka 9
Anapora mke wa mtoto wake wa kufikia
Anaua familia nzima na kumpora mke wa marehemu na kulala naye si hiyohiyo na Allah anamruhusu

Jamani tumewaachia mtume wenu na Allah wenu
Na wake zenu wa miaka 9 mnaowachumbia wakiwa na miaka 6.
Ila muwa chumbie watoto wa jamii zenu huko huko kwenye dini yenu.
Wakristo hatutaki hata kuusikia huo ujinga.
Tunazingatia malezi mema ya kuwapa Elimu kwanza vijana wetu hadi wafikie umri wa utu uzima na kuweza kujitegemea na kufanya maamuzi yao wao wenyewe.
 
Mwongo huwa anaongea anayotunga Kichwani.
Mtu mkweli huwa anaongea kwa kunukuu maandiko kama ushahidi.

Waislamu wenzako humu wote wamekubali kuwa Muhammadi alimwoa Aisha akiwa na miaka 6 na kumwingilia kimwili akiwa na miaka 9, wakati yeye akiwa babu wa miaka 54.
Kwa kumwiga mtume wao nchi nyingi za Kiislamu zimeruhusu mtoto wa miaka 9 kuolewa.

Wewe unaleta porojo zako humu bila ushahidi wa maandiko.
Wewe ni nani kwanza?
Mtu mzushi na mwogo.
Huna hata soni kuongea hewani.

26 The Book of Marriage
(78)Chapter: Consummation Of Marriage With A Girl Of Nine(78)باب الْبِنَاءِ بِابْنَةِ تِسْعٍ ‏.‏
Sunan an-Nasa'i 3379
It was narrated that 'Aishah said:
"The Messenger of Allah married me when I was six, and consummated the marriage with me when I was nine."

Kama huna ushahidi na unachoongea nenda kaongee na wajukuu zako nyumbani

Sahih al-Bukhari 5134
Narrated `Aisha:

that the Prophet (ﷺ) married her when she was six years old and he consummated his marriage when she was nine years old. Hisham said: I have been informed that `Aisha remained with the Prophet (ﷺ) for nine years (i.e. till his death).

Mrongo mkubwa wewe
Waislam hata dunia nzima wakikubali hio hadithi mimi sina shida nao bi Aisha kama aliolewa na miaka Tisa basi alikidhi vigezo vya kuitwa mwanamke lakini kama hakuwa mwanamke Quran imedanganya na hadithi imesema kweli hilo kwangu na muislam yeyote alie na akili hawezi kuamini kama Quran imedanganya uliza muislam yeyote humu.

Na hizo nchi kama wanafanya maamuzi kwa kutumia hadithi peke yake wamepotea hata kama msichana ana miaka 9 lakini kama hajakidhi vigezo vya kua mwanamke they are wrong totally wrong! Ndoa ni mwanaume kwa mwanamke according to Quran tukufu. Wewe ndio ujue kutofautisha yupi mschana yupi mwanmke lakini kama huna akili hilo sio kosa la quran ni lako.

Na mimi usije kuniletea hadithi ambayo haina base Katika quran hio sita iamini katu
 
Waislam hata dunia nzima wakikubali hio hadithi mimi sina shida nao bi Aisha kama aliolewa na miaka Tisa basi alikidhi vigezo vya kuitwa mwanamke lakini kama hakuwa mwanamke Quran imedanganya na hadithi imesema kweli hilo kwangu na muislam yeyote alie na akili hawezi kuamini kama Quran imedanganya uliza muislam yeyote humu.

Na hizo nchi kama wanafanya maamuzi kwa kutumia hadithi peke yake wamepotea hata kama msichana ana miaka 9 lakini kama hajakidhi vigezo vya kua mwanamke they are wrong totally wrong! Ndoa ni mwanaume kwa mwanamke according to Quran tukufu. Wewe ndio ujue kutofautisha yupi mschana yupi mwanmke lakini kama huna akili hilo sio kosa la quran ni lako.

Na mimi usije kuniletea hadithi ambayo haina base Katika quran hio sita iamini katu
Wewe stori ya Aisha na Muhammadi umeipata wapi ?
Lete chanzo cha hiyo taarifa hapa.

Kama huna chanzo cha hiyo stori unapata wapi nguvu ya kuiongelea ?

Njia ya mwongo ni fupi sana.
 
Wewe stori ya Aisha na Muhammadi umeipata wapi ?
Lete chanzo cha hiyo taarifa hapa.

Kama huna chanzo cha hiyo stori unapata wapi nguvu ya kuiongelea ?

Njia ya mwongo ni fupi sana.
Wewe ni muislamu?
 
Baadhi ya aya za kuhusu ndoa hakuna neno msichana wala mvulana hao wairaq wametumia vigezo gan
  1. Surah An-Nisa (4:3):
    "If you fear that you shall not be able to deal justly with the orphans, marry women of your choice, two, or three, or four; but if you fear that you shall not be able to deal justly (with them), then only one..."
  2. Surah An-Nisa (4:19):
    "O you who have believed, it is not lawful for you to inherit women by compulsion. And do not make difficulties for them in order to take [back] part of what you gave them unless they commit a clear immorality. And live with them in kindness..."

  3. Surah An-Nur (24:32):
    "And marry the unmarried among you and the righteous among your male slaves and female slaves. If they should be poor, Allah will enrich them from His bounty..."

  4. Surah Ar-Rum (30:21):
    "And of His signs is that He created for you from yourselves mates that you may find tranquility in them; and He placed between you affection and mercy..."

  5. Surah Al-Ahzab (33:52):
    "Not lawful to you, [O Muhammad], are [any additional] women after this, nor [is it] for you to exchange them for [other] wives, even if their beauty were to please you, except what your right hand possesses..."

  6. Surah Al-Mumtahina (60:10):
    "O you who have believed, when the believing women come to you as emigrants, examine them. Allah is most knowing as to their faith. And if you know them to be believers, then do not return them to the disbelievers; they are not lawful [wives] for them, nor are they lawful [husbands] for them..."

  7. Surah An-Nisa (4:24):
    "And [also prohibited to you are all] married women except those your right hands possess. [This is] the decree of Allah upon you. And lawful to you are [all others] beyond these, [provided] that you seek them [in marriage] with [gifts from] your property, desiring chastity, not unlawful sexual intercourse..."
 
Suala la Mtume swalla llahu allaihi wa sallam- kumuoa bi Aisha katika umri ambao unaonekana mdogo, hutakiwi kulitazama na akili iliyokuwa programmed namna ya kufikiria.

Bali unatakiwa ufikirie kwa akili salama amabayo haijaathirika na fikra hasi.

Ukilitaza suala hili kana kwamba Mtume alimuoa bi Aisha kwa lengo la kukidhi matamanio yake ya kingono, basi lazima utaliona suala hili ni batili.

Bi Aliolewa kwa maslahi mapana, ndio maana baada ya kufa Mtume swalla llahu allaihi wa sallam- bi Aisha alimaliza umri wake katika kufundiaha watu sunnah za Mtume, na Bi Aisha ndiye mke wa Mtume ambaye amesimulia hadithi nyingi za Mtume kuliko mke yoyote wa Mtume.

Hilo suala halipo kama wengi wanavyolitazama.
Alizaa!??...Bi Aisha...
 
Wamasai wana Mila ya kuchumbia mimba kama lakini haimaanishi kama akizaliwa tu anaolewa bali huwa anasubiriwa afikishe umri sahihi ndipo aolewe... Watu wengi wanakurupuka katika kuelewa vitabu vya dini vinavoelekeza, kwa kuelewa wangu na jinsi nilivyofanyia utafiti maandiko hayo ni kwamba unaruhusu wa kuposa binti wa miaka 9 na uka endelea kumsubiri mpaka afikishe umri sahihi ndio umuwowe
Ukichumbia mimba akitoka dume inakuwaje!??... Unasubiri mimba nyingine au unamuoa huyo dume !??
 
Kama Point Yako Ni Hiyo Umechemsha.Kwa Upande Wa Ndoa Upendo Huja Ndani Ya Ndoa Unaonyesha Ni Jinsi Gani Hujui Unachozungumza .Hujui Nani Anapenda Kati Ya Mwanaume Na Mwanamke?Waislam Tuna Jenga Taasisi Imara Ya Ndoa Kwa Kuozesha Mabinti Wangali Wadogo Mwanamke Ni Kama Bamia Kadili Inavyokomaa Ndivyo Inavyokosa Thamani Kaa Nayo Hiyo Nimekupa .

Makafiri Mna lengo La Kubomoa Maadili Ya Mwanadam.Mwanamke Ndo Jamii Akialibika Yeye Imealibika Jamii Mna Lengo Kuistawisha Zinaa Kwa Nguvu Kubwa Hapa Hakuna Hata Mmoja Asiye Wahi Kuona Mabint Wa Shule Za Msingi Wakigegedwa.Wa Sekondari Ndo Balaa Ila Ni Bora Kuwapiga Sindano Za Kuzuia Mimba Ni Sawa Ila Kumuozesha Wanakuwa Ni Watoto?
FaizaFixy yule sheikh muiran aliowaita wanawake ni kama mifugo tu kama mbuzi kama kondooo...mkashupaza shingo humu kuwa yule sio muislamu ..haya na huyu amewaita wanawake ni bamia ... Asee wanawake mbona mnadharaulika hivi ...na hivyo ulivyozeeka maana yake hauna thamani kama huyu ndugu katika Imani anavyosema!??
 
wanasema alikuwa na miaka 6, ila kwa sababu mood alikuwa na roho nzuri na alikuwa mwema sana hakukaingilia mapema, alisubiri hadi kafike miaka 9 kakiwa kamevunja ungo. mood alikuwa mwema sana, hakumwingilia akiwa na 6 years, alisubiri afike 9. mtu mvumilivu kabisa huyu alikuwa.
Kwa kweli mudi ni mstaarabu ....akaoa miaka 6 ...akamkula akiwa na miaka9 .....
 
Hakuna anayemsafisha mtume ni msafi tangu anazaliwa mpaka kiama huyo bi Aisha naamini alikidhi vigezo vya kwenye Quran ili kuolewa na mtume nyinyi ndio mnahangaika kuonyesha udhaifu wa miaka ya mhusika dini haingalii hilo dini inaangalia vigezo vya sheria ya ndoa ishu ya miaka ni yenu nyinyi
Mtoto wako wa miaka 6 - 9 unaweza kumuoza !??....
 
Back
Top Bottom