Miradi mikubwa haikuanza kipindi cha Hayati Magufuli pekee

Miradi mikubwa haikuanza kipindi cha Hayati Magufuli pekee

Kilichokufanya uandike ndo hicho kinachomfanya JPM aonekane bora sana kwenye miundo mbinu.
Suala la muda tu bandari ya Bagamoyo ikifanyika, Gesi ikianza kuchimbwa, njia 8 Hadi moro, meli za bahari kuu n.k ndio mtagundua kwamba haya mambo ni recurrent Wala hayahitaji binadamu mmoja. Mlikua na propaganda za kishamba sana.
 
Hapana kumekua na kelele nyingi sana mfano Mama kamalizia Bwawa ila kelele zikawa kibao kwamba bila JPM wasingeweza!! Leo meli imeshushwa kelele kibao kuwa
Wewe chizi bwawa gani mama amemaliza
 
Habari za weekend wanajukwaa

Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema hakuna aliyewahi kufanya miradi kama ilivyofanyika awamu ya tano. Hapo chini nimeweka mifano tu ya miradi awamu ya nne kwa kuweka rekodi sawa kuwakilisha awamu zingine zilizopita kabla ya JPM.

1. Mradi wa Bomba la gesi ulicost matrilioni ya fedha na ulifanyika enzi za JK na Leo hii umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea Bomba lile la gesi.

2. Barabara za lami zilijengwa almost Kila mkoa Ili kuunganisha mikoa jirani; pamoja na madaraja ya kumwaga kama Malagarasi n.k. So kama ni miundombinu ya barabara kikwete aliwekeza sana.

3. Mfumo wa Barabara za mwendokasi uliasisiwa kipindi hiki na serikali ya JK Ilimwaga mabilioni kujenga mwendokasi na kuagiza mabasi husika.

4. Airport ya J.K Nyerere Airport ilipanuliwa awamu ya nne. Leo hii tuna Airport yenye Hadhi ya kimataifa jambo ambalo halikufanyika tokea uhuru!!

5. Uzalishaji umeme ulipanuliwa kwa kujenga kituo Cha kufua umeme wa gesi pale Kinyerezi. Hatua hii iliongeza capacity ya uzalishaji umeme kuliko awamu zote zilizopita!!

6. Kulifanyika mradi mkubwa wa kutoa Maji ziwa Victoria kuelekea mikoa ya Kanda ya kati. Mradi ule umefika mpaka mkoa wa Tabora na Sasa unaelekea Singida!! Hayo ni mabilioni na ubunifu wa hali ya juu licha ya kelele kutoka kwa mataifa kama Misri yaliyopinga kabisa kuguswa Maji ya ziwa Victoria.

Hii ni mifano tu ya haraka haraka kwenye eneo la miundombinu. Kwahiyo tuache hizi propaganda kwamba miradi ilianza awamu ya 5 na imeisha awamu ya 5 ni uzembe tu wa kufikiri. Hiyo miradi tajwa hapo juu ingefanyika awamu ya 5 nadhani kelele zingekua nyingi mnoo.

Ni vizuri tuheshimiane Kila awamu, alipoishia Nyerere, mkapa aliendeleza and so on hata Mama Samia anaendeleza anapoweza so tusijikweze kweze na kelele nyingi as if JPM alikua Alpha na Omega.

Naomba kuwasilisha
Na huyo mme wako zitto amefaifanyia nini Tanzania
 
Kama isingewezekana bila JPM imekuaje Sasa hao kina January na Samia tulioambiwa ni mafisadi wamemaliza bwawa na wanalijaza Maji? Au akifanya JPM pekee ndio anaweza wengine hawawezi chochote?
Kwa January ndio tumuhusudu kajenga bwawa la nyerere yaani wewe ni chizi.ila kuna Majitu majinga Tanzania hii
 
Habari za weekend wanajukwaa

Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema hakuna aliyewahi kufanya miradi kama ilivyofanyika awamu ya tano. Hapo chini nimeweka mifano tu ya miradi awamu ya nne kwa kuweka rekodi sawa kuwakilisha awamu zingine zilizopita kabla ya JPM.

1. Mradi wa Bomba la gesi ulicost matrilioni ya fedha na ulifanyika enzi za JK na Leo hii umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea Bomba lile la gesi.

2. Barabara za lami zilijengwa almost Kila mkoa Ili kuunganisha mikoa jirani; pamoja na madaraja ya kumwaga kama Malagarasi n.k. So kama ni miundombinu ya barabara kikwete aliwekeza sana.

3. Mfumo wa Barabara za mwendokasi uliasisiwa kipindi hiki na serikali ya JK Ilimwaga mabilioni kujenga mwendokasi na kuagiza mabasi husika.

4. Airport ya J.K Nyerere Airport ilipanuliwa awamu ya nne. Leo hii tuna Airport yenye Hadhi ya kimataifa jambo ambalo halikufanyika tokea uhuru!!

5. Uzalishaji umeme ulipanuliwa kwa kujenga kituo Cha kufua umeme wa gesi pale Kinyerezi. Hatua hii iliongeza capacity ya uzalishaji umeme kuliko awamu zote zilizopita!!

6. Kulifanyika mradi mkubwa wa kutoa Maji ziwa Victoria kuelekea mikoa ya Kanda ya kati. Mradi ule umefika mpaka mkoa wa Tabora na Sasa unaelekea Singida!! Hayo ni mabilioni na ubunifu wa hali ya juu licha ya kelele kutoka kwa mataifa kama Misri yaliyopinga kabisa kuguswa Maji ya ziwa Victoria.

Hii ni mifano tu ya haraka haraka kwenye eneo la miundombinu. Kwahiyo tuache hizi propaganda kwamba miradi ilianza awamu ya 5 na imeisha awamu ya 5 ni uzembe tu wa kufikiri. Hiyo miradi tajwa hapo juu ingefanyika awamu ya 5 nadhani kelele zingekua nyingi mnoo.

Ni vizuri tuheshimiane Kila awamu, alipoishia Nyerere, mkapa aliendeleza and so on hata Mama Samia anaendeleza anapoweza so tusijikweze kweze na kelele nyingi as if JPM alikua Alpha na Omega.

Naomba kuwasilisha
Wacha wee! Awamu yenu mnayoiita ya 6 mmeanzisha mradi upi?
 
Kama ilikuwa toka 1974 kwa nn hao waliopita hakuweza kutekeleza?
Ilani ya uchaguzi 2015 ilisema bandari ya Bagamoyo itajengwa ila JPM alifanikiwa?? Si amekuja Mama ndio katenga bajeti ujenzi uanze.

So punguzeni ujuaji yeye alidai Bwawa lilikua ubunifu wa JPM wakati sio kweli ni ubunifu wa Nyerere tokea 1970s huko sema tulikosa Hela tu za kujenga.
 
Wacha wee! Awamu yenu mnayoiita ya 6 mmeanzisha mradi upi?
Bandari ya Bagamoyo
Kinyerezi 3 inakuja
Hydro power Malagarasi n.k

Ikianza ujenzi usikimbie tu JF!! Punguzeni chuki nyie sukuma gang
 
Bandari ya Bagamoyo
Kinyerezi 3 inakuja
Hydro power Malagarasi n.k

Ikianza ujenzi usikimbie tu JF!! Punguzeni chuki nyie sukuma gang
Hydropower malagarasi aliyekwambia imeanzishwa sahizi nani? Bagamoyo ni mradi wa familia ya fisadi la msoga usichanganye na miradi ya kimkakati ya taifa. Ukikamilika huo mradi nishtue.
 
Habari za weekend wanajukwaa

Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema hakuna aliyewahi kufanya miradi kama ilivyofanyika awamu ya tano. Hapo chini nimeweka mifano tu ya miradi awamu ya nne kwa kuweka rekodi sawa kuwakilisha awamu zingine zilizopita kabla ya JPM.

1. Mradi wa Bomba la gesi ulicost matrilioni ya fedha na ulifanyika enzi za JK na Leo hii umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea Bomba lile la gesi.

2. Barabara za lami zilijengwa almost Kila mkoa Ili kuunganisha mikoa jirani; pamoja na madaraja ya kumwaga kama Malagarasi n.k. So kama ni miundombinu ya barabara kikwete aliwekeza sana.

3. Mfumo wa Barabara za mwendokasi uliasisiwa kipindi hiki na serikali ya JK Ilimwaga mabilioni kujenga mwendokasi na kuagiza mabasi husika.

4. Airport ya J.K Nyerere Airport ilipanuliwa awamu ya nne. Leo hii tuna Airport yenye Hadhi ya kimataifa jambo ambalo halikufanyika tokea uhuru!!

5. Uzalishaji umeme ulipanuliwa kwa kujenga kituo Cha kufua umeme wa gesi pale Kinyerezi. Hatua hii iliongeza capacity ya uzalishaji umeme kuliko awamu zote zilizopita!!

6. Kulifanyika mradi mkubwa wa kutoa Maji ziwa Victoria kuelekea mikoa ya Kanda ya kati. Mradi ule umefika mpaka mkoa wa Tabora na Sasa unaelekea Singida!! Hayo ni mabilioni na ubunifu wa hali ya juu licha ya kelele kutoka kwa mataifa kama Misri yaliyopinga kabisa kuguswa Maji ya ziwa Victoria.

Hii ni mifano tu ya haraka haraka kwenye eneo la miundombinu. Kwahiyo tuache hizi propaganda kwamba miradi ilianza awamu ya 5 na imeisha awamu ya 5 ni uzembe tu wa kufikiri. Hiyo miradi tajwa hapo juu ingefanyika awamu ya 5 nadhani kelele zingekua nyingi mnoo.

Ni vizuri tuheshimiane Kila awamu, alipoishia Nyerere, mkapa aliendeleza and so on hata Mama Samia anaendeleza anapoweza so tusijikweze kweze na kelele nyingi as if JPM alikua Alpha na Omega.

Naomba kuwasilisha

Kasikilize hotuba za kikwete na Mkapa kuhusu uwaziri wa huyo Magufuri. Hakuna Rais anayejenga barabara
 
Hydropower malagarasi aliyekwambia imeanzishwa sahizi nani? Bagamoyo ni mradi wa familia ya fisadi la msoga usichanganye na miradi ya kimkakati ya taifa. Ukikamilika huo mradi nishtue.
Sawa tupo hapa nitafufua huu Uzi Kila mradi ukikamilika Ili chuki zenu zizidi kuongezeka.
 
Kasikilize hotuba za kikwete na Mkapa kuhusu uwaziri wa huyo Magufuri. Hakuna Rais anayejenga barabara
Ooh kumbe Makame Mbarawa alijenga Barabara awamu ya 5!! Kumbe JPM hakufanya kitu alipokua Rais maana miundombinu ilikua na waziri wake!!!
 
Back
Top Bottom