Sio kweli ingekua hivyo wafanyakazi wote wangekua hawajalipwa ,haiwezekani muce ibagueKulikuwa na shida kwenye mfumo wa ulipaji serikalini (MUSE) tangu mwishoni mwa wiki iliyopita nahisi mpaka sasa haujakaa sawa labda ndo sababu. Maana hata malipo ya ndani kwenye mashirika nayo yamekwama kwa sababu ya mfumo. Sidhani kama ni kwa sababu ya serikali kukosa fedha ya kulipa
Uongo hujui lolote mishahara yote inalipwa kutoka hazinaSerikalini Napozungumzia mwajiri simaanishi Serkali!
Napozungumzia mwajiri namaanisha Maafisa masuhuli wote wa ngazi ya Wilaya na ngazi ya mikoa na Ngazi za kitaasisi!
Kwa mfano Katika wilaya Afisa Masuhuli ni Mkurugenzi wa Halmashauri na ndo muhusika aa stahiki zote za Watumishi..
Kisheria ndo alipaswa kuilalamikia serikali kwa kutokulipa pesa kwenye vyama vyao vya waajiri!
Kutokujua kanuni unaweza ukanitukana uwezavyo ila ndizo sheria zetu na kanuni zetu..
Watu wanaopaswa kulalamika ni vyama vya wafanyakazi na sio wafanyakazi
Acha kutisha watu mkuuila jamani itafika kipindi mshahara tunaweza kukosa hata miezi miwili wadau dalili ya mvua hii
Nafikiri haongeleo mishahara,anaongelea michango mingine ile ya lazima kisheria,yaani makato kama ya penshen n.kUongo hujui lolote mishahara yote inalipwa kutoka hazina
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
π π We jamaa pumzika Stress zitakuuaUongo hujui lolote mishahara yote inalipwa kutoka hazina
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Umesoma vizuri Bandiko nililoandika ?Nafikiri haongeleo mishahara,anaongelea michango mingine ile ya lazima kisheria,yaani makato kama ya penshen n.k
Watu wanaongea vitu ambavyo hawavijui ila ki ukweli idara ya ualimu ni moja ya idara inayopokea salary ya kutosha tu...!.Acheni dhihaka aisee, mbona kuna waalimu kibao wadegree, nahivi unajua kiwango cha mshahara wa mwalimu wa degree kweli.
Hizo pesa ni kodi zenu ,hizo pesa ndo mali asili zenu,hizo pesa ndo jasho lako ,hiyo asante unampa ya nini huyo na wakati anajilipa mshahara anao taka yeye na kazi anayo fanya haipo."Asante mama Samia Suluhu Hassan..
Salary imeingia ingawa kwa kuchelewa. Umetupandisha madaraja ya kiutumishi kwa mserereko
Samia HOYEEE.[emoji3577]"
Mwisho wa kunukuu
Yani niwasiliane na afisa ambaye naye analalamika hajapata mashahara we jamaaa akili zako finyu[emoji28][emoji28] We jamaa pumzika Stress zitakuua
Sasa kuna sehemu yoyote nimesema Mshahara unalipwa na nani?
Nilichozungumzia hapo juu ni organogram ya kufuata kikanuni ili kupata stahiki zako sijagusia nani analipa mshahara...
Ninajua vizuri zaidi kwamba MUSE ndo wahusika wakubwa wa kulipa mishahara..
Narudia tena
Kupata mshahra ni Haki ya yako ya kiutumishi ukiona hujapata wasiliana na Afisa utumishi wako na yeye atawasilisha swala lako kwa Afisa masuhuli wa Taasisi au wilaya baada ya afisa masuhuli kupata Taarifa yako taratibu zingine zitafuatwa...
Kasome Public finance Government Regulation ya mwaka 2019..
inasemaje kuhusu mishahara halafu njoo uje uandike ulichoandika
Hii comments imenionyesha Ksa jinsi gani ulivyo desparate π π ..Yani niwasiliane na afisa ambaye naye analalamika hajapata mashahara we jamaaa akili zako finyu
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Yaani serious kabisaa, bado mkuu mpaka muda huu kimyaaaHv kuna wengine kwel hawajapata salary serious
Shida ni nn mbona wengine tumepata toka jana.... Inasikitisha sanaYaani serious kabisaa, bado mkuu mpaka muda huu kimyaaa
Hela ipo si ndio maana wanaajiri kila siku.Huenda huu ndio mwanzo wa hali ngumu zaidi huko mbeleni.
Umetumia jibu lake kumuelewaHii comments imenionyesha Ksa jinsi gani ulivyo desparate π π ..
Ndyo mkuu! π πUmetumia jibu lake kumuelewa
.!!!
Ndio watu wajifunze joto la kitaa , na dharau waache , ule ujinga wao wa kudharau vijana hustler kitaa na kuwaambia " mjiajiri "Waalimu lazima walalmike jamani.. Kazi haina poshoo haina rushwaa...haina Overtime haina chochote nje ya mshaharaaa Aisee hii nchi waalimu wanateseka mnoo..!
Kuliaa hakuna maadilii kijanaaaIla unatakiwa ulie lie kwa kufuata organogram na mwezi mkuu haujaisha bado kwahyo ambao hawajapata waendelee kusubiri
Nafurahi kuitwa hivyo maana ni Muda sana sijaitwa kijana! π πKuliaa hakuna maadilii kijanaaa